Watanzania popote tulipo tujichangishe ili tumpe Tuzo ya Ujasiri Mange Kimambi

Watanzania popote tulipo tujichangishe ili tumpe Tuzo ya Ujasiri Mange Kimambi

Victoire leo kajidhalilisha sana, mara ooh anatumia nokia mara ooh aliletewa simu mara ooh bora akamatwe mara oooh mange ni mtu mbaya sana maraa ooh mi mwenyewe shabiki yake, haya dada wawatu kafanya live video. dua zako zimefeli. una roho mbaya sikutegemea
 
Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda hadi nahisi Kuchanganyikiwa aitwae Mange Kimambi anayeishi huko Majuu / Mamtoni / Marekani.

Kwakweli anafanya Kazi kubwa sana ya Kupambana na Serikali ili kuweza kutukomboa Sisi Watanzania kutokana na Rasilimali zetu kuibiwa na Wajanja wachache lakini pia anasaidia mno kutupa Sisi taarifa Nyeti ambazo tulikuwa hatuzijui kuhusiana na kinachoendelea Tanzania hasa Serikalini.

Napendekeza kila Mtanzania achangie Shilingi Elfu 50 ( 50,000/ Tsh ) ili angalau hata ikipatikana Bilioni 1 au 3 hivi tuweze kumuuliza Mange Kimambi anataka Zawadi gani hasa kutoka Kwa Sisi Watanzania tunaompenda ila hasa hasa Mimi GENTAMYCINE ninayempenda kuliko kitu kingine chochote kile ili aweze kuendelea kutunyofolea ' Siri ' za Serikalini kama kawaida yake.

Kuna Watu wabaya leo ( siyo GENTAMYCINE ) wamemzushia vibaya kuwa sijui kuna ' tatizo ' limemkumba naomba sana washindwe na walegee popote walipo kwani hao hawana nia nzuri kabisa na Mange Kimambi wetu. Walaaniwe vibaya sana wale wote ambao walishabikia na kupayukia kuwa ' Akaunti ' ya Mange Kimambi imefungwa kwani hao ndiyo maadui wakubwa wa Tanzania yetu hii.

Mange Kimambi apewe Tuzo / Zawadi jamani.

Nawasilisha.
wachache wamekuelewa..ila we jamaa hatari sana. kifupi Mange is no longer again. ameshahakiwa..na anayeendesha akaunti yake siyo yeye.
 
Victoire leo kajidhalilisha sana, mara ooh anatumia nokia mara ooh aliletewa simu mara ooh bora akamatwe mara oooh mange ni mtu mbaya sana maraa ooh mi mwenyewe shabiki yake, haya dada wawatu kafanya live video. dua zako zimefeli. una roho mbaya sikutegemea
Mwacheni Victoire
Jamani...huyu Mdada namkubali sana sana huyu Victoire she my best friend victoire mambo?nimekutumia sms hujaiona?
all the best usisahau kunijibu...
 
Nitakuwa sijautendea uzalendo wangu kwa taifa just kwa kuchanga tena kwa mtu tapeli na mtu anatumika kuichafuwa Tz. Mange anapaswa fikishwa mahakamani a prove aliosema kwa raos wetu mpenda. Inshort Mange ni muhalifu wakimataifa
 
Victoire leo kajidhalilisha sana, mara ooh anatumia nokia mara ooh aliletewa simu mara ooh bora akamatwe mara oooh mange ni mtu mbaya sana maraa ooh mi mwenyewe shabiki yake, haya dada wawatu kafanya live video. dua zako zimefeli. una roho mbaya sikutegemea
Noted mate.Much love to you.
 
Namkubali sana huyu dada I would fundraise for her
 
Inabid akubali kwanza kwmb ananjaa ili tumchangie mana kaona followers milion insta akaona ndo chaka la kupiga pesa kaanzisha app mara paaap ikabuma
Apambane na hali yake mambo yakimshinda ajiote kwny harakati zake awapikie watoto zake uji
 
Mi mwenyewe namfeel huyu Dada, alaf juz jpl kapanda ndege kurud America huku akiwaacha vipolisi uchwara vikiwa havijui hata km alikuwa bongo....alaf tunajisifu eti tuna intelejinsia....pumbav
 
wachache wamekuelewa..ila we jamaa hatari sana. kifupi Mange is no longer again. ameshahakiwa..na anayeendesha akaunti yake siyo yeye.

Shukran na tupo pamoja Mkuu kwani wanaonielewa humu JF ni wachache sana kama Wewe vile ambao hata IQ zenu ni za hali ya juu na nzuri mno.
 
Back
Top Bottom