Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Life Is Not Fair
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wachache wamekuelewa..ila we jamaa hatari sana. kifupi Mange is no longer again. ameshahakiwa..na anayeendesha akaunti yake siyo yeye.Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda hadi nahisi Kuchanganyikiwa aitwae Mange Kimambi anayeishi huko Majuu / Mamtoni / Marekani.
Kwakweli anafanya Kazi kubwa sana ya Kupambana na Serikali ili kuweza kutukomboa Sisi Watanzania kutokana na Rasilimali zetu kuibiwa na Wajanja wachache lakini pia anasaidia mno kutupa Sisi taarifa Nyeti ambazo tulikuwa hatuzijui kuhusiana na kinachoendelea Tanzania hasa Serikalini.
Napendekeza kila Mtanzania achangie Shilingi Elfu 50 ( 50,000/ Tsh ) ili angalau hata ikipatikana Bilioni 1 au 3 hivi tuweze kumuuliza Mange Kimambi anataka Zawadi gani hasa kutoka Kwa Sisi Watanzania tunaompenda ila hasa hasa Mimi GENTAMYCINE ninayempenda kuliko kitu kingine chochote kile ili aweze kuendelea kutunyofolea ' Siri ' za Serikalini kama kawaida yake.
Kuna Watu wabaya leo ( siyo GENTAMYCINE ) wamemzushia vibaya kuwa sijui kuna ' tatizo ' limemkumba naomba sana washindwe na walegee popote walipo kwani hao hawana nia nzuri kabisa na Mange Kimambi wetu. Walaaniwe vibaya sana wale wote ambao walishabikia na kupayukia kuwa ' Akaunti ' ya Mange Kimambi imefungwa kwani hao ndiyo maadui wakubwa wa Tanzania yetu hii.
Mange Kimambi apewe Tuzo / Zawadi jamani.
Nawasilisha.
Mwacheni VictoireVictoire leo kajidhalilisha sana, mara ooh anatumia nokia mara ooh aliletewa simu mara ooh bora akamatwe mara oooh mange ni mtu mbaya sana maraa ooh mi mwenyewe shabiki yake, haya dada wawatu kafanya live video. dua zako zimefeli. una roho mbaya sikutegemea
Alisemaje...!!?[emoji15]Ahaaa nimekumbuka siro alivyosema
Noted mate.Much love to you.Victoire leo kajidhalilisha sana, mara ooh anatumia nokia mara ooh aliletewa simu mara ooh bora akamatwe mara oooh mange ni mtu mbaya sana maraa ooh mi mwenyewe shabiki yake, haya dada wawatu kafanya live video. dua zako zimefeli. una roho mbaya sikutegemea
Kwani hujaona kwenye 'Fonti pondi'Alisemaje...!!?[emoji15]
I second youWhere is that account?
Please put down the account name and its details.
I am ready to donate 25$!
Be blessed.
best friend zako wanaroho mbayaMwacheni Victoire
Jamani...huyu Mdada namkubali sana sana huyu Victoire she my best friend victoire mambo?nimekutumia sms hujaiona?
all the best usisahau kunijibu...
wachache wamekuelewa..ila we jamaa hatari sana. kifupi Mange is no longer again. ameshahakiwa..na anayeendesha akaunti yake siyo yeye.