Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Kituo kinachofuata ni kudaiwa kulipwa kwa deni lote la Babu.Tupige Dua asikumbuke hilo likawa kigezo cha kutununua kama anavyofikiri Gaza na Greenland.
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Hajawahi safari popote kutafuta Msaada bali connection za biashara,uwe jnafuatiloa ziara za Rais.

Na Kwa taarifa Yako hajawahi fanya ziara ya hasara.
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
 

Attachments

  • 5771391-6b7300c48c43013b94b420cc6e416c60.mp4
    8.3 MB
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Mtu usafiri si kuomba msaada tu bali kutengeneza mahusiano na kutafuta uwekezaji.

Mfano Chukulia huyo Kikwete Angalia uwekezaji alioleta Tanzania utafananisha na nini?

Kamleta Dangote Tanzania akawekeza zaidi ya Trilioni, kawaleta Wavietnam ambao ngumu kuwakuta popote Duniani wakaja kusambaza Internet vijijini nao zaidi ya Trilioni wamewekeza, unapata vipi huu uwekezaji ukijifungia ndani?
 
Usipende kushikiliwa akili.
Wewe na Ndugai nani anaifahamu hii nchi?
Ndugai hakuamka asubuhi akaanza kuropoka kuhusu malalamiko ya mikopo, hadi kufikia hatua anaweka rehani kibarua chake alikuwa ana uhakika na anachosema.
Tena ameacha kazi yenye title na heshima kubwa, lakini cha kushangaza chawa mnakomaa usiku na mchana kusifu na kuabudu kwa vijipesa vya kula.
 
Wewe na Ndugai nani anaifahamu hii nchi?
Ndugai hakuamka asubuhi akaanza kuropoka kuhusu malalamiko ya mikopo, hadi kufikia hatua anaweka rehani kibarua chake alikuwa ana uhakika na anachosema.
Tena ameacha kazi yenye title na heshima kubwa, lakini cha kushangaza chawa mnakomaa usiku na mchana kuifu na kuabudu kwa vijipesa vya kula.
Mimi.
 
Wewe na Ndugai nani anaifahamu hii nchi?
Ndugai hakuamka asubuhi akaanza kuropoka kuhusu malalamiko ya mikopo, hadi kufikia hatua anaweka rehani kibarua chake alikuwa ana uhakika na anachosema.
Tena ameacha kazi yenye title na heshima kubwa, lakini cha kushangaza chawa mnakomaa usiku na mchana kusifu na kuabudu kwa vijipesa vya kula.
Kama Ndungai ni smart why hakulalamika hilo wakati wa Magu? Wote Magu na Samia wanachuana kwenye Kukopa, Ukumbuke Magu miaka michache nae Alikopa zaidi ya Trilioni 30 tena zisizo na Tija maana ongezeko lake la uchumi halikuakisi huo mkopo.
 
Kama Ndungai ni smart why hakulalamika hilo wakati wa Magu? Wote Magu na Samia wanachuana kwenye Kukopa, Ukumbuke Magu miaka michache nae Alikopa zaidi ya Trilioni 30 tena zisizo na Tija maana ongezeko lake la uchumi halikuakisi huo mkopo.
Lete taarifa kamili za pesa aliyokopa JPM ndani ya kipindi chote cha muhula wote wa kwanza, halafu linganisha na kiasi cha mikopo alichokopa SSH hadi huo mwaka Ndugai anajiuzulu..

Halafu njoo ulinganishe hizo fedha zimetumika kufanya kitu gani kwenye uongozi wa kila mmoja...
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Nchi inaongozwa na vilaza! Tuliimba vya kutosha kwamba uombaomba hauna tija, lakini wapumbavu hawakuelewa somo. Sasa Marekani imenuna, sijui hawa vilaza watalielekeza wapi bakuli lao!
 
Back
Top Bottom