Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Nchi inaongozwa na vilaza! Tuliimba vya kutosha kwamba uombaomba hauna tija, lakini wapumbavu hawakuelewa somo. Sasa Marekani imenuna, sijui hawa vilaza watalielekeza wapi bakuli lao!
Ulaya hoi bin taaabani,pesa wanaichomea ukrain
 
Dr Janabi, "nyumbu a.k.a haters wa Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati"

Naanza kumuelewa sana huyu Dr. huyu. Ukweli hawa jamaa watajifungia siku si zao.
 
Nchi inaongozwa na vilaza! Tuliimba vya kutosha kwamba uombaomba hauna tija, lakini wapumbavu hawakuelewa somo. Sasa Marekani imenuna, sijui hawa vilaza watalielekeza wapi bakuli lao!
Unaweza kukuta lafa hili hata familia yake imemshinda halafu hapa linarembuarembua tu kwa kuwaita waliomzidi vilaza.

Kusafiri Kuna mengi malofa nyie......huo ushambaushamba wenu wa kujifungia urudisheni miaka ya 60 huko mabwege nyie. Halafu sio Kila safari ni kwa ajili ya kuomba mshamba mkubwa we!
 
Unaweza kukuta lafa hili hata familia yake imemshinda halafu hapa linarembuarembua tu kwa kuwaita waliomzidi vilaza.

Kusafiri Kuna mengi malofa nyie......huo ushambaushamba wenu wa kujifungia urudisheni miaka ya 60 huko mabwege nyie. Halafu sio Kila safari ni kwa ajili ya kuomba mshamba mkubwa we!
Traore hasafiri lakini maendeleo tunayaona kwao,Hata Trump hasafiri
 
Lete taarifa kamili za pesa aliyokopa JPM ndani ya kipindi chote cha muhula wote wa kwanza, halafu linganisha na kiasi cha mikopo alichokopa SSH hadi huo mwaka Ndugai anajiuzulu..

Halafu njoo ulinganishe hizo fedha zimetumika kufanya kitu gani kwenye uongozi wa kila mmoja...
Sawa Twende Taratibu

Magu amerithi deni la $16.2B toka kwa Kikwete kwa Gdp ya 49.99B

Mpaka mwishoni 2020 deni la Taifa lilikua 25.5B kwa GDP ya 66B so kulikua na ukuaji wa Pato la Taifa Takriban 16B na ukopaji wa 9.3B ndani ya miaka 5.

Deni la Taifa sasa hivi imezidi 33B ila hatuna data za 2024 za Gdp, natumia za 2023.

Mpaka 2023 GDP yetu ilikua ni 79B usd na deni 31B usd, sawa na ongezeko la 13B usd kwenye pato na 5.5B usd kwenye Deni

Ukiangalia ratio hapo
Magu 1.77
Samia 2.36

So kila 1 aliyokopa Magu alizalisha 1.77 na Kila moja aliyokopa Samia alizalisha 2.36.

Pengine ikawa ratio ya Samia imeshuka 2024 maana viashiria vinaonesha kuna ongezeko dogo ila still ni much better kuliko Magu.

Hivyo mtu yoyote yule anayemsema Samia na kumsifia Magu kwenye Suala zima la ukopaji ni mnafiki, tu wote Wawili Samia na Magu utawala wao tumeshuhudia ukopaji mkubwa mno, Wamekopa zaidi kuliko maraisi wote 1961-2014.
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapoof co waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
of course, tunatakiwa kujua hilo, au kama hela za safari zimeisha pia waseme, na mwisho walete mrejesho, katika safari zake hizo zote zimeleta matunda gani? au ni perdiem za steve nyerere na machawa wengine tu kwa kodi zetu.
 
Kwa kuwa hatuna Soni basi hata kwenda kumtembelea Balozi wetu tutaenda mradi tujipitishe pitishe
Unajua tena masikini kwa kujichekesha
 
Unaweza kukuta lafa hili hata familia yake imemshinda halafu hapa linarembuarembua tu kwa kuwaita waliomzidi vilaza.

Kusafiri Kuna mengi malofa nyie......huo ushambaushamba wenu wa kujifungia urudisheni miaka ya 60 huko mabwege nyie. Halafu sio Kila safari ni kwa ajili ya kuomba mshamba mkubwa we!
Duh! Hapo ulipo unaonekana umevimba kwa hasira,unahema kwa nguvu na umeshavuja vitu ovyo
 
Sawa Twende Taratibu

Magu amerithi deni la $16.2B toka kwa Kikwete kwa Gdp ya 49.99B

Mpaka mwishoni 2020 deni la Taifa lilikua 25.5B kwa GDP ya 66B so kulikua na ukuaji wa Pato la Taifa Takriban 16B na ukopaji wa 9.3B ndani ya miaka 5.

Deni la Taifa sasa hivi imezidi 33B ila hatuna data za 2024 za Gdp, natumia za 2023.

Mpaka 2023 GDP yetu ilikua ni 79B usd na deni 31B usd, sawa na ongezeko la 13B usd kwenye pato na 5.5B usd kwenye Deni

Ukiangalia ratio hapo
Magu 1.77
Samia 2.36

So kila 1 aliyokopa Magu alizalisha 1.77 na Kila moja aliyokopa Samia alizalisha 2.36.

Pengine ikawa ratio ya Samia imeshuka 2024 maana viashiria vinaonesha kuna ongezeko dogo ila still ni much better kuliko Magu.

Hivyo mtu yoyote yule anayemsema Samia na kumsifia Magu kwenye Suala zima la ukopaji ni mnafiki, tu wote Wawili Samia na Magu utawala wao tumeshuhudia ukopaji mkubwa mno, Wamekopa zaidi kuliko maraisi wote 1961-2014.
Halafu kumbuka Takwimu zako kuhusu SSH zinajumuisha miaka 2-3 tu (2021-2023), na uchumi hauwezi kupimwa kwa muda mfupi namna hiyo, na bado kwenye mahesabu umeboronga.

Kingine Miradi mingi inayochangia ukuaji wa GDP sasa ilianza enzi ya Maguful lakini matokeo yake yanaonekana sasa.

Magufuli alikumbana na changamoto za COVID-19 mwishoni mwa utawala wake, hali iliyopunguza ukuaji wa uchumi, ingekuwa huyu SSH asingetoboa, hali ingekuwa mbaya vibaya sana.

Serikali ya JPM ilijenga miundombinu mikubwa ambayo inaweza kuwa na athari za muda mrefu.

Hata ongezeko la Pato la Taifa chini ya Rais Samia lina uhusiano mkubwa na juhudi za Magufuli. Miradi aliyoanzisha Magufuli imekuwa msingi wa maendeleo yanayoonekana wakati wa SSH.

Miradi ya Hayati JPM aliyoanzisha wakati wa uongozi wake imechangia katika ongezeko la Pato la Taifa chini ya SSH. matokeo yake yameendelea kuonekana hata baada ya uongozi wake kumalizika. ujenzi wa barabara na madaraja na upanuzi wa barabara mbalimbali umechangia kuboresha biashara na usafirishaji, hivyo kuongeza mzunguko wa fedha katika uchumi chini ya SSH.


Magufuli aliboresha usimamizi wa sekta ya madini kwa kusimamia mikataba na kuhakikisha serikali inanufaika zaidi, chini ya SSH mapato kutoka madini yameongezeka, ikiwa ni matokeo ya mfumo mzuri ulioanzishwa wakati wa JPM.

Na JPM angeendelea kuwepo, uchumi ungekuwa juu zaidi , angalia miradi aliyoacha kama SGR, faida zake mnaziona sasa katika ajira, biashara, na kupunguza gharama za usafirishaji wa mizigo, angalia mradi mkubwa wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme, kujenga madaraja n.k....
 
Viongozi Wa Africa hawana budi kujitathimini..
Tena Wajicheki..

Wataanza kutekwa..kwani Madeni hayatalipika.
 

😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Hili swali lingejibiwa vyema na Mzee wa Galilaya.
 
Back
Top Bottom