Ulaya hoi bin taaabani,pesa wanaichomea ukrainNchi inaongozwa na vilaza! Tuliimba vya kutosha kwamba uombaomba hauna tija, lakini wapumbavu hawakuelewa somo. Sasa Marekani imenuna, sijui hawa vilaza watalielekeza wapi bakuli lao!
Unaweza kukuta lafa hili hata familia yake imemshinda halafu hapa linarembuarembua tu kwa kuwaita waliomzidi vilaza.Nchi inaongozwa na vilaza! Tuliimba vya kutosha kwamba uombaomba hauna tija, lakini wapumbavu hawakuelewa somo. Sasa Marekani imenuna, sijui hawa vilaza watalielekeza wapi bakuli lao!
Traore hasafiri lakini maendeleo tunayaona kwao,Hata Trump hasafiriUnaweza kukuta lafa hili hata familia yake imemshinda halafu hapa linarembuarembua tu kwa kuwaita waliomzidi vilaza.
Kusafiri Kuna mengi malofa nyie......huo ushambaushamba wenu wa kujifungia urudisheni miaka ya 60 huko mabwege nyie. Halafu sio Kila safari ni kwa ajili ya kuomba mshamba mkubwa we!
Sawa Twende TaratibuLete taarifa kamili za pesa aliyokopa JPM ndani ya kipindi chote cha muhula wote wa kwanza, halafu linganisha na kiasi cha mikopo alichokopa SSH hadi huo mwaka Ndugai anajiuzulu..
Halafu njoo ulinganishe hizo fedha zimetumika kufanya kitu gani kwenye uongozi wa kila mmoja...
MwanaJF, yaani mara hii umeshayaona maendeleo ya traore?!!!ππππTraore hasafiri lakini maendeleo tunayaona kwao,Hata Trump hasafiri
of course, tunatakiwa kujua hilo, au kama hela za safari zimeisha pia waseme, na mwisho walete mrejesho, katika safari zake hizo zote zimeleta matunda gani? au ni perdiem za steve nyerere na machawa wengine tu kwa kodi zetu.Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapoof co waliozidisha.
JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.
Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!
Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Weka ushahidi wa video au pichaAkacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!
Duh! Hapo ulipo unaonekana umevimba kwa hasira,unahema kwa nguvu na umeshavuja vitu ovyoUnaweza kukuta lafa hili hata familia yake imemshinda halafu hapa linarembuarembua tu kwa kuwaita waliomzidi vilaza.
Kusafiri Kuna mengi malofa nyie......huo ushambaushamba wenu wa kujifungia urudisheni miaka ya 60 huko mabwege nyie. Halafu sio Kila safari ni kwa ajili ya kuomba mshamba mkubwa we!
Halafu kumbuka Takwimu zako kuhusu SSH zinajumuisha miaka 2-3 tu (2021-2023), na uchumi hauwezi kupimwa kwa muda mfupi namna hiyo, na bado kwenye mahesabu umeboronga.Sawa Twende Taratibu
Magu amerithi deni la $16.2B toka kwa Kikwete kwa Gdp ya 49.99B
Mpaka mwishoni 2020 deni la Taifa lilikua 25.5B kwa GDP ya 66B so kulikua na ukuaji wa Pato la Taifa Takriban 16B na ukopaji wa 9.3B ndani ya miaka 5.
Deni la Taifa sasa hivi imezidi 33B ila hatuna data za 2024 za Gdp, natumia za 2023.
Mpaka 2023 GDP yetu ilikua ni 79B usd na deni 31B usd, sawa na ongezeko la 13B usd kwenye pato na 5.5B usd kwenye Deni
Ukiangalia ratio hapo
Magu 1.77
Samia 2.36
So kila 1 aliyokopa Magu alizalisha 1.77 na Kila moja aliyokopa Samia alizalisha 2.36.
Pengine ikawa ratio ya Samia imeshuka 2024 maana viashiria vinaonesha kuna ongezeko dogo ila still ni much better kuliko Magu.
Hivyo mtu yoyote yule anayemsema Samia na kumsifia Magu kwenye Suala zima la ukopaji ni mnafiki, tu wote Wawili Samia na Magu utawala wao tumeshuhudia ukopaji mkubwa mno, Wamekopa zaidi kuliko maraisi wote 1961-2014.
πππππJK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani
On contrary, nipo hapa nimetulia kwa amani kabisa nafuatilia mateso yenu tu nyie hatersDuh! Hapo ulipo unaonekana umevimba kwa hasira,unahema kwa nguvu na umeshavuja vitu ovyo
Huoni hata aibu?Hajawahi safari popote kutafuta Msaada bali connection za biashara,uwe jnafuatiloa ziara za Rais.
Na Kwa taarifa Yako hajawahi fanya ziara ya hasara.
Aibu gani ? Taja huo Msaada inaoujua weweHuoni hata aibu?
Hili swali lingejibiwa vyema na Mzee wa Galilaya.Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.
JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.
Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!
Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!