Watanzania siku mtapokezana madaraka baina ya vyama ndio mje mtutambie

Hahahaha, mnajiandaa kulalamika, ghafla Magufuli amekua mtu mwema. Ninauhakika 120% mtaanza kulalamika kwamba Mama Samia haipendi Kenya ni bora Magufuli, ninyi ni watu wa kulialia na kuhusi dunia nzima haiwapendi.

Mlikua mnasema Kikwete alikua ni rafiki wa Kenya na Magufuli anaichukia Kenya, sasa mtasema Magufuli alikua ni mzuri kwa biashara zaidi za Samia Suluhu. Ninyi ni watu wa kuwapuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…