Uchaguzi 2020 Watanzania sio wajinga, hakuna Mtanzania atakayewapigia kura za huruma CHADEMA

Uchaguzi 2020 Watanzania sio wajinga, hakuna Mtanzania atakayewapigia kura za huruma CHADEMA

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Tumeshawasoma kuwa mmempitisha Tundu Lissu agombee ili mpate huruma toka kwa wananchi kwa tukio baya ambalo lilimpata baada ya kushambuliwa na genge la magaidi wanaotumiwa na CHADEMA na hii ni kwa mujibu wa Godwin Mollel Naibu Waziri Wa Afya.

Tuachane na hayo ya kushambuliwa,tujikite kwenye uchaguzi huu ambao utafanyika octoba mwaka huu.

Hivi kwa namna ambavyo Tundu Lissu anavyodharaulika kwa watanzania kwa kutokuwa mzalendo na mtu wa kujipendekeza kwa mbeberu mnategemea apigiwe kura za huruma? Kisa alishambuliwa!

Nani mwenye akili timamu aache kumchagua Rais mzalendo ambae amefanya matokeo chanya ya kimaendeleo kwa sekta muhimu kama afya, elimu na kuimarisha miundo mbinu.

Leo hii mnampambanisha na na kibaraka wa mabeberu kisa mnategemea kura za huruma kwa wananchi!
 
Kijana ukiweka kando ukabila na udini uliotangazwa na gwajima ni nani kati ya wafuatao anaweza kupigia kura ccm?!?!.......zingatia zile factors...(economic, social and political factors)......
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
 
Mimi mkuu ntawapigia CDM kura ya huruma, pia ntashawishi nandugu zangu huko kijijini ingawa waliniuliza eti yule alipigwa Lisasi karudi kugombea uraisi, nikawambia ndio wakasema wanamtaka huyohuyo, na watoto wao wasije wakapigwa risasi wanahitaji kiongozi mwenye huruma, alienda watetea watu huko nyamongo waliokuwa wanazikwa huku wakiwa hai.
 
Back
Top Bottom