Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka walisema Lissu hatorudi!!Lumumba mmeshahamisha goli tena. Saivi mmeamia kwenye hakuna kura za huruma. Kweli Lissu atawaua mwaka huu 😃😀😀
Subiri oktoba ifike ndio utapata jibu. Kama kuna huruma kwa vibaraka wa mabeberu.Lumumba mmeshahamisha goli tena. Saivi mmeamia kwenye hakuna kura za huruma. Kweli Lissu atawaua mwaka huu 😃😀😀
Wanatia huruma kwa kweli. Lissu kawafanya wapoteane kabisaaaKumbuka walisema Lissu hatorudi!!
Kunywa panadol ulale tu ndugu. Najua hali leo ni mbaya sana huko LumumbaSubiri oktoba ifike ndio utapata jibu. Kama kuna huruma kwa vibaraka wa mabeberu.
Nipo Kakola Bulyanhulu, habari za Lumumba sizijui.Kunywa panadol ulale tu ndugu. Najua hali leo ni mbaya sana huko Lumumba
Kwani Bulyanhulu ndo hakuna wana Lumumba??? Au ndo mpwa tuinuane???Nipo Kakola Bulyanhulu, habari za Lumumba sizijui.
Msaliti niyule asietaka watanzania tuishi kwa amani, yule aliemfunga Kabendera, akamsamehe Lugola kwa ubadhirifu wa mali za watanzania kisa kamwita Yesu, msalitu niyule alimpoteza Ben Saanane kisa kahoji U Dr. fake, msaliti niyule aliekula pesa za majanga Kagera, msaliti niyule alihonga nyumba za uma kwa mahawara zake, msaliti niyule alimpeleka Sundi nakumpa uofisa wa madini katika wizara ya madini, msaliti niyule aliekwapua tril 1.5, msaliti niyule asietaka watu wasafi Kama Prof Assad katika ofisi za uma, msaliti niyule alienunua vivuko vibovu baada yakuona wanasema sana akavikabidhi jeshini, msaliti niyule anaewaita watoto wawatu vilaza, huku wake akiwa alifeli form six nahaijulikan alifikaje chuo huyo ndio msaliti wa taifa ambae watanzania hatumtaki katika aridhi yetu.Siwezi kumchagua msaliti wa taifa(mst)
Kwani wewe ni mtanzania?unamaanisha nini mkuu kusema hakuna mtanzania? ni kwamba mimi ni mmojawapo nitayempigia Tundu Lisu
Hakuna wazalendo mle,wezi tu!Hivi mtu mzalendo anaweza kuacha trilioni 1.5 ya watanzania itoweke bila maelezo?
Unaujuwa uzalendo au mzalendo?. Siku utakayo pelekwa kituo cha polisi halafu mdosi au mwenye hela ndio anakushtaki utauona uzalendo. Mzalendo haogopi kipengele cha rais kushtakiwa afanyapo makosa akiwa madarakani.Nani mwenye akili timamu aache kumchagua Rais mzalendo ambae amefanya matokeo chanya ya kimaendeleo kwa sekta muhimu kama afya, elimu na kuimarisha miundo mbinu.
Wakimbizi wote CCM wanaogopa kufukuzwa hadi Mwenyekiti wenuNyie mtakuwa wakimbizi sio watanzania.
Kwani Mou ni Contract? Na wapi alisema amemtoa kwa kuchota tril 1.2?Alimtoa kwenye uwaziri kisa kosa gani?.
Bora ukae kimya kuliko kudandia mada fala wewe.Mleta mada najua umetumwa na nyangogo wa burigi kamwambie kuwa anyanyue tunguli zake pale mjengoni akachunge ng'ombe hukooo LISSU THE PRESIDENT kama hutaki na hujisikii canye
Endelea kuweweseka!Hivi kwa namna ambavyo Tundu Lissu anavyodharaulika kwa watanzania kwa kutokuwa mzalendo na mtu wa kujipendekeza kwa mbeberu mnategemea apigiwe kura za huruma? Kisa alishambuliwa!