Uchaguzi 2020 Watanzania sio wajinga, hawatachagua chama ambacho wafuasi, viongozi na wanachama wake sio wazalendo

Uzalendo ni kufaidi keki ya Taifa pekeyunu,uzalendo ni kuwa na sera ambazo hazitabiliki 'uncertanity policies' you can not reach your goals and plan for growth of business with uncertanity policies'
 
Uzalendo ni kufaidi keki ya Taifa pekeyunu,uzalendo ni kuwa na sera ambazo hazitabiliki 'uncertanity policies' you can not reach your goals and plan for growth of business with uncertanity policies'
Weka ushahidi.
 
Wanajeshi walipo enda kununua korosho, mama lishe na baba lishe walikosa kipato,waliowekeza kwenye usafiri walikosa pesa,wenye vyumba vya kulala wageni walikosa pesa pia 'an entrepreneur and his enviroments affect entrepreneurship'
Hoja haina mashiko. Maana hapa tunajadili uzalendo na watu kama nyie ambao hamuitakii mema Tanzania.
 

Sema ww hautochagua
Usitupangie
 
Kwani Mrema yupo Ccm?
Mrema huyu huyu aliyeanzisha ofisi ya Naibu Waziri Mkuu kijijini kwake Kiraracha na kuwapa siku 7 watuhumiwa wa ufisadi akutane nao huko?
CCM mna kamusi yenu ya Chama kuhusu uzalendo.
 
Mrema huyu huyu aliyeanzisha ofisi ya Naibu Waziri Mkuu kijijini kwake Kiraracha na kuwapa siku 7 watuhumiwa wa ufisadi akutane nao huko?
CCM mna kamusi yenu ya Chama kuhusu uzalendo.
Unamchafua bure hakuwa na mambo ya ufisadi. Nia yako useme alihongwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…