Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,406
- 2,521
Chama kutumia dola ili kubaki madarakani ni unajisi na uharamu tu.Yaani kwa wanao jielewa ni kua Chama kitafanya iwezekenavyo ili vyama ambavyo navyo vinataka kuongoza nchi visifikie ayo mafanikio.Alifafanua vizuri ukampata. Nini matumizi mazuri ya dola kwa maslahi ya taifa. Utamaduni wa Chadema kumuachia mwenyekiti chama hata kama amefeli!
MISUSE OF STATE APPARATUS FOR PARTY INTEREST (STATE CAPTURE)
Bashiru anaweza kuongea tu kwa kuongeza maslahi ya nchi kwa ushabiki ,uongo na unafiki ila waelewa tunajua mkuu.
Si kweli kua mara zote chama kitatumia dola kwa maslahi ya nchi...
Leo nimefikisha mafias 3 naendelea