Uchaguzi 2020 Watanzania sio wajinga, hawatachagua chama ambacho wafuasi, viongozi na wanachama wake sio wazalendo

Uchaguzi 2020 Watanzania sio wajinga, hawatachagua chama ambacho wafuasi, viongozi na wanachama wake sio wazalendo

We jamaa ni mpuuzi.

Upuuzi wako upo kwenye kutaja maendeleo ya TANZANIA yanaletwa na ccm.
 
Uzalendo ni itikadi ya kuweka maslahi ya taifa lako mbele ili liweze kufanikiwa kwa kila namna. Lakini inatia aibu sana CHADEMA na wanachama wake pamoja na wafuasi wake hawana uzalendo kabisa na hawalitakii mema taifa letu.

Kwa mwananchi mzalendo ambae unalitakia mema taifa lako huwezi kubeza mambo ambayo CCM imelifanyia taifa hili tangu tunapata uhuru mpaka sasa. Serikali ya CCM inaimarisha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya na hospital, mnasema eti ni maendeleo ya vitu. Kwani hawatakuja kutibiwa watu?

Serikali ya CCM inajenga mradi wa JNHPP ili taifa lipate umeme mwingi na wa uhakika. Mnasema eti ni Mega structures na hazina manufaa kwa watu. Kwani huo umeme nyie wanaChadema hamtautumia? Tena kwa bei rahisi! Mradi wa Sgr mnasema ni maendeleo ya vitu sio watu. Kwa hiyo hiyo treni hamtaipanda? Hamtasafirishia mizigo yenu?

Kwa ujumla watanzania wameshawajua ninyi ni wapiga dili na chama chenu kipo kimaslahi binafsi. Sio kuwaletea watanzania maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu.

Natoa ushauri tu Oktoba msijaribu kugombea nafasi yoyote maana watanzania hawawataki tena.

Siasa sio chuki na uadui.
Uzalendo ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani? Uzalendo ni kutafuna trilion 1.5 kienyeji kisha kumtoa kafara CAG? Uzalendo ni Ndungai kutafuna bilion 12 peke yake? Uzalendo ni kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Uzalendo ni kupiga marufuku mikutano ya siasa kinyume cha Sheria na katiba
 
Mkuu kila awamu imefanya mazuri kulingana na wakati na nafasi yake. Huwezi kumsema vibaya JKN alivyosomesha bure watu na hata huduma za afya zilikuwa bure na za uhakika. Kwa hiyo kila awamu imefanya kazi nzuri japokuwa awamu ya tano kuna mambo ya ziada zaidi. Hasa kufanya mambo makubwa kama haya kwa muda mfupi.
Hao mumiani unaosema awamu hii wamedhibitiwa sana.
Miradi yote mikubwa iliachwa na kikwete ikiwa imesainiwa ni mwendelezo wa kikwete hakuna cha mda mfupi hapo acha kupotosha vingi vimeanza zamani licha ya kujaa ufisadi mwingi
 
Nazi social party walikuwa balaa. Watu walikuwa wanapigwa risasi hadharani. Usifananinishe na Ccm ambayo inakujengea JNHPP huku unao uhuru wa kujieleza.
Uhuru upo JF peke yake, kwenye vyombo vingine vya habari mawasiliano kama Whatsapp instagrams nk hakuna uhuru
 
Moja ya ugonjwa uliokosa kipimo na ili upone ni ujitambue wewe mwenyewe.
NI KUOGOPA KISICHOKUWEPO.
 
Cheka kwa nguvu kwani wewe ni mnufaika wa udhalimu huo unasaka uteuzi kama huna Akili nzuri
Uteuzi wa nini mimi nafanya shughuli zangu za kilimo. Nazungumzia ukweli siongei porojo na upuuzi kama wewe.
 
Wewe mwenyewe ni mpuuzi unawezaje kujua upuuzi? Majibu yapi juu ya wizi wa Trilion 1.5 ambazo mlimtoa CAG kafara
Ndio maana nasema haupo sawa kichwani. Kwani PAC wakati wanatoa majibu bungeni hukusikia?
 
Uzalendo ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani? Uzalendo ni kutafuna trilion 1.5 kienyeji kisha kumtoa kafara CAG? Uzalendo ni Ndungai kutafuna bilion 12 peke yake? Uzalendo ni kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Uzalendo ni kupiga marufuku mikutano ya siasa kinyume cha Sheria na katiba
Hoja zote za kukariri na kuropoka ujinga mtupu. Alafu unajinasibu una akili. Unadhani serikali inaweza kujenga uwanja Chato au kuzui mikutano bila kufuata sheria na katiba?
Kama mlizuiwa bila kufuata sheria na katiba kwa nini hamkuenda mahakamani?
Unalazimisha ufisadi wa tril 1.5 na bil 12 wakati ni uongo mtupu.
 
Miradi yote mikubwa iliachwa na kikwete ikiwa imesainiwa ni mwendelezo wa kikwete hakuna cha mda mfupi hapo acha kupotosha vingi vimeanza zamani licha ya kujaa ufisadi mwingi
Ndio maana nasisitiza huna akili nzuri. Kwani akisaini Kikwete na akatekeleza JPM kuna tatizo? Ni Ccm hiyo hiyo inatekeleza.
Huo ufisadi unaosema unaoushahidi nao? Kama sio ujinga tu unaoongea humu JF.
 
Kama ni hivyo Serikali ya CCM inaitisha Uchaguzi wa nini?
Harafu usiwasemee Watanzania wote kama kwamba wanakipenda Chama chako.
Vinginevyo mnatoa vitisho Wapinzani wasigombee ili mchujkue ushindi wa mezani.
Nani kawasemea wengine? Hapa tunaweka ukweli halisi mambo.
 
Uhuru upo JF peke yake, kwenye vyombo vingine vya habari mawasiliano kama Whatsapp instagrams nk hakuna uhuru
Wewe uelewa wako wa mambo ni mdogo sana. Instragm watu wanapost mambo kwa kujiachia na hata watsapp. Ila unaachotaka ni watu watukane viongozi matusi ndio uone wako huru.
 
Uzalendo ni itikadi ya kuweka maslahi ya taifa lako mbele ili liweze kufanikiwa kwa kila namna. Lakini inatia aibu sana CHADEMA na wanachama wake pamoja na wafuasi wake hawana uzalendo kabisa na hawalitakii mema taifa letu.

Kwa mwananchi mzalendo ambae unalitakia mema taifa lako huwezi kubeza mambo ambayo CCM imelifanyia taifa hili tangu tunapata uhuru mpaka sasa. Serikali ya CCM inaimarisha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya na hospital, mnasema eti ni maendeleo ya vitu. Kwani hawatakuja kutibiwa watu?

Serikali ya CCM inajenga mradi wa JNHPP ili taifa lipate umeme mwingi na wa uhakika. Mnasema eti ni Mega structures na hazina manufaa kwa watu. Kwani huo umeme nyie wanaChadema hamtautumia? Tena kwa bei rahisi! Mradi wa Sgr mnasema ni maendeleo ya vitu sio watu. Kwa hiyo hiyo treni hamtaipanda? Hamtasafirishia mizigo yenu?

Kwa ujumla watanzania wameshawajua ninyi ni wapiga dili na chama chenu kipo kimaslahi binafsi. Sio kuwaletea watanzania maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu.

Natoa ushauri tu Oktoba msijaribu kugombea nafasi yoyote maana watanzania hawawataki tena.

Siasa sio chuki na uadui.
Rubbish
 
Mm na familia yangu tutachagua wapinzani.
Sitaki hanithi wala bwabwa lolote linipangie kura YANGU na familia YANGU tumpe nani.
 
Kwani Mrema yupo Ccm?
Hujui Mrema ni Agent wa MaCCM alitumika kuisambaratisha NCCR??
Kwani uzalendo ni kuuwa watu kuwapiga risasi na kuwapoteza??
Huna hata aibu, hujui CCM ni chama cha wauwaji, watoa rushwa na ushahidi uko wazi ua huoni??
 
Back
Top Bottom