Vipi umo kwenye orodha ya wazuri hawafiHivi nyie chato clan mlitokaje kwani baada kifo cha jiwe? Nani mliyetaka awe Rais?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi umo kwenye orodha ya wazuri hawafiHivi nyie chato clan mlitokaje kwani baada kifo cha jiwe? Nani mliyetaka awe Rais?
Wewe unajuaje uhalali wa utajiri wa mtu? Nchi kila mtu tajiri ni fisadi au freemasonry. Punguzeni chuki kwa watu waliotajirikaBwashee punguza jaziba, utajiri unaoongelwa hapa ni wa pesa halali, utajiri wa kufisadi na kuuza unga huku ukiharibu nguvukazi ya taifa huo siyo utajiri halali. Hakuna mtu anayechukia watu kutajirika, ila katajirikie ndiko kanaleta ukakasi.
Ukisikia mapinduzi ya kifikra ndo hayo sasa usingizi umekataYule jamaa alikuja kujenga chuki sana katika nchi yetu....
Jk hajaleta chuki, hii chuki ya leo haijapandikizwa na JKUkisikia mapinduzi ya kifikra ndo hayo sasa usingizi umekata
Wametajirikaje? we mburula pimbiAcha uchawi wewe na roho na kimasikini yaani unaumia waosha magari kutajirika?
Evelyn Salt inaelekea umeanza kufuatilia mambo ya siasa juzi, baada ya lile jukwaa letu pendwa kufutwa 🤣Jk hajaleta chuki, hii chuki ya leo haijapandikizwa na JK
Membe atakumbukwa kwa ujasiri wake dhidi ya dhalimu Magufuli.Nani amesahau namna Kikwete alivyosafishwa na vyombo vya habari kiasi cha kuaminisha umma kuwa alifaa kuwa kiongozi ambaye atawatumikia vizuri Watanzania?...
Jikite kwenye mada wewe malayaMembe atakumbukwa kwa ujasiri wake dhidi ya dhalimu Magufuli.
Sukuma gang muwe na hoja acheni matusi.Jikite kwenye mada wewe malaya
Usishangae ni baba yao ibilisi aliyeko kuzimu aliwafundisha chuki akisema anataka matajiri waishi kama mashetani. Na ibilisi kazi yake ni kuangamiza na kuharibu. Usishangae kuona wafuasi wa Ibilisi wakifurahia umaskini kwa watu.Yaani mtu anasema ni ubaya watu kutajirika? Kwa hiyo furaha yake ni kuona watu wakiwa masikini! Nchi hii wachawi ( roho mbaya) wako wengi sana
Watanzani wengi wameharibiwa akili na JPM kwa kufikiri kuitwa wanyonge ni uzalendo, Sasa Kama hautaki kiongozi anayeweza kumfanya muosha magari kuwa tajiri unataka Nini?Nani amesahau namna Kikwete alivyosafishwa na vyombo vya habari kiasi cha kuaminisha umma kuwa alifaa kuwa kiongozi ambaye atawatumikia vizuri Watanzania? ...
Focus ya Taifa alikuwa nayo Nyerere sio huyo unayetaka tuamini alikuwa nayo, unaijua $ 98M wewe?Wanaomsifia ni wanasiasa walionufaika nae moja kwa na sio sababu amelifanyia nini taifa. Hiyo ndio tofauti yao na yetu...
Ukawa ilishakufa, inashangaza kuona wewe bado uko hai! Badili jina mkuu, kuwa na jina la marehemu ni nuksi.WaTanzani wengi wameharibiwa akili na JPM kwa kufikiri kuitwa wanyonge ni uzalendo, Sasa Kama hautaki kiongozi anayeweza kumfanya muosha magari kuwa tajiri unataka Nini?
Sukuma gan is your father. Hoja ipo mezani hakuna utapeli tena.Sukuma gang muwe na hoja acheni matusi.
Acha ujinga mara moja labda kama umeanza kuzijua siasa za Tanzania janaJK hajawahi haribu popote na hata kesho akigombea hakuna kima wa kumshinda kuanzia ccm Hadi upinzani.
Amepataje utajiriAiiii mama sikuhizi wachawi sio wazeeee tululu tututu
Kwa hyo muosha magari hapaswi kuwa tajiri?
Kwanza utajir unaanza Bei gani?
Watanzania tunakasumba moja ya kusahau kikwete alikuwa raisi mbovu na maovu mengi hajapata kutokeaEvelyn Salt inaelekea umeanza kufuatilia mambo ya siasa juzi, baada ya lile jukwaa letu pendwa kufutwa 🤣
Unaweza kukumbuka jinsi JK na kundi lake walivyomfitini Salim Ahmed Salim (SAS)? Kikwete alikuwa na genge la wana mtandao ambao walikuwa tayari kuua mtu ili kikwete aingie madarakani. Sijui kama unalijua hilo!