Watanzania sio watu wa kudanganyika tena. Kifo cha Membe ni uthibitisho kuwa sasa hakuna utapeli

Watanzania sio watu wa kudanganyika tena. Kifo cha Membe ni uthibitisho kuwa sasa hakuna utapeli

W
Acha ujinga mara moja labda kama umeanza kuzijua siasa za Tanzania jana

Kikwete ni raisi mbovu hajapata kutokea, ni mmoja ya maraisi walio haribu nchi hii na kufanya kuwa shamba la bibi
Wewe ndio mjinga na wa hovyo.. Sidhani kama Kuna Rais wa hovyo kumshinda Jiwe Toka uhuru.

Narudia tena JK ndio Rais mzuri wa mda wote hapa Tanzania baada ya Nyerere yaani hata kesho akigombea anashinda kweupee hakuna kima wa kumshinda Tanzania hii.
 
W
Wewe ndio mjinga na wa hovyo.. Sidhani kama Kuna Rais wa hovyo kumshinda Jiwe Toka uhuru.

Narudia tena JK ndio Rais mzuri wa mda wote hapa Tanzania baada ya Nyerere yaani hata kesho akigombea anashinda kweupee hakuna kima wa kumshinda Tanzania hii.
Twende kwa fact
2005 kikwete alikuja na maisha bora kwa kila mtanzania lakini yakaja maisha mabaya kwa kila mtanzania
1. Rich mond na Epa ni moja ya upigaji mkubwa wa pesa hapa nchini hajapata kutokea hadi Lowasa kajiuzuru 2008
2. Wanafunzi kukaa chini hadi shule za iringa, njombe na mbeya zinazo zalisha karibu mbao zote hapa nchini. Hadi hapa DSM shule zilizopo hapa mjini kabisa wanafunzi walikuwa wana kaaa chini
3.wawekezaji kuchukua rasilimali kwa njia ya rushwa ya wazi na walikuwa wanasema wazi wazi hakuna wakutufanya na wananchi ambao walizunguka project zao waliishi kama mashetani mfano walio zunguka mashamba ya nafuko mbarali waliuwawa, kuteswa na kushitakiwa , waliozunga migodi hawa watu waliwekewa sumu hadi kwenye maji yao kunywa kati yao walikufa na ngozi zao kuharibika kabisa (migodi ya musoma) n.k
4. Watumishi wa uma kutokuwa wawajibikaji. Kwenye ofisi hizi kulinuka ruswa sana, ulikuwa hauwezi pata huduma bila pesa hadi JMP alivyokuja kweka sawa mambo

5. Wafanyakazi hewa hapa ni hatari na nusu mtu mmoja alikuwa najilipa mishahara ya watu 10 ambao hawapo kabisa na sio kwamba viongozi hawajui. JPM alikuja kaliweka sawa

6. JK alikuwa anasafiri sana kwenda kula bata nchi za watu hadi akawa anaitwa vasco dagama. Watumishi wake walikuwa wanaenda kusaini mikataba ya nchi yetu ulaya, hapa kwenye safari ilikuwa ni fire 🔥🔥
7. Machinga na wa Dr's walikuwa walikuwa wanaandamana kila siku hadi JPM alivyo kuja kutuliza hari ya hewa

Wadau wengine wanaweza nisaidia kuongeza
kwa JMP haya yote 7 geuza kinyume chake
 
Twende kwa fact
2005 kikwete alikuja na maisha bora kwa kila mtanzania lakini yakaja maisha mabaya kwa kila mtanzania
1. Rich mond na Epa ni moja ya upigaji mkubwa wa pesa hapa nchini hajapata kutokea hadi Lowasa kajiuzuru 2008
2. Wanafunzi kukaa chini hadi shule za iringa, njombe na mbeya zinazo zalisha karibu mbao zote hapa nchini. Hadi hapa DSM shule zilizopo hapa mjini kabisa wanafunzi walikuwa wana kaaa chini
3.wawekezaji kuchukua rasilimali kwa njia ya rushwa ya wazi na walikuwa wanasema wazi wazi hakuna wakutufanya na wananchi ambao walizunguka project zao waliishi kama mashetani mfano walio zunguka mashamba ya nafuko mbarali waliuwawa, kuteswa na kushitakiwa , waliozunga migodi hawa watu waliwekewa sumu hadi kwenye maji yao kunywa kati yao walikufa na ngozi zao kuharibika kabisa (migodi ya musoma) n.k
4. Watumishi wa uma kutokuwa wawajibikaji. Kwenye ofisi hizi kulinuka ruswa sana, ulikuwa hauwezi pata huduma bila pesa hadi JMP alivyokuja kweka sawa mambo

5. Wafanyakazi hewa hapa ni hatari na nusu mtu mmoja alikuwa najilipa mishahara ya watu 10 ambao hawapo kabisa na sio kwamba viongozi hawajui. JPM alikuja kaliweka sawa

6. JK alikuwa anasafiri sana kwenda kula bata nchi za watu hadi akawa anaitwa vasco dagama. Watumishi wake walikuwa wanaenda kusaini mikataba ya nchi yetu ulaya, hapa kwenye safari ilikuwa ni fire 🔥🔥
7. Machinga na wa Dr's walikuwa walikuwa wanaandamana kila siku hadi JPM alivyo kuja kutuliza hari ya hewa

Wadau wengine wanaweza nisaidia kuongeza
kwa JMP haya yote 7 geuza kinyume chake
Wewe utakuwa ni mjinga mmja tuu
Hayo maisha magumu ya JK yaliletwa na nini wakati awamu ya JK salary na annual in treatment zilikuwa za kutosha plus posho Juu.

Chini ya JK money circulation ilikuwa ya kutosha

Chini ya JK uwekezaji mkubwa ukifanyika,majengo mnayoona yamepamba Miji yenu na mnapiga picha ni yalijengwa chini ya JK.

Chini ya JK ndio sera ya Kilimo.kwanza ilishika hatamu mahindi yalikuwa bei nzuri NFRA walikuwa wananunua excess bila masharti so wakulima walineemeka.

Chini ya JK ndio mbolea ya ruzuku ilianza kutolewa bila kusahau pawatila nk

Chini ya JK ndio Barabara nyingi sana zilijengwa Kwa mara ya kwanza Kigoma ikapatanwalau uhakika wa usafiri Kwa Madaraja na lami, Sumbawanga,Ruvuma,Iringa Hadi Babati via Dom,Daraja la Kigamboni,Kurasini interchange,BRT nk.

Chini ya JK ndio Upanuzi mkubwa Elimu ulifanywa kuanzia darasa la saba Hadi vyuo Vikuu both private na puplic , refer shule za kata na Udom

Chini ya JK ndio sekta ya Ardhi yaani real estates ilikuwa ni Mali kabla ya kuvurugwa na yule kichwa kikubwa wenu,JK alikuwa ajenge Satellite Cities za Kigamboni,Burka Arusha,Kawe nk

Chini ya JK ndio Sekta ya Afya ilianza kupata uhai Kwa kujengwa hospital ya Mlonganzila, Benjamin Mkapa na Baadhi ya Hospital za Wilaya

Chini ya JK ndio tulioata umeme wa uhakika wa gas ambao Hadi Sasa ndio unatoa 66% ya umeme tunaitumia na pia sekta ya gas ilikuwa na kunawiri bila kusahau alianzisha REA ,

Chini ya JK tulioata sana mikopo ya Elimu ya Juu na mm nilioata 90%

Chini ya JK Ajira zilikuwa bwerere kuanzia sekta binafsi Hadi Serikalini,ni awamu ya JK watu walipenda kujiajiri kuliko kuajirika na Serikali..

Kiufupi JK ndio alileta maisha Bora Kwa Kila mtanzania Kwa vitendo sio hadithi za kipuuzi na propaganda uchwara..

List ni ndefu sana ila unfortunately yule mtu wenu alivuruga Kila kitu tumeanz upya na SSH.
media_13665498.jpeg
22112018.jpg
 
Wewe utakuwa ni mjinga mmja tuu
Hayo maisha magumu ya JK yaliletwa na nini wakati awamu ya JK salary na annual in treatment zilikuwa za kutosha plus posho Juu.

Chini ya JK money circulation ilikuwa ya kutosha

Chini ya JK uwekezaji mkubwa ukifanyika,majengo mnayoona yamepamba Miji yenu na mnapiga picha ni yalijengwa chini ya JK.

Chini ya JK ndio sera ya Kilimo.kwanza ilishika hatamu mahindi yalikuwa bei nzuri NFRA walikuwa wananunua excess bila masharti so wakulima walineemeka.

Chini ya JK ndio mbolea ya ruzuku ilianza kutolewa bila kusahau pawatila nk

Chini ya JK ndio Barabara nyingi sana zilijengwa Kwa mara ya kwanza Kigoma ikapatanwalau uhakika wa usafiri Kwa Madaraja na lami, Sumbawanga,Ruvuma,Iringa Hadi Babati via Dom,Daraja la Kigamboni,Kurasini interchange,BRT nk.

Chini ya JK ndio Upanuzi mkubwa Elimu ulifanywa kuanzia darasa la saba Hadi vyuo Vikuu both private na puplic , refer shule za kata na Udom

Chini ya JK ndio sekta ya Ardhi yaani real estates ilikuwa ni Mali kabla ya kuvurugwa na yule kichwa kikubwa wenu,JK alikuwa ajenge Satellite Cities za Kigamboni,Burka Arusha,Kawe nk

Chini ya JK ndio Sekta ya Afya ilianza kupata uhai Kwa kujengwa hospital ya Mlonganzila, Benjamin Mkapa na Baadhi ya Hospital za Wilaya

Chini ya JK ndio tulioata umeme wa uhakika wa gas ambao Hadi Sasa ndio unatoa 66% ya umeme tunaitumia na pia sekta ya gas ilikuwa na kunawiri bila kusahau alianzisha REA ,

Chini ya JK tulioata sana mikopo ya Elimu ya Juu na mm nilioata 90%

Chini ya JK Ajira zilikuwa bwerere kuanzia sekta binafsi Hadi Serikalini,ni awamu ya JK watu walipenda kujiajiri kuliko kuajirika na Serikali..

Kiufupi JK ndio alileta maisha Bora Kwa Kila mtanzania Kwa vitendo sio hadithi za kipuuzi na propaganda uchwara..

List ni ndefu sana ila unfortunately yule mtu wenu alivuruga Kila kitu tumeanz upya na SSH.View attachment 2622396View attachment 2622397
Hivyo vyote ulivyo unavyo zungumza viligubikwa na ufisa mkubwa sana

Kwenye elimu ndo usiseme kabisa ndo walikuja na mfumo wa big result ambao walikuwa wanapika matokeo ya watoto
Kwenye hesabu walileta machagulio, matokeo yamekuja umefalu yakija matokeo ya pili umefeli
Ishu ya barabara sijui majengo n.k ufisadi mtupu mikataba yote ilisainiwa ulaya, na haikuwa wazi kabisa

Gas ya mtwara plan zake ilitakiwa mitambo iwepo eneo la tukio ili wananchi wafaidike na project mara paaa ukamishiwa DSM wananchi wakaambulia kipigo walivyo andamna kupinga hilo
 
Hivyo vyote ulivyo unavyo zungumza viligubikwa na ufisa mkubwa sana

Kwenye elimu ndo usiseme kabisa ndo walikuja na mfumo wa big result ambao walikuwa wanapika matokeo ya watoto
Kwenye hesabu walileta machagulio, matokeo yamekuja umefalu yakija matokeo ya pili umefeli
Ishu ya barabara sijui majengo n.k ufisadi mtupu mikataba yote ilisainiwa ulaya, na haikuwa wazi kabisa

Gas ya mtwara plan zake ilitakiwa mitambo iwepo eneo la tukio ili wananchi wafaidike na project mara paaa ukamishiwa DSM wananchi wakaambulia kipigo walivyo andamna kupinga hilo
Ufisadi uko wapi? Kungekuwa na Ufisadi vingejengwa? Lini Ufisadi uliwahi Isha hapa Tanzania?
 
Wanaomsifia ni wanasiasa walionufaika nae moja kwa na sio sababu amelifanyia nini taifa. Hiyo ndio tofauti yao na yetu.

We angalia tu kila anayemsifia Membe atakuambia alinipa hiki, mara alinishauri vile. Sasa wao wanadhani wanamjenga kumbe wanambomoa yeye na wao wanajibomoa.

Wao wanajifocus wao binafsi, sisi tunafocus taifa na nchi yetu.
Miaka 60 ya uhuru watu wanakunywa maji ya tope bado mnafocus na nchi?
Mnacheza nachi?
 
Evelyn Salt inaelekea umeanza kufuatilia mambo ya siasa juzi, baada ya lile jukwaa letu pendwa kufutwa 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hata kama....
Haikuwahi kujengeka chuki ya kiwango hiki cha sasa hadi kufurahia vifo, marehemu ameuachia kitu kibaya sana
 
Back
Top Bottom