Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Habari zenu Watanzania,
Jamani mfumo wa maisha umebadilika sana tupo ulimwengu wa Technolojia ya hali ya juu.
Sababu ya kuandika uzi huu imetokana na kupokea habari ya msiba ya aliekuwa rafiki yangu ambae alikuwa anafanya kazi shirika la Umeme TANESCO kuwa amefariki.
Story yenyewe ipo hivi mdada alikuwa anaumwa Pumu, asthma kwa muda mrefu kama unavyojua Mbeya ni mji wenye baridi kali badala ya kumpeleka Hospitali Aunt yake akampeleka kwenye Maombi.
Huko kwenye kambi ya maombi wamekaa na mgonjwa week nzima mgonjwa kazidiwa mpaka amefariki.
Tukio lingine nimekutana nalo ni la kijinga sana yaani ukweni kwangu kuna mtu mzima alitoka bafuni kuoga akatereza kwenye ngazi na kuvunjika mfupa wa mguu mmoja eti wamemvundika ndani wanasema eti kachezewa kwa sababu eti pale alipojikwaa panaoneka sio pa kupelekea kuvunjika mfupa hivyo ukoo mzima unasema KARUSHIWA KOMBORA 😭😭😭😭 yaani nimecheka na kulia hapo hapo anyway ngoja nimalizie hicho kisa cha pili sasa.
Mpaka ninavyoandika hapa hawajampeleka mgonjwa hospitali wamemtumia nauli tulizochanga ndugu mzee fulani kutoka Tabora eti anaunga mifupa bila kugusa sehemu iliyovunjika week imeshapita mguu umeanza kuoza wanapeana tahadhari eti akipelekwa hospital watamkata mguu.
Anyway ngoja niseme kitu hapa Jamii ya WATANZANIA tuache kutumia Formular za kizamani haswa kwenye kusolve matatizo ya kileo.
Imani hizo zimeshapitwa na wakati hata hizo Dini zimeletwa na hao wazungu siku hizi huko kwao hawana Shobo nazo labda hii ya Uarabuni ambayo nayo kichomi kwa amani ya dunia kwa kuunganishwa na matendo ya kigaidi.
Kuamini uganga, Uchawi, amani za dini zilizopitiliza ni ushamba ambao hauna nafasi kwenye maisha ya kileo.ASANTE
Jamani mfumo wa maisha umebadilika sana tupo ulimwengu wa Technolojia ya hali ya juu.
Sababu ya kuandika uzi huu imetokana na kupokea habari ya msiba ya aliekuwa rafiki yangu ambae alikuwa anafanya kazi shirika la Umeme TANESCO kuwa amefariki.
Story yenyewe ipo hivi mdada alikuwa anaumwa Pumu, asthma kwa muda mrefu kama unavyojua Mbeya ni mji wenye baridi kali badala ya kumpeleka Hospitali Aunt yake akampeleka kwenye Maombi.
Huko kwenye kambi ya maombi wamekaa na mgonjwa week nzima mgonjwa kazidiwa mpaka amefariki.
Tukio lingine nimekutana nalo ni la kijinga sana yaani ukweni kwangu kuna mtu mzima alitoka bafuni kuoga akatereza kwenye ngazi na kuvunjika mfupa wa mguu mmoja eti wamemvundika ndani wanasema eti kachezewa kwa sababu eti pale alipojikwaa panaoneka sio pa kupelekea kuvunjika mfupa hivyo ukoo mzima unasema KARUSHIWA KOMBORA 😭😭😭😭 yaani nimecheka na kulia hapo hapo anyway ngoja nimalizie hicho kisa cha pili sasa.
Mpaka ninavyoandika hapa hawajampeleka mgonjwa hospitali wamemtumia nauli tulizochanga ndugu mzee fulani kutoka Tabora eti anaunga mifupa bila kugusa sehemu iliyovunjika week imeshapita mguu umeanza kuoza wanapeana tahadhari eti akipelekwa hospital watamkata mguu.
Anyway ngoja niseme kitu hapa Jamii ya WATANZANIA tuache kutumia Formular za kizamani haswa kwenye kusolve matatizo ya kileo.
Imani hizo zimeshapitwa na wakati hata hizo Dini zimeletwa na hao wazungu siku hizi huko kwao hawana Shobo nazo labda hii ya Uarabuni ambayo nayo kichomi kwa amani ya dunia kwa kuunganishwa na matendo ya kigaidi.
Kuamini uganga, Uchawi, amani za dini zilizopitiliza ni ushamba ambao hauna nafasi kwenye maisha ya kileo.ASANTE