Watanzania tuachaneni na imani zilizopitwa na wakati

Watanzania tuachaneni na imani zilizopitwa na wakati

Billie

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
13,588
Reaction score
22,752
Habari zenu Watanzania,

Jamani mfumo wa maisha umebadilika sana tupo ulimwengu wa Technolojia ya hali ya juu.

Sababu ya kuandika uzi huu imetokana na kupokea habari ya msiba ya aliekuwa rafiki yangu ambae alikuwa anafanya kazi shirika la Umeme TANESCO kuwa amefariki.

Story yenyewe ipo hivi mdada alikuwa anaumwa Pumu, asthma kwa muda mrefu kama unavyojua Mbeya ni mji wenye baridi kali badala ya kumpeleka Hospitali Aunt yake akampeleka kwenye Maombi.

Huko kwenye kambi ya maombi wamekaa na mgonjwa week nzima mgonjwa kazidiwa mpaka amefariki.

Tukio lingine nimekutana nalo ni la kijinga sana yaani ukweni kwangu kuna mtu mzima alitoka bafuni kuoga akatereza kwenye ngazi na kuvunjika mfupa wa mguu mmoja eti wamemvundika ndani wanasema eti kachezewa kwa sababu eti pale alipojikwaa panaoneka sio pa kupelekea kuvunjika mfupa hivyo ukoo mzima unasema KARUSHIWA KOMBORA 😭😭😭😭 yaani nimecheka na kulia hapo hapo anyway ngoja nimalizie hicho kisa cha pili sasa.

Mpaka ninavyoandika hapa hawajampeleka mgonjwa hospitali wamemtumia nauli tulizochanga ndugu mzee fulani kutoka Tabora eti anaunga mifupa bila kugusa sehemu iliyovunjika week imeshapita mguu umeanza kuoza wanapeana tahadhari eti akipelekwa hospital watamkata mguu.

Anyway ngoja niseme kitu hapa Jamii ya WATANZANIA tuache kutumia Formular za kizamani haswa kwenye kusolve matatizo ya kileo.

Imani hizo zimeshapitwa na wakati hata hizo Dini zimeletwa na hao wazungu siku hizi huko kwao hawana Shobo nazo labda hii ya Uarabuni ambayo nayo kichomi kwa amani ya dunia kwa kuunganishwa na matendo ya kigaidi.

Kuamini uganga, Uchawi, amani za dini zilizopitiliza ni ushamba ambao hauna nafasi kwenye maisha ya kileo.ASANTE
 
Habari zenu WaTANZANIA
Jamani mfumo wa maisha umebadilika sana tupo ulimwengu wa Technolojia ya hali ya juu.
Sababu ya kuandika uzi huu imetokana na kupokea habari ya msiba ya aliekuwa rafiki yangu ambae alikuwa anafanya kazi shirika la Umeme TANESCO kuwa amefariki.
Story yenyewe ipo hivi mdada alikuwa anaumwa Pumu, asthma kwa muda mrefu kama unavyojua Mbeya ni mji wenye baridi kali badala ya kumpeleka Hospitali Aunt yake akampeleka kwenye Maombi.
Huko kwenye kambi ya maombi wamekaa na mgonjwa week nzima mgonjwa kazidiwa mpaka amefariki.
Tukio lingine nimekutana nalo ni la kijinga sana yaani ukweni kwangu kuna mtu mzima alitoka bafuni kuoga akatereza kwenye ngazi na kuvunjika mfupa wa mguu mmoja eti wamemvundika ndani wanasema eti kachezewa kwa sababu eti pale alipojikwaa panaoneka sio pa kupelekea kuvunjika mfupa hivyo ukoo mzima unasema KARUSHIWA KOMBORA 😭😭😭😭 yaani nimecheka na kulia hapo hapo anyway ngoja nimalizie hicho kisa cha pili sasa.Mpaka ninavyoandika hapa hawajampeleka mgonjwa hospitali wamemtumia nauli tulizochanga ndugu mzee fulani kutoka Tabora eti anaunga mifupa bila kugusa sehemu iliyovunjika week imeshapita mguu umeanza kuoza wanapeana tahadhari eti akipelekwa hospital watamkata mguu.
Anyway ngoja niseme kitu hapa Jamii ya WATANZANIA tuache kutumia Formular za kizamani haswa kwenye kusolve matatizo ya kileo.
Imani hizo zimeshapitwa na wakati hata hizo Dini zimeletwa na hao wazungu siku hizi huko kwao hawana Shobo nazo labda hii ya Uarabuni ambayo nayo kichomi kwa amani ya dunia kwa kuunganishwa na matendo ya kigaidi.
Kuamini uganga,Uchawi,amani za dini zilizopitiliza ni ushamba ambao hauna nafasi kwenye maisha ya kileo.ASANTE
Kwa nini ulicheka hadi ukalia machozi?Ulimpeleka mgonjwa "sipitali",
 
Habari zenu Watanzania,

Jamani mfumo wa maisha umebadilika sana tupo ulimwengu wa Technolojia ya hali ya juu.

Sababu ya kuandika uzi huu imetokana na kupokea habari ya msiba ya aliekuwa rafiki yangu ambae alikuwa anafanya kazi shirika la Umeme TANESCO kuwa amefariki.

Story yenyewe ipo hivi mdada alikuwa anaumwa Pumu, asthma kwa muda mrefu kama unavyojua Mbeya ni mji wenye baridi kali badala ya kumpeleka Hospitali Aunt yake akampeleka kwenye Maombi.

Huko kwenye kambi ya maombi wamekaa na mgonjwa week nzima mgonjwa kazidiwa mpaka amefariki.

Tukio lingine nimekutana nalo ni la kijinga sana yaani ukweni kwangu kuna mtu mzima alitoka bafuni kuoga akatereza kwenye ngazi na kuvunjika mfupa wa mguu mmoja eti wamemvundika ndani wanasema eti kachezewa kwa sababu eti pale alipojikwaa panaoneka sio pa kupelekea kuvunjika mfupa hivyo ukoo mzima unasema KARUSHIWA KOMBORA 😭😭😭😭 yaani nimecheka na kulia hapo hapo anyway ngoja nimalizie hicho kisa cha pili sasa.

Mpaka ninavyoandika hapa hawajampeleka mgonjwa hospitali wamemtumia nauli tulizochanga ndugu mzee fulani kutoka Tabora eti anaunga mifupa bila kugusa sehemu iliyovunjika week imeshapita mguu umeanza kuoza wanapeana tahadhari eti akipelekwa hospital watamkata mguu.

Anyway ngoja niseme kitu hapa Jamii ya WATANZANIA tuache kutumia Formular za kizamani haswa kwenye kusolve matatizo ya kileo.

Imani hizo zimeshapitwa na wakati hata hizo Dini zimeletwa na hao wazungu siku hizi huko kwao hawana Shobo nazo labda hii ya Uarabuni ambayo nayo kichomi kwa amani ya dunia kwa kuunganishwa na matendo ya kigaidi.

Kuamini uganga, Uchawi, amani za dini zilizopitiliza ni ushamba ambao hauna nafasi kwenye maisha ya kileo.ASANTE
Achana nao..
 
Nadhani wewe ndiye uliyepitwa na Wakati.
Kwenye swala la Imani sio msomi Wala nani wengi wa madaktari ndo wafausi wa mwamposa. Huwaambii kitu kuhusu mafuta ya mwamposa.

Kuhusu kuunga mtu aliyevunijka kuungwa kienyeji hiyo njia sio uzamani Wala kupitwa na Wakati watu wanatibiwa na wanapona Kwa muda mfupi.

Kipindi nikiwa machimboni nyangalata Kuna jamaa wengi tu walikuwa wanapata ajari mbaya maduarani ukimwangalia lazima useme huyu akifika hospital mguu au mkono lazima ukatwe!

Pale kakola alikuwepo Dr wa mifupa kienyeji anaunga Kwa muda mfupi mno na kupona watu walikuwa wanapona na wengine miguu kupinda ila wanapona .

Hitimisho sio Kila ugonjwa lazima uende hospital kama una uhakika Kuna tiba asili inatibu fanya hivo upone.

Walichofanya Hawa Kwa aliyevunijka wamechelewesha tu kumpeleka kwenye huduma nina uhakika kama jamaa ni mtaalamu haswa atapona Kwa muda mfupi tu.

Huyu wa pumu sio uzamani hizo ni Imani za kipumbavu. Unaumwa maralia ila unaenda kuombewa huo ni utahila Wala sio uzamani mkuu

Yangu ni hayo waambie acheni UTAHIRA
 
Kama una imani hizi kichwani mwako una safari ndefu sana ya kuleta mapinduzi kwenye maisha yako ndugu
Nadhani wewe ndiye uliyepitwa na Wakati.
Kwenye swala la Imani sio msomi Wala nani wengi wa madaktari ndo wafausi wa mwamposa. Huwaambii kitu kuhusu mafuta ya mwamposa.

Kuhusu kuunga mtu aliyevunijka kuungwa kienyeji hiyo njia sio uzamani Wala kupitwa na Wakati watu wanatibiwa na wanapona Kwa muda mfupi.

Kipindi nikiwa machimboni nyangalata Kuna jamaa wengi tu walikuwa wanapata ajari mbaya maduarani ukimwangalia lazima useme huyu akifika hospital mguu au mkono lazima ukatwe!

Pale kakola alikuwepo Dr wa mifupa kienyeji anaunga Kwa muda mfupi mno na kupona watu walikuwa wanapona na wengine miguu kupinda ila wanapona .

Hitimisho sio Kila ugonjwa lazima uende hospital kama una uhakika Kuna tiba asili inatibu fanya hivo upone.

Walichofanya Hawa Kwa aliyevunijka wamechelewesha tu kumpeleka kwenye huduma nina uhakika kama jamaa ni mtaalamu haswa atapona Kwa muda mfupi tu.

Huyu wa pumu sio uzamani hizo ni Imani za kipumbavu. Unaumwa maralia ila unaenda kuombewa huo ni utahila Wala sio uzamani mkuu

Yangu ni hayo waambie acheni UTAHIRA
 
Back
Top Bottom