BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hii ni kawadia mjinga wewe na haiondoi uasili wake au umiliki wakeWatu wanajua mwarabu ndio kila kitu hapo aisee!kumbe mwarabu kaweka pesa management kawapa wazungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kawadia mjinga wewe na haiondoi uasili wake au umiliki wakeWatu wanajua mwarabu ndio kila kitu hapo aisee!kumbe mwarabu kaweka pesa management kawapa wazungu
We ni mjingaKwahiyo shida ni mwarabu hapo [emoji3]
Kwani kinacho pingwa ni kwa sababu ni ya Waarabu? Kwani tulivyo pinga Migodi ilikuwa ni Waarabu? Punguza ufala basi Mkuu,Kwahiyo hapa unataka kusemaje mkuu? Vipi kama ingeendeshwa na mwarabu ila mmiliki ni mzungu,hapo wewe ungeona sawa?
Ina maana tatizo lako lipo kwa waarabu au kwa Bandari kupewa kampuni kuiendesha?
Migodi si pia inapigiwa kelele kwani ni waarabu wale? Nyie ndio mnawatetea kisa ni ndugu zenu, ila sisi tutapinga hata wawe waafrica wenzetu, yaani hata wangekuwa ni Warundi.Kwahiyo kinachokukera ni uarabu wao?..wala sio mkataba kama Una masilahi kwetu au la??
Usiseme Waarabu sema ndugu zako katika DiniNasikia hawa Waarabu wanaendesha mpaka bandari ya Uingereza?
Eti kweli?
Aise safi sanaJiji linabadilika sura sasa hivi. Ngoja wafike wawekezaji wa DP World ujionee.
Kwanza ile tunayoiona mijengo tunayoiona ya maana iliyochipua Kariakoo bila viwango, usishangae ukiambiwa mwekezaji mmoja anainunua yote anaipiga chini na kuweka vitu vyenye viwango kama Dubai.
Nawashauri vijana anzeni kuwatafuta CDC Group ya Uingereza, utaingia kwa kishindo.
Msiseme hamkuambiwa.
Aise safi sana
Itapendeza sana
Ova
Sikiliza Binti,niliyemquote nimemquote kwa jinsi alivyoandika comment yake,yeye amepinga kupewa Waarabu,Kwani kinacho pingwa ni kwa sababu ni ya Waarabu? Kwani tulivyo pinga Migodi ilikuwa ni Waarabu? Punguza ufala basi Mkuu,
ولجنن فننHabib habib مسنينييططنو
ولجنن فننHabib habib مسنينييططنو
Ustaadhi Zitto bin Kabwe?Ustaadhati
Mapungufu yepi?Hao DP-World ni kwa sbb ya Usultan wao wangekuwa ni wataliano na kwa hayo mapungufu sijui ungesema nini? Ingekuwa full kashifa. WTanzania hatuna shida na iyo DP World toka kwa hao maustaadhi wenzio tatzo ni aina ya mkataba uliosainiwa kwa kunguvu za huyo dada wa kizanzibar tu. Vipengele vikiwekwa Sawa twende nao ila sio kufungamana mpk Yesu atakapo rudi.
Kuna watu wameambiwa bandari kapewa "mwarabu" hawajui kuwa Dpworld inaendeshwa na Wamarekani.....
Ile chuki Kwa waraabu inaweza fanya watu wapishane na gari la fursa...
watu hao walikuambia wapi mpuuzi wewe?Kuna watu wameambiwa bandari kapewa "mwarabu" hawajui kuwa Dpworld inaendeshwa na Wamarekani.....
Ile chuki Kwa waraabu inaweza fanya watu wapishane na gari la fursa...