Katika nchi yetu kuanzia juzi vilio vya makato ya miamala ya Kibenk vimetikisa nchi yetu. Kwa bahati mbaya kabisa wenye mamlaka wamekuwa wakitoa majibu ya kejeri na kiburi ndani yake.
Hawasikii Wala hawana uchungu dhidi ya mamilioni ya watanzania wanao ogelea katika dibwi la umasikini huku wao wakiendeshwa Kwenye magari mazuri yanayoendeshwa kwa Kila kitu yaani gharama zote hadi mafuta na mshahara wa dreva na fedha kutoka kwa mama ntilie, machinga na watumishi wa umma wa ngazi za chini.
Kwa kuwa hawasikii wameziba masikio Yao je watanzania wanyonge tupige magoti tumlilie Mungu wetu aje atuokoe?? Ili aibadilishe mioyo ya viongozi wetu isiwe migumu??.
Hawasikii Wala hawana uchungu dhidi ya mamilioni ya watanzania wanao ogelea katika dibwi la umasikini huku wao wakiendeshwa Kwenye magari mazuri yanayoendeshwa kwa Kila kitu yaani gharama zote hadi mafuta na mshahara wa dreva na fedha kutoka kwa mama ntilie, machinga na watumishi wa umma wa ngazi za chini.
Kwa kuwa hawasikii wameziba masikio Yao je watanzania wanyonge tupige magoti tumlilie Mungu wetu aje atuokoe?? Ili aibadilishe mioyo ya viongozi wetu isiwe migumu??.