Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Mungu ni kila kitu lakini sio kila kitu lazima utufanyie.
Kuna mambo mengi tu katupa uwezo wa kuyatenda na yakafanyika, kumbuka sisi pia ni mfano wa Mungu mwenyewe.
Hata yeye anatushangaa tunapomlilia hata kwa mambo tunayoyamudu tena kwa dhati. Anatuona wapumbavu na Ataamulu watawala watutese zaidi ili tupate akiri ya kujua yeye ni Mkuu na alishatupa uwezo wa kutatua Matatizo yetu mwenyewe bila kumhangaisha kwa issues ndogondogo.
Chukua Hatua. Nichukue Hatua.
Tuchukue Hatua.
Tuchukue hatua zipi??