Ni kama kipindi fulani Kichere akajisifu yeye ni CPA akiwa kamishina TRA. Ila Mwigulu nadhani ana matatizo makubwa sana.Mimi ni daktari wa uchumi, hampaswi kunitilia shaka, tozo ziko kisheria haziwezi kuondolewa asiyetaka anaweza kwenda Burundi ~ Lameki Tozo King
Watanzania watazoea kama kawaida yao.Katika nchi yetu kuanzia juzi vilio vya makato ya miamala ya Kibenk vimetikisa nchi yetu. Kwa bahati mbaya kabisa wenye mamlaka wamekuwa wakitoa majibu ya kejeri na kiburi ndani yake.
Hawasikii Wala hawana uchungu dhidi ya mamilioni ya watanzania wanao ogelea katika dibwi la umasikini huku wao wakiendeshwa Kwenye magari mazuri yanayoendeshwa kwa Kila kitu yaani gharama zote hadi mafuta na mshahara wa dreva na fedha kutoka kwa mama ntilie, machinga na watumishi wa umma wa ngazi za chini.
Kwa kuwa hawasikii wameziba masikio Yao je watanzania wanyonge tupige magoti tumlilie Mungu wetu aje atuokoe?? Ili aibadilishe mioyo ya viongozi wetu isiwe migumu??.
Mwigulu - EgocentricNi kama kipindi fulani Kichere akajisifu yeye ni CPA akiwa kamishina TRA. Ila Mwigulu nadhani ana matatizo makubwa sana.
Tatizo la kwanza huyo Mungu huwezi kuthibitisha yupo.Katika nchi yetu kuanzia juzi vilio vya makato ya miamala ya Kibenk vimetikisa nchi yetu. Kwa bahati mbaya kabisa wenye mamlaka wamekuwa wakitoa majibu ya kejeri na kiburi ndani yake.
Hawasikii Wala hawana uchungu dhidi ya mamilioni ya watanzania wanao ogelea katika dibwi la umasikini huku wao wakiendeshwa Kwenye magari mazuri yanayoendeshwa kwa Kila kitu yaani gharama zote hadi mafuta na mshahara wa dreva na fedha kutoka kwa mama ntilie, machinga na watumishi wa umma wa ngazi za chini.
Kwa kuwa hawasikii wameziba masikio Yao je watanzania wanyonge tupige magoti tumlilie Mungu wetu aje atuokoe?? Ili aibadilishe mioyo ya viongozi wetu isiwe migumu??.
Mondi akifanya press anasindikizwa kutokea kwake mpaka hotelierWengi wenu sindio munaongoza kufungua nyuzi za michezo, mara naipenda simba mpak kufa, mara leta mzungu mara mayele kafanya hivi,
Hoja za msingi mkiziacha, Tanzania inapidi tuamke kupinga ukandamizaji na unyanyasaji ilihari mali asili/ rasilimali ni nyingi mno kiasi kwamba kila mtanzania angeweza kulipwa na serikali ukweli nawabia Hii nchi ni tajiri sana zaidi ya nchi zote hapa Africa mashariki na kati
Sawa....ombaKatika nchi yetu kuanzia juzi vilio vya makato ya miamala ya Kibenk vimetikisa nchi yetu. Kwa bahati mbaya kabisa wenye mamlaka wamekuwa wakitoa majibu ya kejeri na kiburi ndani yake.
Hawasikii Wala hawana uchungu dhidi ya mamilioni ya watanzania wanao ogelea katika dibwi la umasikini huku wao wakiendeshwa Kwenye magari mazuri yanayoendeshwa kwa Kila kitu yaani gharama zote hadi mafuta na mshahara wa dreva na fedha kutoka kwa mama ntilie, machinga na watumishi wa umma wa ngazi za chini.
Kwa kuwa hawasikii wameziba masikio Yao je watanzania wanyonge tupige magoti tumlilie Mungu wetu aje atuokoe?? Ili aibadilishe mioyo ya viongozi wetu isiwe migumu??.