Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #21
Kuendelea kumkumbuka Magufuli na kumlinganisha Samia na Magufuli, kunatatua tatizo la kuwa na hao majizi katika serikali ya Samia?Tungemsahau kama Serikali ya Samia isingeyakumbatia majizi Sugu!! Yaani Mwigulu ni Waziri wa fedha kabsaa halafu tumsahau Mzalendo Magufuli? Makamba na Nape kabsaa!!! Haoana hapana lazima tutabaki na Magufuli katika mioyo yetu
aliyekuwa Rais wa Tanzania anayeishi kwenye mioyo ya Watanzania hadi hivi sasa. Hakuna wa kuondoa legacy yake.Magufuli ndio nani kwani?
Kipimo cha ubaya ni uzuri. Kwa mabaya kwenye uongozi wa Samia hakuna namna lazima tuyakumbuke mazuri ya Magufuli.Hapana. Tutakusahau kwa faida ya Tanzania! Lolote linakalotokea baada ya wewe kuondoka tuta deal nalo katika mazingira yaliyopo. Hatutalia kwamba tuna mafisadi kwa sababu Magufuli hayupo - kwa kuwa hilo halituondolei mafisadi. Tunapaswa ku-deal nao sasa, bila kumtaja Magufuli.
Hitler ni sehemu ya historia ya Germany. Anatajwa katika historia ya Germany, sio katika kuiendeleza Germany. Acha Magufuli awe historia pia, hilo sijakataa.Magufuli ni sehemu ya historia ya Tanzania. Huwezi kukwepa kumtaja.
Umpende, usimpende, ni historia.
Historia haikwepeki.
Uzalendo ni nini?Inawezekana ndio. Katika vita za wenyewe kwa wenyewe, kumbuka sababu ni uzalendo. Raia wanauwawa, wanawake nk, kwa jina la uzalendo. Kwa hiyo uzalendo hauangalii logic, na kuna wakati unatoka nje ya kuwa reasonable. Uzalendo (patriotisn, nationalism) mara nyingine unahalalisha kuua wale ambao wanaonekana sio wazalendo, tena mara nyingine kwa mateso sana.
Katika kupigania haki na usawa Afrika Kusini, wale waliojiona wazalendo waliona ni halali kuwachoma moto watu wengine kwa kutumia tairi shingoni kwa sababu kushirikiana kwao na makaburu kuliona kuwa sio uzalendo. Na japo waliofanya hivyo walijulikana baada ya uchaguzi wa 1994, hadi leo wanaonwa kuwa wazalendo waliopigania haki na usawa
Sasa hilo jambo ndilo tunapaswa kushughulikia, na it has nothing whatsoever to do with Magufuli. Huhitaji kumtaja Magufuli kutatua matatizo anayosababisha mama, kama umeweza kuyaona tayariKipimo cha ubaya ni uzuri. Kwa mabaya kwenye uongozi wa Samia hakuna namna lazima tuyakumbuke mazuri ya Magufuli.
Kitendo tu cha huyu mama kuwauzia bandari na mbuga Waarabu ndo kaharibu big time. Kafanya mambo ambayo hata Rais dhaifu kuliko wote(jk) hakuyafanya. Muda utasema
Ukidhani kwamba kumtaja taja Magufuli kutamfanya Samia aogope na kurekebisha hayo mambo kwenye hiyo list, basi wewe ndio tatizo katika nchi hii, sio Raisi Samia kama unavyosemaKwa hii bumunda iliyopo madarakani tunaanzaje kumsahau?
View attachment 2959487
Kwanza kabisa, Hitler ni sehemu ya historia ya dunia, alitaka kutawala dunia, akaanzisha vita ya pili ya dunia, si historia ya Germany tu.Hitler ni sehemu ya historia ya Germany. Anatajwa katika historia ya Germany, sio katika kuiendeleza Germany. Acha Magufuli awe historia pia, hilo sijakataa.
Angalau angeweza kuiga utendaji wa mtangulizi wake hata kwa 40% tusingefika hapa tulipoUkidhani kwamba kumtaja taja Magufuli kutamfanya Samia aogope na kurekebisha hayo mambo kwenye hiyo list, basi wewe ndio tatizo katika nchi hii, sio Raisi Samia kama unavyosema
Mpe viwango vya kupima utendaji wa kazi kama raisi bila kumtaja Magufuli halafu ndio um-judge kufaulu au kufeli kwake. Hilo haliwezekani?Angalau angeweza kuiga utendaji wa mtangulizi wake hata kwa 40% tusingefika hapa tulipo
Leo umeongea pointIli tumsahau itabidi tumpate aliye bora zaidi yake...!
Magufuli pia alitaka kuiweka Tanzania katika top tena za dunia. Kuifanya donor country. Kumbuka malengo yake? Dar es Salaam iwe kama Ulaya.Kwanza kabisa, Hitler ni sehemu ya historia ya dunia, alitaka kutawala dunia, akaanzisha vita ya pili ya dunia, si historia ya Germany tu.
Kuna kumsahu Magufuli, na kusahu historia. Hakuna mahali nimesema tusahau historia ya Tanzania. Usichanganye haya mambo mawili.Watanzannia wanapaswa kusahahu Utumwa mamboleo....
Uangamizaji wa Wamaasai
Uuzwahinwa Bandari n.k n.k
Itoshe Kusema, Tanzania haijawahi kuwa kama Nchi ya Kijerumani na J.P. Magufuli, Hayat Rais wa JMT hakuwahi kuwa Dikteta. Kwa lugha nyingine, aliyoyafanya Magufuli hayawezi kulinganishwa na yaliyofanywa na Hitler hata siku moja.
Mama yenu kauza Nchi kwa Wajomba.
Unafananisha sura au philosophy? Mie niko kwenye mentality, na usije ukaniambia mbona Magufuli hakuanzisha gari kama Hitler. Nitakuambia nenda shule kasome.Umefananisha Simba na Nyani.
Mifano yako Haina uhusiano sawa.
JPM awe kama Hitler kweli? Au unahadithi za vijiweni?
Mkuu,Sasa hilo jambo ndilo tunapaswa kushughulikia, na it has nothing whatsoever to do with Magufuli. Huhitaji kumtaja Magufuli kutatua matatizo anayosababisha mama, kama umeweza kuyaona tayari
Wakitaka Magufuli asahaulike;Sidhani kama kuna Mtanzania ambae hajui mazuri ya Magufuli akiwa raisi wa Tanzania, atapinga kwamba Magufuli hakuwa na roho ya uzalendo kwa Tanzania, alichukia ufisadi, alichukia watu ambao anawaona walikwamisha bidii zake za kuindeleza Tanzania. Hakuna Mtazania atakaepinga kwamba Magufuli alikuwa mchapa kazi kweli kweli, mwenye kupenda nchi yake na raia wa Tanzania, mzalendo namba moja.
Lakini hilo linakukumbusha nini?
Linatukumbusha kiongozi aliewahi kuwa na hulka ya Magufuli pale Germany, Adolf Hitler. Hitler alikuwa mzalendo kweli kweli. Alisimamia Germany na kuifanya Germany kuwa taifa lenye uchumi wenye nguvu kuliko mataifa yote. Alipenda uzalendo, alichukia ufisadi na usaliti dhidi ya nchi yake. Hitler alikuwa muasisi wa gari za VW, Volks Wagen (People's Car) ili kila raia wa Germany aweze kumudu kuwa na gari. Hakuna kiongozi katika Germany anaeweza kusemwa alileta maendeleo kwa nchi yake kama alivyofanya Hitler, mzalendo namba moja wa nchi yake.
Lakini sasa, nani leo unamsikia akimsifia Hitler kwa makubwa aliyoifanyia Germany? Hakuna, kwa sababu hakuna mtu aliyesahau machungu yaliyosababishwa na Hitler.
Hakuna mtu hapa Tanzania asiyejua machungu yaliyoletwa na Magufuli katika azma yake ya kuiendeleza Tanzania, machungu ambayo hayana utetezi hata uyaangalie kwa mtazamo upi. Hayana justification.
Hata hivyo, kwa tulio hai, kuwachukia Hitler au Magufuli, ambao tayari wamekufa, ni dalili kwamba tuna matatizo ya afya ya akili, tunahitaji psychiatric help. Kuwasifia pia ni tatizo, kwa sababu tunaumiza wale walioumizwa nao, ambao bado wapo hai pamoja nasi. Tutapanda gari za VW za Hitler, tutapita kwenye flyover za Magufuli, lakini hatutaimba sifa zao.
Kama Germany ilivyoamua kumsahau Hitler pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yake, Tanzania tunapaswa kumsahau Magufuli pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yetu.
Tuangalie mbele sasa. Tusahau yaliyopita, tuachane na kulinganisha uongozi wa sasa na uliopita. Tuvunje magenge. Tuanze upya.
The world and your country need YOU now, not Hitler, not Magufuli.