Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

Yeah Sheikh Yahaya alikuwa informer wa serikali na ile branch kipindi hicho bado inaitwa special branch au TIS aliyekuwa anaangalia mienendo ya watanzania waliokuwa wanaingia Swaziland kipindi hicho akitumia kivuli cha unajimu na kuwapa malazi katika hoteli ya hadhi kubwa aliyokuwa amepangisha watanzania waliokuwa wanafika Swaziland na kupewa malazi kumbe anawachunguza.

Na huyu Sheikh ndio aliiba document za Ludovick zilizokuwa na details na address za watanzania mbalimbali aliokuwa anawasiliana nao Nairobi na Swaziland akisaka asylum akazikabidhi kwa informer wengine waliokuwepo Swaziland .
 
Kwa nini Magufuli kukumbukwa inawaumiza watu? Kwa nini inakuwa kitu kibaya kwao?

Mimi ningekuwa mtu ninayempenda sana Magufuli, ningekuwa na kila sababu ya kumkumbuka Magufuli, ili kukumbuka na kudumisha mazuri yake ninayoyapenda.

Mimi nikiwa mtu nisiyempenda Magufuli, nina kila sababu ya kumkumbuka Magufuli, ili kukumbuka mabaya aliyoyafanya na kuhakikisha hatuyasahau, yasijirudie.

Mimi ningekuwa mtu neutral ambaye najua Magufuli ana mabaya na mazuri yake, na nataka kuchukua mazuri yake na kuacha mabaya yake, bado ningeona umuhimu wa kumkumbuka Magufuli na kumchambua ili tujue mazuri yake ni yapi na mabaya yake ni yapi.

Hivyo hapo utaona watu wote wana sababu za kumkumbuka Magufuli.

Mwanafalsafa wa Kimarekani George Santayana alisema "Those who cannot remember the past are condemned to repeat it".

Sasa, kwa nini watu fulani wanaumia sana Magufuli akikumbukwa?

Magufuli ni sehemu ya historia ya Tanzania. Huwezi kumkwepa bila kuikwepa historia ya Tanzania.
 
Hitler is the third rail of political comparisons.

Ukishamlinganisha Hitler na mwanasiasa yeyote wa sasa tayari ushafeli hata kabla ya kwenda kwenye detail.
 
Nilichokuja kugundua ni kwamba kuna ukinzani kwa waliompenda na wasiompenda na hakuna pande inakubali upande upi ni sahihi

Cha muhimu inatakiwa watu waruhusu yaongelewe yote juu yake iwe mazuri au mabaya.

Kwanini nasema hivyo , jibu ni kuwa kipindi cha utawala wake aliminya sana "civic space" critique wake walionjeshwa joto ya jiwe na vyombo vyote vya habari vilikubali kuimbishwa wimbo mmoja na ndio katika utawala wake tukapata hawa machawa na wanaosifia hata rais akipiga mihayo mvua ikinyesha wanamshukuru rais ilikua ni kosa kutoa habari inayokinzana na utawala ule ninaamini hata yule mpinzani wake mkuu Kigogo 2014 angekuwa anaishi bongo kwa ile miaka 3 angekuwa amepotezwa mapema sana.

Hivyo kwa kutokuwepo kwake walau waliopo hata Tanzania sasa ndio wanafungua makucha kuzungumza waliyoyapitia.

Mwisho tu kama unakumbuka Samia mwenyewe aliwahi kusema watu kwa miaka ile 6 sio kwamba walikuwa wachapakazi sana bali walifanya vitu kwa hofu sababu ya "Simba wa Yuda" sasa kwa kutumia msemo huo ni lugha ya picha tu Samia aliyekuwa VP alizungumza hivyo je waliokuwa chini huko hali ilikuwaje?
 
Hitler is the third rail of political comparisons.

Ukishamlinganisha Hitler na mwanasiasa yeyote wa sasa tayari ushafeli hata kabla ya kwenda kwenye detail.
Precisely ndio namshanga huyu poyoyo does he understand the NAZI atrocities for him/her to compare to anything today.

Leave alone the scientist who left Germany and took their knowledge to help build US.

Magufuli wasn’t perfect ile kuna hawa chawa wanaotumika indeipently na mafisadi na hawajui mipaka yao.

Wanakuja hapa kuropoka ujinga ambao they can’t defend.
 

Muhimu sana historia kuandikwa, kujadiliwa na kutumika kama nyenzo ya mafunzo. Hii tabia ya watetezi wa utawala wa Magufuli kututaka tusiandike, kujadili, kutafakari hata kuandaa dokumentari au kuandika vitabu ikemewe ili isije kukubalika kulazimishwa kusahau historia.
 

16 September 2021

Kesi namba 16 / 2021 ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi : Watuhumiwa Freeman Mbowe na wenzie 3

Hali ilivyokuwa mahakama kuu Leo 16 September 2021 jijini Dar es Salaam. Shauri la kesi namba 16 / 2021 ya Uhumuju Uchumi

 
Unafananisha sura au philosophy? Mie niko kwenye mentality, na usije ukaniambia mbona Magufuli hakuanzisha gari kama Hitler. Nitakuambia nenda shule kasome.
Ndio maana nashangaa kuleta mfano huo? Umefananishia vitu visivyofanana. Hata ukifanya analysis ya kitu kimoja baadaa ya kingine upati vinasaba vyake.
 
Moi anavyotajwa na udikteta wake na zile torture chambers za Nyayo , mtu hawezi kuamini Nyerere naye alifanya kama Moi licha ya yeye kuwa msomi zaidi kuliko Moi alipaswa awe tayari kukubali mawazo tofauti na yake hata kama hayapendi.
 
πŸ“πŸ†’πŸ”ŠπŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ‘πŸ€πŸ™πŸ’πŸŽπŸ—ΌπŸŽ–οΈπŸ†πŸ‘‘πŸ›‘οΈ
 
πŸ‘‘πŸ›‘οΈ
πŸ‘‘πŸ›‘οΈ
 
πŸ‘πŸ—ΌπŸ›‘οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…