Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Kutoa taarifa za uhalifu za kila namna ndio wajibu wa kila mtanzania.
Kulipenda taifa letu kwa moyo wote.
Kuwa walipa kodi ili ziweze kusaidia watanzania kwa hali yoyote ni jambo la msingi.
Kutokukubali kufuga wahalifu, wavuta bangi, wanywa konyagi, wauza madawa ya kulevya na wanaofanya makusanyiko yaliyozuiwa.
Tulinde nchi yetu kwa kupinga uhalifu.
Kulipenda taifa letu kwa moyo wote.
Kuwa walipa kodi ili ziweze kusaidia watanzania kwa hali yoyote ni jambo la msingi.
Kutokukubali kufuga wahalifu, wavuta bangi, wanywa konyagi, wauza madawa ya kulevya na wanaofanya makusanyiko yaliyozuiwa.
Tulinde nchi yetu kwa kupinga uhalifu.