TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kama alivyo tazama Simon Mwanza Kapwepwe (R.I.P) ?Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
tujadiliane na kubishana kwa hoja bila kutukanana!.Mwandishi kihiyo
Tunaweza isipokuwa usimamiz mbovu kila mtu chukua chake mapemaTukimaliza yote tutasaidiwa wake zetu maana hakuna tunachoweza.
Fani ya uandishi wa habari ni moja ya noble professional, ni kazi ya wito kama ualimu, tunafanya kwa mapenzi tuu na sio kwa mapato, hivyo ni kweli uandishi wa habari ni kazi ya kimasikini na mara kibao sisi waandishi tunalala na njaa, ila tuko kama Kozi, mwana mandanda, kulala njaa kupenda, na bado tunaandika ukweli kama bandiko hili.Ukiwa na njaa huwezi kuwa mwandishi mkweli
Pascal, ukiabdikaga bandiko lililonyooka huwa hatukusifii?Fani ya uandishi wa habari ni moja ya noble professional, ni kazi ya wito kama ualimu, tunafanya kwa mapenzi tuu na sio kwa mapato, hivyo ni kweli uandishi wa habari ni kazi ya kimasikini na mara kibao sisi waandishi tunalala na njaa, ila tuko kama Kozi, mwana mandanda, kulala njaa kupenda, na bado tunaandika ukweli kama bandiko hili.
P
Bwana Mayala nini tunachokiweza iwe mfano kwa wenzetu, kama wao walivyomfano kwetu ? Toa mfano wa jambo moja ambalo ni mfano wa kuigwa.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa βA White Elephantβ? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Ok, nisamehe, lkn rudi kwenye reli, naujua uwezo wako mzuri tu.tujadiliane na kubishana kwa hoja bila kutukanana!.
P
Wakili Msomi Paskali!Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa βA White Elephantβ? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Hakunaπππnauliza tu hivi kuna sehemu au siku Pascal keshawahi kutoa uzi wa kuikosoa Serikali?
Wanabodi,
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa βA White Elephantβ? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Mkuu ChoiceVariable , asante kwa bandiko hili, Rais Samia Awaambia TRC/Wizara ya Uchukuzi "Nimechoka na Vijisababu,SGR Dar-Dom Lazima Ianze Kabla ya July 2024.", hili la ya GSR, kina sisi tumelisema sana, Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa βA White Elephantβ? Wenzetu yameshawakuta... sio tunajidharau, bali tunamatatizo makubwa ya upangaji vipaumbele vyetu, kama watu hawa wameshindwa kuendesha a simple meter gauge railway to its full capacity, what do you expect kwenye complex SGR?!.Naungana na Mh.Rais endapo kina kadogosa na Mbarawa wakishindwa ku meet deadline hii Fukuza.
Na kama hawako sure Kwa axact date wakome kutangazia Umma tarehe harafu mda ukifika hakuna kinachoendelea wanakuja na visingizio vingine vya kijinga.
Nyie TRC/Wizara ya Uchukuzi mumevumiliwa sana kama TANESCO.
Heri ya Mwaka Mpya na kazi inaendelee.
View: https://www.instagram.com/p/C1huxsTNBUz/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Mkuu Colgate3 , kwanza asante kuchangia bandiko hili na samahani kuchelewa kujibu, hili bandiko ndio naliona leo.Pascal, ukiabdikaga bandiko lililonyooka huwa hatukusifii?
Rukhsa kabisa mimi kukosolewaUturuhusu pia tukukosoe tunapohisi kuwa umepotoka.
Nitakushukuru sana kama utaniambia mashitaka yangu kwenye issue ya DPW na Bandari zetu.Kwa aina ya uandishi unaoandika kuhusu DPW unastahili kupewa hati ya mashaka.
Hapa naomba nifafanulieIkiwa unaandika makala yenye mizania ya kuuchimba ukweli...huwezi kuanza na neno...PUUZIENI...
Kuna wengi sio waandishi lakini wana jicho zuri na uwezo mkubwa kuliko waandishi, nitakushukuru kama utaninusisha hiyo harufu na mimi niisikieMimi sio mwandishi wa habari lakini hii ina harufu ya "samaki"
Asante sana kwa ushauri, nitauzingatia.Rudi relini iwapo ulipotoka...hujachelewa.
Samia ana hulka moja ya unyenyekevu anajua kwamba hajui kila kitu na anahitaji siku zote kufahamishwa na anajua anahitaji kufanya kazi na wajuzi zaidi yake. Hiyo ni hulka ambayo marehemu JPM hakuwa nayo.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa βA White Elephantβ? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Mkuu Tangantika ,kwanza asante kuchangia bandiko hili na samahani kuchelewa kujibu, hili bandiko ndio naliona leo. Kuna vitu vingi Tanzania tunaweza na ni mfano, mfano, uhuru, umoja, upendo, amani na mshikamano. Tanzania ni kisiwa cha amani.Bwana Mayala nini tunachokiweza iwe mfano kwa wenzetu, kama wao walivyomfano kwetu ? Toa mfano wa jambo moja ambalo ni mfano wa kuigwa.
Kwa vile hakijiweki, kinawekwa na sisi Watanzania wote, kikishindwa ni tumeshindwa wote under a collective responsibility clause.Je huoni chama kinachotawala ndio kimeshindwa na si watanzania wote?
A collective responsibility clause inajumuisha wote, hata kauli collective kama "Tanzania ni nchi masikini, applies kwa Watanzania wote including matajiri kama Bhakhresa.Kwa nini ujumuishe tumeshindwa wakatii huo wapo watu hawahahusiki na kushindwa kwako?
Hili neno!, na ndio essence ya uzi huu, kuna vitu hatuwezi, tukubali hatuwezi, tukubali kusaidiwa.Kwa nini usikae pembeni uwaache wengine watumie karama zao?
Hili neno!Hapa namaanisha kukaa pembeni iwe ndani ya ccm au nje ya ccm, wapewe nafasi wengine wafanye mabadiriko.
Hili pia neno, ila tatizo ni chama gani chenye uwezo gani?.Mfano 2025 wabunge wote na mawaziri waliopo ndani ya ccm wapishe waingie wengine au ccm ipishe kiingie chama kingine.
Uthibitisho ni sala ya kuanza kikao cha Bunge kuwa "Mungu ndiye huweka serikali za mataifa.Halafu suala la uraisi kuwa ni chaguo la mungu unaeeza kututhibitishia hio kauli hio.
Niliingia CCM 1987 nikiwa JKT Makotupora kwa mujibu wa sheria, siku zote, japo mimi ni kada, ni kada very objective kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, hivyo hata chama changu kinapotukosea Watanzania, tunakipiga spana!.Sina kadi chama chochote, hivyo unijibu kama mtu huru bila kujali ukada wako.
Mkuu Steven Joel Ntamusano , kwanza Happy New Year !, kiukweli siku zote naipenda sana objectivity yako.Samia ana hulka moja ya unyenyekevu anajua kwamba hajui kila kitu na anahitaji siku zote kufahamishwa na anajua anahitaji kufanya kazi na wajuzi zaidi yake. Hiyo ni hulka ambayo marehemu JPM hakuwa nayo.
Asante sana for thisDP World sio mwendeshaji wa mwisho kuja na ni kwa faida za kiuchumi za nchi hii, bandari inakwenda kuwa na waendeshaji watatu kwa maana ya kuwepo mwingine wa magati namba nane mpaka kumi na moja.
naungana na wewe ila hayo makampuni ya kigeni yatujengee uwezo wa ndani, mkataba ukiisha, tunaendesha wenyewe.Kuna sekta tupende tukatae, zinahitaji makampuni ya kigeni yenye maarifa ili haya ya kwetu yaweze kuchangamshwa.
Naunga mkono hoja,Hata sekta ya nishati inahitaji sana waendeshaji wengine wanaokwenda kupambana na TANESCO ili urasimu na upigaji uweze kushindwa kabisa.
Tunashindwa au tunahujumiwa kirahisi kwa kuongozwa na vilaza au watu fisadi waroho wenye njaa kali.ππ€£.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa βA White Elephantβ? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Nakubaliana na wewe ndio maana nilisema Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!Ni ufisadi tu ndio shida, na ndio maana umma wa wananchi wanataka uongozi wa kijpm
Magufuli mpya yupo ni huyu Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...na wamelia sana kumpoteza mzalendo John Pombe Magufuli. Hadi tupate magufuli mpya ndio nchi tutaweza kwenda mbele tena.
Huku ndo kutokuweza kwenyewe..!!Tunaweza isipokuwa usimamiz mbovu kila mtu chukua chake mapema
You said it ππWanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa βA White Elephantβ? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali