bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kumtoa mkoloni ilikua ni interest za wachache wanaonufaika na matunda ya Uhuru hata sasaTafsiri yake hatukuwa na haja ya kumtoa Mkoloni.
Kama taifa kinashindwa kujiendesha au halina uwezo wa kuendesha mambo muhimu yakazaa matunda mpaka yakabidhi Watu wa mataifa mengine ni dhahiri nchi ya Watu milioni 60 inamidoli badala ya Watu.
Kila mtu mwizi sheria zetu ni butu kuwafunga mafisadi unategemea niniHatuwezi kwa miaka mingapi? Tangu tupate uhuru tumeshindwa kujisimamia? Mikakati ni ipi? Kundelea kuuza/kubinafsisha nchi?
Mwarabu Hana akili hio ya kusimamia mambo hapo nyuma yake yupo mzunguHohe hahe dhofulhali hatujiwezi kwa lolote zaid ya majungu uchawi ngono na mambo ya kipuuzi.
Ngoja Wanaume wanaojua kazi waje DPWorld
View attachment 2650314
Karibu Akhui tupige kazi njooni mtuonyeshe jinsi mlivyoitoa Dubai kutoka Kijiji cha wazamia Pweza hadi kuwa Dunia ya kwanza. Karibu Akhui.
Nchi za Ulaya mashariki za Wazungu ziko zoflehale masikini wa kutupwa Wasichana wao wako Dubai wanafanya kazi za ndani.Mwarabu Hana akili hio ya kusimamia mambo hapo nyuma yake yupo mzungu
Kufanya kazi za ndani na kuendesha miradi ni vitu viwili tofautNchi za Ulaya mashariki za Wazungu ziko zoflehale masikini wa kutupwa Wasichana wao wako Dubai wanafanya kazi za ndani.
Uzungu sio hoja mzee Waarabu wamesoma sio tena wale Mabedui wa Jangwani.Kufanya kazi za ndani na kuendesha miradi ni vitu viwili tofaut
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Kaz ya serikar ni kufatilia mambo kama haya na kuyatafutia ufumbuz either kubadil watumish au vifaa kwann zambia watumie 5 minutes maviongoz yetu yamekaa tu ofisin kila siku ziara uarabun cjui wanaenda kujfunza ujinga ukoPascal una mawazo kama yangu, hongera kwa uzi mzuri sana.
Jamani ndugu zangu Watanzania tukubali tu sisi hatuwezi kuleta ufanisi. Tunachoweza ni kuiba tu kufirisi haya mashirika.
Jana nimetoa mfano wa Customs ya Tunduma border Zambia, Lori moja kupita kwenye scanner linatumia mpaka dakika 30, kwa saa 1 ina maana yatapita 4 au 5 tu out of hundreds yaliyopo kwenye foleni. Je tupo serious kweli?
Scanner ya upande wa Zambia ni dakika 5 tu chap Lori limetoka.
CAG Professor Assad aliwahi kusema Watumishi wengi kwenyeTaasisi za Serikali ni incompetent. Mavyeti tu wanayo, ubunifu na uwajibikaji zero. Wanawaza madili tu.
Wawekezaji waje tu sisi hatuwezi.
Tatizo sio kuipa kampuni ya kingeni kuendesha bandari shida iko kwenye vipendele vya huo mkataba.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Mzee Sisi tutaweza lini kama Kila kitu ni kubinafisisha tu.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?
Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!
Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.
Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.
Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.
ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.
Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.
Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.
Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.
Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.
Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.
Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.
Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.
My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.
Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.
Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.
Paskali
Pale ulipooooo👍👍Tafsiri yake hatukuwa na haja ya kumtoa Mkoloni.
Kama taifa kinashindwa kujiendesha au halina uwezo wa kuendesha mambo muhimu yakazaa matunda mpaka yakabidhi Watu wa mataifa mengine ni dhahiri nchi ya Watu milioni 60 inamidoli badala ya Watu.