Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Ila wewe mnafki Muongo na mzandiki Ndio ulipata malezi mazuri utotoni?

Binafsi naona bora anaeonyesha sura yake wazi wazi kuliko wewe unaemla mama kisogo.
 
Weka kwanza hizo kauli
 
Muwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais hata kama mlikosa malezi ya wazazi wenu.asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na Ulimwengu.

Rais na raia wa nchi ya Zanzibar mwovu na katili anastahili kupewa heshima gani na nani katika nchi yetu ya Tanganyika..?

Yaani mkoloni mweusi mwenzetu toka taifa la kigeni la Zanzibar aje kwetu Tanganyika awatumie wadudu chawa nyie kulazimisha tumpe heshima ?...........NO WAY, KWENDA ZAKO HUKO, HATUDANGANYIKI NG'OOO.!!

Anayepaswa kufunzwa na ulimwengu ni wewe Lucas Mwashambwa chawa mkuu wa huyo Rais wako maana unatetea na kuu - embrace uovu badala ya kuukemea ili kumwokoa na uangamivu huyo unayemwita Rais..

Kwanza huyo mama ni Rais wapi? Nani alimchagua?

Madam Samia Suluhu Hassan is the president of Tanganyika by default.. She deserves zero respect..!!

Rais aliyetokea from nowhere kama ajali atapata heshima ya wapi na kutoka kwa nani..?

Obviously ni kutoka kwa chawa wake tu miongoni mwao ukiwa wewe Lucas Mwashambwa..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…