Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hili jitu halina akiliIkitokea nmekutana na wewe mtaani yafiche makalio Yako.
(Sio Kwa chuki ila kutokomeza kizazi kibaya kijacho)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jitu halina akiliIkitokea nmekutana na wewe mtaani yafiche makalio Yako.
(Sio Kwa chuki ila kutokomeza kizazi kibaya kijacho)
Ajuza mrudishwe ajuza mwenzako Zanzibar hatumtaki huku bara"Sikio la kufa halisikii dawa".
Ni mada ya kishetani haswaHii mada unaileta mara ya tatu na watu wameipuuza.
Hawa UWT ni wajinga snUkoo wako unatosha kukemea mkisaidiana na mashetani yenu.
Huyu mjinga unadhani ana hela yoyote?Luka kakaangu niazime LAKI basi, njaa itaniua mjini wakati nyie huko CCM mnajipakulia tu MINYAMA....
Angalau kalaki tu basi cha haraka haraka Kakaangu...
Cc: mshamba_mwingine Poor Brain
Anataka watu wote wawe wajinga na mashetani kama yeyeFreedom of Speech, wewe umeachiwa usifiesifie kwa kulipwa ujira bila ya kujali ndugu zako wakitekwa na kupigwa risasi.
Watanzania au mazombie wa ccm? Yaani tutoke kutetea viongozi wanaoingia madarakani kwa wizi wa kura?Ndugu zangu Watanzania,
Nawaombeni Watanzania wenzangu na Wazalendo wa Taifa letu kujitokeza hadharani kulaani na kukemea vikali sana kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais wetu. Mtu huyu hatupaswi kumkalia kimya pasipo kutoa kauli na kumkemea pamoja na kumuonya vikali sana kuacha mara moja kutoa lugha chafu kwa Rais wetu.
Mtu huyu ambaye inaonyesha alikosa malezi mazuri utotoni mwake ameshajenga desturi na utamaduni wa hovyo na ambao haukubaliki hata kidogo.ambapo amekuwa akitoa lugha za udhalilishaji, kumshushia heshima Mheshimiwa Rais na Sasa amevuka mstari kuanza kutoa lugha za vitisho kwa Rais.
Inawezekana kwa akili yake na ulimbukeni wake,na kukosa kwake adabu na heshima akawa anafikiria labda anaongopwa au anaweza kufanya lolote lile au kutamka neno na maneno yoyote yale pasipo kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Anaweza kuwa anafikiria wote wana akili za aina yake za kuunga mkono ujinga wake.
Watanzania hatupo tayari kumvumilia wala kuona mtu akimtishia Rais Wetu au kumtukana, kumfedhehesha au kumtweza utu wake au kumshushia heshima bila sababu. Ni lazima Rais wetu aheshimiwe na kama kukosolewa basi akosolewe kwa lugha za staha, adabu, heshima na zinazokubalika katika jamii yoyote ile iliyostaarabika.
Lugha na maneno mabaya anayotumia Mdude Nyagali kwa Rais wetu hayakubaliki na hayawezi kukubalika mahali popote pale hapa Duniani.hakuna anayeweza kuyavumilia maana hiyo siyo demokrasia wala misingi ya demokrasia. Haiwezekani kwake demokrasia iwe ni kumtukana na kumdhalilisha Rais wetu.
Hivyo natoa Rai kwa watanzania wote kukemea vikali sana lugha chafu za Mdude Nyagali anazoendelea kuzitoa zidi ya Rais wetu. Shambulizi na mashambulizi ya aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa ni shambulizi kwetu sote watanzania na wazalendo wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura? Au umechanganyikiwaRais aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura hastahili heshima hata chembe
Acha ujinga wako hapa dohoJitokeze wewe na wanawake wenzio, shetani mkubwa ww
Rudi kwanza darasani ukajifunze kuandika.Unajua kabisa Rais na Msude ni kama bahari za sisimizi,haupo hapa kumtetea rais ,upo hapa kutafuta huruma ya rais
Nakuonya acha mara mojaAcha ujinga wako hapa doho
Samiah na MAGUFURI.Nani aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura? Au umechanganyikiwa
Toa ujinga wako hapa wewe .Nakuonya acha mara moja
Acha ujinga wako dogo.PS wa UWT
Acha kuota ndoto zako hapa.Chukuwachakomapema WAOGA SANA SANA!
Gen Z wanakuja kwa kasi. Hata mfanye nini reform is coming, even sooner than expected!
Imekwisha!
Ndugu zangu Watanzania,
Nawaombeni Watanzania wenzangu na Wazalendo wa Taifa letu kujitokeza hadharani kulaani na kukemea vikali sana kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais wetu. Mtu huyu hatupaswi kumkalia kimya pasipo kutoa kauli na kumkemea pamoja na kumuonya vikali sana kuacha mara moja kutoa lugha chafu kwa Rais wetu.
Mtu huyu ambaye inaonyesha alikosa malezi mazuri utotoni mwake ameshajenga desturi na utamaduni wa hovyo na ambao haukubaliki hata kidogo.ambapo amekuwa akitoa lugha za udhalilishaji, kumshushia heshima Mheshimiwa Rais na Sasa amevuka mstari kuanza kutoa lugha za vitisho kwa Rais.
Inawezekana kwa akili yake na ulimbukeni wake,na kukosa kwake adabu na heshima akawa anafikiria labda anaongopwa au anaweza kufanya lolote lile au kutamka neno na maneno yoyote yale pasipo kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Anaweza kuwa anafikiria wote wana akili za aina yake za kuunga mkono ujinga wake.
Watanzania hatupo tayari kumvumilia wala kuona mtu akimtishia Rais Wetu au kumtukana, kumfedhehesha au kumtweza utu wake au kumshushia heshima bila sababu. Ni lazima Rais wetu aheshimiwe na kama kukosolewa basi akosolewe kwa lugha za staha, adabu, heshima na zinazokubalika katika jamii yoyote ile iliyostaarabika.
Lugha na maneno mabaya anayotumia Mdude Nyagali kwa Rais wetu hayakubaliki na hayawezi kukubalika mahali popote pale hapa Duniani.hakuna anayeweza kuyavumilia maana hiyo siyo demokrasia wala misingi ya demokrasia. Haiwezekani kwake demokrasia iwe ni kumtukana na kumdhalilisha Rais wetu.
Hivyo natoa Rai kwa watanzania wote kukemea vikali sana lugha chafu za Mdude Nyagali anazoendelea kuzitoa zidi ya Rais wetu. Shambulizi na mashambulizi ya aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa ni shambulizi kwetu sote watanzania na wazalendo wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wizi na ubadhirifu wa mali za umma ndio uhuru?Tangia lini matusi yakawa ndio uhuru? Yaani utukane watu matusi halafu useme ndio uhuru huo?
Wizi upi unao uzungumzia hapa?Wizi na ubadhirifu wa mali za umma ndio uhuru?