tanzaniayetusote
Member
- Oct 20, 2020
- 42
- 32
Hata, hiyo haiwezi kuwa uhuru. Uhuru ni Kenyatta tu.Tangia lini matusi yakawa ndio uhuru? Yaani utukane watu matusi halafu useme ndio uhuru huo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata, hiyo haiwezi kuwa uhuru. Uhuru ni Kenyatta tu.Tangia lini matusi yakawa ndio uhuru? Yaani utukane watu matusi halafu useme ndio uhuru huo?
umeumizwa sana na ukweli huo ee,Lile limsukule lingine(Tlaatlaah ) nimeona lime like huu utumbo

Akili yangu haiwezi kulingana na mdude hata kidogo.ni sawa na kichuguu na mlima.mimi ni mlima na mdude ni kama kakichuguu tu
Sawa nashukuruHuna akili
Sawa nashukuruHuna akili
Sawa nashukuruHuna akili
Hii ni nchi yenye kuongozwa kwa utaratibu , kanuni,sheria ,katiba na miongozo mbalimbali. ni lazima kila mmoja azingatie sheria .huwezi ukawa unajiropokea na kubwatuka kama Mdude Nyagali halafu uachwe tu kama kwamba watu wote ni wajingaBasi mwache aongee anachokiona ni Sawa ni kama tunavyokuacha wewe ufanye unachokiona ni sawa
Hatukatai ukosoaji wa kutumia lugha za heshima,staha,adabu na hoja. Mdude Nyagali anachofanya siyo ukosoaji bali ni matusi , udhalilishaji na kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu.anachofanya ni kutumia lugha ambazo hazikubaliki na haziwezi kuvumilika mahali popote pale Duniani.angalia lugha na maneno aliyoandika hiyo jana? Ni nani anaweza kuvumilia na kukaa kimya kuona mtu akitumia maneno ya kumtishia RAIS? Au hujasoma alichoandika jana?Lucas Mwashambwa majuzi tu sheikh aliwashauri kuwavumilia wote wanaowakosoa na kuwatukana!
Nimekusamehe bure kabisa.Amani ya Bwana iwe pamoja nawe.Kati ya wanaume wajinga wewe ni namba moja falah wewe
Utekaji unaendelea wapi huko? Ndugu yako yupi aliyetekwaUlishawahi kuleta mada ya watanzania kupambana na kulaani utekaji unaoendelea
Rais aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura hastahili heshima hata chembeNdugu zangu Watanzania,
Nawaombeni Watanzania wenzangu na Wazalendo wa Taifa letu kujitokeza hadharani kulaani na kukemea vikali sana kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais wetu. Mtu huyu hatupaswi kumkalia kimya pasipo kutoa kauli na kumkemea pamoja na kumuonya vikali sana kuacha mara moja kutoa lugha chafu kwa Rais wetu.
Mtu huyu ambaye inaonyesha alikosa malezi mazuri utotoni mwake ameshajenga desturi na utamaduni wa hovyo na ambao haukubaliki hata kidogo.ambapo amekuwa akitoa lugha za udhalilishaji, kumshushia heshima Mheshimiwa Rais na Sasa amevuka mstari kuanza kutoa lugha za vitisho kwa Rais.
Inawezekana kwa akili yake na ulimbukeni wake,na kukosa kwake adabu na heshima akawa anafikiria labda anaongopwa au anaweza kufanya lolote lile au kutamka neno na maneno yoyote yale pasipo kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Anaweza kuwa anafikiria wote wana akili za aina yake za kuunga mkono ujinga wake.
Watanzania hatupo tayari kumvumilia wala kuona mtu akimtishia Rais Wetu au kumtukana, kumfedhehesha au kumtweza utu wake au kumshushia heshima bila sababu. Ni lazima Rais wetu aheshimiwe na kama kukosolewa basi akosolewe kwa lugha za staha, adabu, heshima na zinazokubalika katika jamii yoyote ile iliyostaarabika.
Lugha na maneno mabaya anayotumia Mdude Nyagali kwa Rais wetu hayakubaliki na hayawezi kukubalika mahali popote pale hapa Duniani.hakuna anayeweza kuyavumilia maana hiyo siyo demokrasia wala misingi ya demokrasia. Haiwezekani kwake demokrasia iwe ni kumtukana na kumdhalilisha Rais wetu.
Hivyo natoa Rai kwa watanzania wote kukemea vikali sana lugha chafu za Mdude Nyagali anazoendelea kuzitoa zidi ya Rais wetu. Shambulizi na mashambulizi ya aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa ni shambulizi kwetu sote watanzania na wazalendo wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe kichwani umejaza Udini wa kizamani, faith without reason"Sikio la kufa halisikii dawa".
BullshitNimekusamehe bure kabisa.Amani ya Bwana iwe pamoja nawe.
PS wa UWTKujipendekeza pendekeza nako ni sumu.
So bila shaka SSH amekutuma!Hatukatai ukosoaji wa kutumia lugha za heshima,staha,adabu na hoja. Mdude Nyagali anachofanya siyo ukosoaji bali ni matusi , udhalilishaji na kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu.anachofanya ni kutumia lugha ambazo hazikubaliki na haziwezi kuvumilika mahali popote pale Duniani.angalia lugha na maneno aliyoandika hiyo jana? Ni nani anaweza kuvumilia na kukaa kimya kuona mtu akitumia maneno ya kumtishia RAIS? Au hujasoma alichoandika jana?