Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Lile limsukule lingine(Tlaatlaah ) nimeona lime like huu utumbo
umeumizwa sana na ukweli huo ee,
ambao waTanzani kwa mamilioni yao wamelaani sana kauli za huyo kijana japo ana tatizo la afya ya akili na hilo atasaidiwa kwasababu ni binadamu na Rais anahuruma hata na wanao mtukana kama huyu kijana asoe na adabu....

lakini waTanzania wengi zaidi wameshauri hatua kali dhidi yake zichukuliwe kwa pamoja na wanaomtuma kufanya uhalifu huo usio wa kiungwana na kimaadili kulingana na mila, desturi na utamaduni wa kitanzania :pulpTRAVOLTA:
 
Basi mwache aongee anachokiona ni Sawa ni kama tunavyokuacha wewe ufanye unachokiona ni sawa
Hii ni nchi yenye kuongozwa kwa utaratibu , kanuni,sheria ,katiba na miongozo mbalimbali. ni lazima kila mmoja azingatie sheria .huwezi ukawa unajiropokea na kubwatuka kama Mdude Nyagali halafu uachwe tu kama kwamba watu wote ni wajinga
 
Kati ya wanaume wajinga wewe ni namba moja falah wewe
 
Lucas Mwashambwa majuzi tu sheikh aliwashauri kuwavumilia wote wanaowakosoa na kuwatukana!
Hatukatai ukosoaji wa kutumia lugha za heshima,staha,adabu na hoja. Mdude Nyagali anachofanya siyo ukosoaji bali ni matusi , udhalilishaji na kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu.anachofanya ni kutumia lugha ambazo hazikubaliki na haziwezi kuvumilika mahali popote pale Duniani.angalia lugha na maneno aliyoandika hiyo jana? Ni nani anaweza kuvumilia na kukaa kimya kuona mtu akitumia maneno ya kumtishia RAIS? Au hujasoma alichoandika jana?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nawaombeni Watanzania wenzangu na Wazalendo wa Taifa letu kujitokeza hadharani kulaani na kukemea vikali sana kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais wetu. Mtu huyu hatupaswi kumkalia kimya pasipo kutoa kauli na kumkemea pamoja na kumuonya vikali sana kuacha mara moja kutoa lugha chafu kwa Rais wetu.

Mtu huyu ambaye inaonyesha alikosa malezi mazuri utotoni mwake ameshajenga desturi na utamaduni wa hovyo na ambao haukubaliki hata kidogo.ambapo amekuwa akitoa lugha za udhalilishaji, kumshushia heshima Mheshimiwa Rais na Sasa amevuka mstari kuanza kutoa lugha za vitisho kwa Rais.

Inawezekana kwa akili yake na ulimbukeni wake,na kukosa kwake adabu na heshima akawa anafikiria labda anaongopwa au anaweza kufanya lolote lile au kutamka neno na maneno yoyote yale pasipo kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Anaweza kuwa anafikiria wote wana akili za aina yake za kuunga mkono ujinga wake.

Watanzania hatupo tayari kumvumilia wala kuona mtu akimtishia Rais Wetu au kumtukana, kumfedhehesha au kumtweza utu wake au kumshushia heshima bila sababu. Ni lazima Rais wetu aheshimiwe na kama kukosolewa basi akosolewe kwa lugha za staha, adabu, heshima na zinazokubalika katika jamii yoyote ile iliyostaarabika.

Lugha na maneno mabaya anayotumia Mdude Nyagali kwa Rais wetu hayakubaliki na hayawezi kukubalika mahali popote pale hapa Duniani.hakuna anayeweza kuyavumilia maana hiyo siyo demokrasia wala misingi ya demokrasia. Haiwezekani kwake demokrasia iwe ni kumtukana na kumdhalilisha Rais wetu.

Hivyo natoa Rai kwa watanzania wote kukemea vikali sana lugha chafu za Mdude Nyagali anazoendelea kuzitoa zidi ya Rais wetu. Shambulizi na mashambulizi ya aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa ni shambulizi kwetu sote watanzania na wazalendo wa Taifa letu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura hastahili heshima hata chembe
 
Mna jeshi la police na majeshi mengine,,,, watumeni wakamtundulissu,,,
Au wakamsativa 🫱🏼‍🫲🏾🫱🏼‍🫲🏾🫱🏼‍🫲🏾….
 
Hatukatai ukosoaji wa kutumia lugha za heshima,staha,adabu na hoja. Mdude Nyagali anachofanya siyo ukosoaji bali ni matusi , udhalilishaji na kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu.anachofanya ni kutumia lugha ambazo hazikubaliki na haziwezi kuvumilika mahali popote pale Duniani.angalia lugha na maneno aliyoandika hiyo jana? Ni nani anaweza kuvumilia na kukaa kimya kuona mtu akitumia maneno ya kumtishia RAIS? Au hujasoma alichoandika jana?
So bila shaka SSH amekutuma!
Kama ndivyo kamuue huyo Mdude ili umkomeshe!
 
Back
Top Bottom