Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Taja hizo kauli ambazo alizitamka huyu mpambania haki za wtz ambazo zimekukera ili tuzipime kama ni kweli kuwa ni kauli chafu
 
nashauri Jeshi imara la polisi kuchukua hatua kwa uhaini huu wa huyo kijana japo inafahamika ana matatizo ya afya ya akili kutokana na ubwiaji madawa ya kulevya 🐒
Nilisema hata jana kuwa huyu mtu inatakiwa afunguliwe kesi ya uhaini .
 
Madude mnamuonea tu jamaa ana matatizo ya akili(PTSD) Apewe msaada haraka.
 
Kwan mara ya kwanza nimekutana na mtu wa ovyo na mjinga ndani ya jf..

Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako,,tuache kukemea tabia za uchawa sabb mnakiuka law of work "mnavuna msichopanda sabb ya uchawa wenu" unataka tumkemeee mdude shujaa anaepambania wanyonge na kuwaambia viongoz udhaifu wao wazwaz..

Mdude yule hata mumuue Sina shaka hana hofu kabisa akilin mwake anakumbuka hata Yesu Masih alishasema "msiwaogope hao wauao mwili kisha baada ya hapo hakuna wanachoweza kufanya..."

Mdude endeelea kupambanua haki za watanzania dhidi ya hao dhulmati..
 
Luca kesi ya uhaini sio kirahisi kam unavyowaza mtu afunguliwe kama hivyo. Kasome tena nini maana ya uhaini.
Naifahamu vyema sana sheria hiyo na ndio maana nikasema kwa kauli zake za jana anapaswa kufunguliwa kesi ya uhaini.maana ametishia maisha ya Rais wetu mpendwa.
 
Kwan mara ya kwanza nimekutana na mtu wa ovyo na mjinga ndani ya jf..

Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako,,tuache kukemea tabia za uchawa sabb mnakiuka law of work "mnavuna msichopanda sabb ya uchawa wenu" unataka tumkemeee mdude shujaa anaepambania wanyonge na kuwaambia viongoz udhaifu wao wazwaz..

Mdude yule hata mumuue Sina shaka hana hofu kabisa akilin mwake anakumbuka hata Yesu Masih alishasema "msiwaogope hao wauao mwili kisha baada ya hapo hakuna wanachoweza kufanya..."

Mdude endeelea kupambanua haki za watanzania dhidi ya hao dhulmati..
Ninyi endeleeni kumjaza ujinga wenu hapa. Tambua tu ya kuwa jinai anayoendelea kuitenda haikubaliki hata kidogo na muda utafika wa yeye kuwajibika kisheria
 
Utamfanyeje mkuu??ila huyu jamaa binafsi kutoka moyoni namchukia kuliko mavi ila tu simjui na sijawahi kumuona shoga huyu sijui atakua na muonekano gani maandiko yake yanatia kinyaa mno
Ushauri wangu wa bure ni kuwa ungekunywa sumu UFE kabisa na kutoweka hapa Duniani,maana huna faida yoyote ile na hakuna atakaye sikitika ukifa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nawaombeni Watanzania wenzangu na Wazalendo wa Taifa letu kujitokeza hadharani kulaani na kukemea vikali sana kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais wetu. Mtu huyu hatupaswi kumkalia kimya pasipo kutoa kauli na kumkemea pamoja na kumuonya vikali sana kuacha mara moja kutoa lugha chafu kwa Rais wetu.

Mtu huyu ambaye inaonyesha alikosa malezi mazuri utotoni mwake ameshajenga desturi na utamaduni wa hovyo na ambao haukubaliki hata kidogo.ambapo amekuwa akitoa lugha za udhalilishaji, kumshushia heshima Mheshimiwa Rais na Sasa amevuka mstari kuanza kutoa lugha za vitisho kwa Rais.

Inawezekana kwa akili yake na ulimbukeni wake,na kukosa kwake adabu na heshima akawa anafikiria labda anaongopwa au anaweza kufanya lolote lile au kutamka neno na maneno yoyote yale pasipo kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Anaweza kuwa anafikiria wote wana akili za aina yake za kuunga mkono ujinga wake.

Watanzania hatupo tayari kumvumilia wala kuona mtu akimtishia Rais Wetu au kumtukana, kumfedhehesha au kumtweza utu wake au kumshushia heshima bila sababu. Ni lazima Rais wetu aheshimiwe na kama kukosolewa basi akosolewe kwa lugha za staha ,adabu,heshima na zinazokubalika katika jamii yoyote ile iliyostaarabika.

Lugha na maneno mabaya anayotumia Mdude Nyagali kwa Rais wetu hayakubaliki na hayawezi kukubalika mahali popote pale hapa Duniani.hakuna anayeweza kuyavumilia maana hiyo siyo demokrasia wala misingi ya demokrasia. Haiwezekani kwake demokrasia iwe ni kumtukana na kumdhalilisha Rais wetu.

Hivyo natoa Rai kwa watanzania wote kukemea vikali sana lugha chafu za Mdude Nyagali anazoendelea kuzitoa zidi ya Rais wetu. Shambulizi na mashambulizi ya aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa ni shambulizi kwetu sote watanzania na wazalendo wa Taifa letu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Niliwahi kukwambia, wewe na Mdude hamna tofaut yoyote

Inapofikia hatua ya kuona ugali wenu unawekwa mchanga

Kila mmoja anakuja mbio kutetea anachokiona ni sawa

Mdude anatetea ugali wake because viongozi wake wote wako jela sasa hivi, so ndio maana anaongea ambayo anaongea

Na wewe anatetea ugali wako because viongozi wako wameongelewa vibaya na Mdude

I think mnatakiwa kuheshimiana ili kila mtu ale ugali wake vizuri na apate posho yake vizuri kabisa bila tabu
 
Niliwahi kukwambia, wewe na Mdude hamna tofaut yoyote

Inapofikia hatua ya kuona ugali wenu unawekwa mchanga

Kila mmoja anakuja mbio kutetea anachokiona ni sawa

Mdude anatetea ugali wake because viongozi wake wote wako jela sasa hivi, so ndio maana anaongea ambayo anaongea

Na wewe anatetea ugali wako because viongozi wako wameongelewa vibaya na Mdude

I think mnatakiwa kuheshimiana ili kila mtu ale ugali wake vizuri na apate posho yake vizuri kabisa bila tabu
Usinifananishe na Mdude Nyagali.huko ni kunidhalilisha mimi.
 
Panic mode, issue ya GenZ wa Kenya imefanya viongozi wengi wa Africa kuwa kwenye panic mode.

Ulaya, America, Asia nk ambako kuna maisha mazuri na matumaini ya watu kuishi bado kuna UPINZANI.
Siasa za upinzani zimeikuta CCM Iko offguard.
 
Back
Top Bottom