Watanzania tujiulize busara ya kugomea $450m ya MCC, kisha kukubali $300m toka kwa wezi.

Watanzania tujiulize busara ya kugomea $450m ya MCC, kisha kukubali $300m toka kwa wezi.

...Maamuzi hayo ni pale mwizi wetu alipoona stahili yetu ni $300m tena za uaminifu...
Yaani wewe katika vipengele vyote vile vya makubaliano umeona hiyo $300m tu? Halafu ukiitwa nyumbu au lofa unakasirika. Samahani kama nimetumia lugha isiyopendeza lakini.
 
Kweli mkuu wamejitia kitanzi Kwa tai zao. Mategemeo Yao kwamba mtaburuzwa ICSID na MIGA na kulipa mabilioni yameyeyuka. Roho zinawapasuka mchana kweupe

Fikra mbovu kabisa!

Ninamuombea Mungu sana Mh Rais afanikiwe, kwani mafanikio yake ndio mafanikio yetu wote na ya hii nchi kwa ujumla wake, hata hivyo ni mategemeo yetu wote hatoweza au kufikiri kubeba fikra zako au kibaya zaidi kuzungukwa na washauri wenye wingwu la fikra zako.

Amen !
 
Hizi siasa za chadema/Zito zimejaa ulaghai saizi naishauri serikali usiwajibu chochote hawa vibaraka wa matupinkele sisi hapa kz tu!tunawasubiri mwaka 2020
 
Mkuu tafadhali USIPOTOSHE Umma. MCC HATUKUIKATAA ila ni wao WENYEWE walisitisha misaada yao kutokana na sababu zao.

Kuhusu MAKUBALIANO na hao wawekezaji na kukubali kutulipa hizo pesa huoni kwamba serikali ya awamu ya 5 IMEJARIBU sana?
USIPOFURAHIA hayo basi wewe si MZALENDO wa nchi hii.

Katika mazungumuzo kama haya kilichozingatiwa ni WIN WIN situation/Kila UPANDE usimuumize mwingine.
Maana BADO tungali TUNAHITAJIANA.

Na usipoelewa haya itakuwa ni vigumu kukusaidia.

Mkuu sijapotosha popote, pesa za MCC zilitaka sisi tutii demokrasia lakini kilichofanyika ccm waliona bora sifa na madaraka kwa chama chao kuliko maslahi ya taifa. Kumbuka tatizo ilikuwa ni uchaguzi wa Znz. Je kilichofanyika Znz kilikuwa sawa kwa taifa au ilikuwa kwa ccm?

Anyway tuache hayo naona ww kutopendezwa kwani ukweli unauma. Tuje kwenye hiki kilichofanyika sasa. Hakijanifurahisha wala kunikasirisha bali kimenishangaza. Hao jamaa kumbuka ni wezi baada ya tathmini ya kina kupitia tune zetu chini ya wataalamu mahiri, huku taasisi yetu ya kodi ikiweka malipo stahiki dhidi ya wezi wetu. Sasa mwizi wetu anapotupa malipo ya matumizi ya serekali ya mwezi mmoja ni utani wa mchana kweupe. Haya mnasema kwamba kuna makubaliano ya 50/50, je hiyo ni gawio la faida tu au haya na sisi tunachangia uendeshaji. Huoni hao jamaa kutupa $300m hawajapoteza chochote kwani watazipata hapohapo kwenye uchimbaji? Tungepoteza nini kama tungerekebisha denikrasia tukapokea hela za MCC na leo tukapokea hicho kifumba macho mwizi aendelee kushirikiana na sisi kumalizia madini yaliyobaki?
 
Mwisho wa siku hiyo $300m haki yetu sio haki yetu!?

Hiyo $300m sio malipo ya deni bali ni ishara ya uaminifu. Sasa mwizi unayemdai $190b akupe hicho kiwango si unaona ni utani? Halafu wanatupa hicho kiwango ili tulainike waendelee kuchimba. Si unajua hiyo hela wataipata hapohapo migodini. Think big.
 
Mcc za$450m mashart ya ushoga
Hizi $300m ni asili ya ardhi yetu Tz
 
Mkuu sijapotosha popote, pesa za MCC zilitaka sisi tutii demokrasia lakini kilichofanyika ccm waliona bora sifa na madaraka kwa chama chao kuliko maslahi ya taifa. Kumbuka tatizo ilikuwa ni uchaguzi wa Znz. Je kilichofanyika Znz kilikuwa sawa kwa taifa au ilikuwa kwa ccm?

Anyway tuache hayo naona ww kutopendezwa kwani ukweli unauma. Tuje kwenye hiki kilichofanyika sasa. Hakijanifurahisha wala kunikasirisha bali kimenishangaza. Hao jamaa kumbuka ni wezi baada ya tathmini ya kina kupitia tune zetu chini ya wataalamu mahiri, huku taasisi yetu ya kodi ikiweka malipo stahiki dhidi ya wezi wetu. Sasa mwizi wetu anapotupa malipo ya matumizi ya serekali ya mwezi mmoja ni utani wa mchana kweupe. Haya mnasema kwamba kuna makubaliano ya 50/50, je hiyo ni gawio la faida tu au haya na sisi tunachangia uendeshaji. Huoni hao jamaa kutupa $300m hawajapoteza chochote kwani watazipata hapohapo kwenye uchimbaji? Tungepoteza nini kama tungerekebisha denikrasia tukapokea hela za MCC na leo tukapokea hicho kifumba macho mwizi aendelee kushirikiana na sisi kumalizia madini yaliyobaki?

Mkuu hii ya 50/50 bado naona ni danganya toto,hivi shares 16% faida 50/50 labda kwenye other concentrates siamini hata kidogo
 
Kwanza napenda kupongeza taarifa iliyotolewa leo baada ya majadiliano ya karibia miezi miwili na Barrick. Tumepata tulichopata na makubaliano mengine ambayo itabidi tusubiri kuona faida yake huko mbeleni. Nirejee kwenye mada, wote tunajua mwaka jana tuligomea msaada wa MCC wa dola 450m za bure kwa sababu hatukutaka msaada wa masharti. Ni kweli pesa zile tulizokosa kwa kushindwa tu kutumia busara ya kidiplomasia kwa makosa yetu ya kudharau demokrasia. Kwa bahati siku nazo hazigandi. Tukapata tume mbili zilizoshiba uzalendo zikachunguza wizi wa madini yetu hasa dhahabu. Tume zikafanya kazi kwa uzalendo kabisa na kutuletea data zisizoacha shaka kwa wizi tuliofanyiwa. Taasisi yetu ya mapato ikakokotoa wizi tuliofanyiwa ikakuta tunadai $190b zisizoacha shaka.

Leo hii wengine tunaukumbuka baadhi ya mambo tumepigwa na butwaa kwa kusikia mazungumzo ya wezi wetu wa Barrick yamefikia mwisho mwisho, lakini ni kama maamuzi halisi yameshatolewa. Maamuzi hayo ni pale mwizi wetu alipoona stahili yetu ni $300m tena za uaminifu kwamba yeye sio mwizi, na hizo atazitoa baada ya bodi yao huko London kuridhia! Watanzania tukalipuka kwa shangwe kwamba mwizi kanyoosha mikono. Wengine sisi tukaamua kwenda mbali zaidi na kujiuliza, iweje mwaka tu ulioisha tugomee $450m za bure kisha tuheshimu demokrasia, lakini tukubali $300m toka kwa mwizi tuliye na ushahidi nao mwaka mmoja mbele? Hapa hatunyoosheani vidole, lakini watanzania na waliochukua maamuzi hayo wametumia busara? Je hali hii ya kushindwa kupokea hela za bure kisha tuheshimu demokrasia na kupokea $300m toka kwa mwizi ipi ni maamuzi ya busara? Mawazo yoyote ni sawa kwani hii ndio demokrasia

CC: Paskali Mayalla, Quinine, Yehodaya, Jingalao, Mwigulu Nchemba, Zitto Junior

Are you really asking us to evaluate two decisions that aren't substitutes for each other? Did Tanzania have to accept EITHER a $300 million settlement with Barrick OR a $450 million MCC aid package? Tanzania's rejection of the $300 million settlement with Barrick wouldn't have resulted in acceptance of the $450 million MCC aid package, and vice versa! In this case, if the $300 million settlement with Barrick were rejected, Tanzania would have received NEITHER the $450 million MCC aid package NOR the $300 million settlement with Barrick, which is quantitatively worse than receiving either of these amounts!

Don't write for the sake of it!
 
Mcc za$450m mashart ya ushoga
Hizi $300m ni asili ya ardhi yetu Tz

Sawa hatujachukua hiyo $450m ya MCC je mashoga hawapo hapa nchini? Hiyo $300m si wataipata hapahapa kwenye migodi yetu ndani ya wiki tu.
 
Kuna kitu kinaitwa financial analysis na economical analysis. Financial analysis ni subset ya economical analysis. Siku zote unapofanya maamuzi ya maana juu ya jambo linalohusu umma wa Taifa zima tumia matokeo ya Economical Analysis. Umesikia mleta mada?
 
Kwanza napenda kupongeza taarifa iliyotolewa leo baada ya majadiliano ya karibia miezi miwili na Barrick. Tumepata tulichopata na makubaliano mengine ambayo itabidi tusubiri kuona faida yake huko mbeleni. Nirejee kwenye mada, wote tunajua mwaka jana tuligomea msaada wa MCC wa dola 450m za bure kwa sababu hatukutaka msaada wa masharti. Ni kweli pesa zile tulizokosa kwa kushindwa tu kutumia busara ya kidiplomasia kwa makosa yetu ya kudharau demokrasia. Kwa bahati siku nazo hazigandi. Tukapata tume mbili zilizoshiba uzalendo zikachunguza wizi wa madini yetu hasa dhahabu. Tume zikafanya kazi kwa uzalendo kabisa na kutuletea data zisizoacha shaka kwa wizi tuliofanyiwa. Taasisi yetu ya mapato ikakokotoa wizi tuliofanyiwa ikakuta tunadai $190b zisizoacha shaka.

Leo hii wengine tunaukumbuka baadhi ya mambo tumepigwa na butwaa kwa kusikia mazungumzo ya wezi wetu wa Barrick yamefikia mwisho mwisho, lakini ni kama maamuzi halisi yameshatolewa. Maamuzi hayo ni pale mwizi wetu alipoona stahili yetu ni $300m tena za uaminifu kwamba yeye sio mwizi, na hizo atazitoa baada ya bodi yao huko London kuridhia! Watanzania tukalipuka kwa shangwe kwamba mwizi kanyoosha mikono. Wengine sisi tukaamua kwenda mbali zaidi na kujiuliza, iweje mwaka tu ulioisha tugomee $450m za bure kisha tuheshimu demokrasia, lakini tukubali $300m toka kwa mwizi tuliye na ushahidi nao mwaka mmoja mbele? Hapa hatunyoosheani vidole, lakini watanzania na waliochukua maamuzi hayo wametumia busara? Je hali hii ya kushindwa kupokea hela za bure kisha tuheshimu demokrasia na kupokea $300m toka kwa mwizi ipi ni maamuzi ya busara? Mawazo yoyote ni sawa kwani hii ndio demokrasia

CC: Paskali Mayalla, Quinine, Yehodaya, Jingalao, Mwigulu Nchemba, Zitto Junior
Itabidi ukazichukue kwa niaba yetu mkuu
 
Kwanza napenda kupongeza taarifa iliyotolewa leo baada ya majadiliano ya karibia miezi miwili na Barrick. Tumepata tulichopata na makubaliano mengine ambayo itabidi tusubiri kuona faida yake huko mbeleni. Nirejee kwenye mada, wote tunajua mwaka jana tuligomea msaada wa MCC wa dola 450m za bure kwa sababu hatukutaka msaada wa masharti. Ni kweli pesa zile tulizokosa kwa kushindwa tu kutumia busara ya kidiplomasia kwa makosa yetu ya kudharau demokrasia. Kwa bahati siku nazo hazigandi. Tukapata tume mbili zilizoshiba uzalendo zikachunguza wizi wa madini yetu hasa dhahabu. Tume zikafanya kazi kwa uzalendo kabisa na kutuletea data zisizoacha shaka kwa wizi tuliofanyiwa. Taasisi yetu ya mapato ikakokotoa wizi tuliofanyiwa ikakuta tunadai $190b zisizoacha shaka.

Leo hii wengine tunaukumbuka baadhi ya mambo tumepigwa na butwaa kwa kusikia mazungumzo ya wezi wetu wa Barrick yamefikia mwisho mwisho, lakini ni kama maamuzi halisi yameshatolewa. Maamuzi hayo ni pale mwizi wetu alipoona stahili yetu ni $300m tena za uaminifu kwamba yeye sio mwizi, na hizo atazitoa baada ya bodi yao huko London kuridhia! Watanzania tukalipuka kwa shangwe kwamba mwizi kanyoosha mikono. Wengine sisi tukaamua kwenda mbali zaidi na kujiuliza, iweje mwaka tu ulioisha tugomee $450m za bure kisha tuheshimu demokrasia, lakini tukubali $300m toka kwa mwizi tuliye na ushahidi nao mwaka mmoja mbele? Hapa hatunyoosheani vidole, lakini watanzania na waliochukua maamuzi hayo wametumia busara? Je hali hii ya kushindwa kupokea hela za bure kisha tuheshimu demokrasia na kupokea $300m toka kwa mwizi ipi ni maamuzi ya busara? Mawazo yoyote ni sawa kwani hii ndio demokrasia

CC: Paskali Mayalla, Quinine, Yehodaya, Jingalao, Mwigulu Nchemba, Zitto Junior

tindo bwana mbona unafananisha vile vijisenti vya MCC na hili gharika la ushindi alioupata Magufuli?

Ile hela ya MCC ilikuja na masharti kuwa
* tufute sheria zetu za makosa ya mitandao,
* tubatilishe maamuzi ya Jecha katika ule uchaguzi wa Rais wa Zanzibar.

Serikali yetu ikawapa MCC the middle finger na kuwaambia, kama ni huo msaada wenu ndio unaomipa jeuri ya kutuingilia tunavyoendesha nchi yetu, (basically kutupokonya sovereignty yetu) basi msitupe.

Hiki ni kitendo cha kijasiri na kujivunia. Watanzania wote tunapaswa kutembea vichwa juu na vifua mbele kwa uamuzi ule.

Kuhusu makubaliano ya serikali na Barrick yaliyotangazwa, kama sikosei ni hivi:
☆ $300m za kutuangukia kwa usumbufu waliotupa.
☆ Tunamiliki 16% ya machimbo
☆ Mgao wa faida ni 50-50 kati ya wachimbaji na serikali.
☆ Mapato ya haya makampuni yatawekwa kwenye mabenki ya ndani.
☆ Watakachochimba zaidi ya dhahabu, shaba na fedha yote itakuwa ni mali ya serikali.
☆ Watawaajiri Watanzania na kuwafunza taaluma za juu za uendeshaji migodi.
☆ Watahamisha ofisi zao kuu kutoka Afrika Kusini na Uingereza na kuzileta Tanzania.
☆ Nafikiri kuna vingine nilivyovisahau.

Mkuu unataka kufananisha zile $450m za masimango na mpukuti huu tunaoupata kwa makubaliano haya?

Pia ukumbuke kuwa, kuanzia sasa makubaliano yote yatakayofanyika kati ya wanaotaka kuchimba madini Tanzania na serikali yatafuata precedence hii.

Hebu piga makofi kidogo umpongeze Rais wako.
 
tindo bwana mbona unafananisha vile vijisenti vya MCC na hili gharika la ushindi alioupata Magufuli?

Ile hela ya MCC ilikuja na masharti kuwa
* tufute sheria zetu za makosa ya mitandao,
* tubatilishe maamuzi ya Jecha katika ule uchaguzi wa Rais wa Zanzibar.

Serikali yetu ikawapa MCC the middle finger na kuwaambia, kama ni huo msaada wenu ndio unaomipa jeuri ya kutuingilia tunavyoendesha nchi yetu, (basically kutupokonya sovereignty yetu) basi msitupe.

Hiki ni kitendo cha kijasiri na kujivunia. Watanzania wote tunapaswa kutembea vichwa juu na vifua mbele kwa uamuzi ule.

Kuhusu makubaliano ya serikali na Barrick yaliyotangazwa, kama sikosei ni hivi:
☆ $300m za kutuangukia kwa usumbufu waliotupa.
☆ Tunamiliki 16% ya machimbo
☆ Mgao wa faida ni 50-50 kati ya wachimbaji na serikali.
☆ Mapato ya haya makampuni yatawekwa kwenye mabenki ya ndani.
☆ Watakachochimba zaidi ya dhahabu, shaba na fedha yote itakuwa ni mali ya serikali.
☆ Watawaajiri Watanzania na kuwafunza taaluma za juu za uendeshaji migodi.
☆ Watahamisha ofisi zao kuu kutoka Afrika Kusini na Uingereza na kuzileta Tanzania.
☆ Nafikiri kuna vingine nilivyovisahau.

Mkuu unataka kufananisha zile $450m za masimango na mpukuti huu tunaoupata kwa makubaliano haya?

Pia ukumbuke kuwa, kuanzia sasa makubaliano yote yatakayofanyika kati ya wanaotaka kuchimba madini Tanzania na serikali yatafuata precedence hii.

Hebu piga makofi kidogo umpongeze Rais wako.
Boss ushawahi kufanya biashara kweli?
 
Kwanza napenda kupongeza taarifa iliyotolewa leo baada ya majadiliano ya karibia miezi miwili na Barrick. Tumepata tulichopata na makubaliano mengine ambayo itabidi tusubiri kuona faida yake huko mbeleni. Nirejee kwenye mada, wote tunajua mwaka jana tuligomea msaada wa MCC wa dola 450m za bure kwa sababu hatukutaka msaada wa masharti. Ni kweli pesa zile tulizokosa kwa kushindwa tu kutumia busara ya kidiplomasia kwa makosa yetu ya kudharau demokrasia. Kwa bahati siku nazo hazigandi. Tukapata tume mbili zilizoshiba uzalendo zikachunguza wizi wa madini yetu hasa dhahabu. Tume zikafanya kazi kwa uzalendo kabisa na kutuletea data zisizoacha shaka kwa wizi tuliofanyiwa. Taasisi yetu ya mapato ikakokotoa wizi tuliofanyiwa ikakuta tunadai $190b zisizoacha shaka.

Leo hii wengine tunaukumbuka baadhi ya mambo tumepigwa na butwaa kwa kusikia mazungumzo ya wezi wetu wa Barrick yamefikia mwisho mwisho, lakini ni kama maamuzi halisi yameshatolewa. Maamuzi hayo ni pale mwizi wetu alipoona stahili yetu ni $300m tena za uaminifu kwamba yeye sio mwizi, na hizo atazitoa baada ya bodi yao huko London kuridhia! Watanzania tukalipuka kwa shangwe kwamba mwizi kanyoosha mikono. Wengine sisi tukaamua kwenda mbali zaidi na kujiuliza, iweje mwaka tu ulioisha tugomee $450m za bure kisha tuheshimu demokrasia, lakini tukubali $300m toka kwa mwizi tuliye na ushahidi nao mwaka mmoja mbele? Hapa hatunyoosheani vidole, lakini watanzania na waliochukua maamuzi hayo wametumia busara? Je hali hii ya kushindwa kupokea hela za bure kisha tuheshimu demokrasia na kupokea $300m toka kwa mwizi ipi ni maamuzi ya busara? Mawazo yoyote ni sawa kwani hii ndio demokrasia

CC: Paskali Mayalla, Quinine, Yehodaya, Jingalao, Mwigulu Nchemba, Zitto Junior

Embu badilika basi ndugu yangu. Hasa unaongelea nini. Unatetea nini. Kwanza ujue. Kwa Nchi kama Tanzania. Maskini sana. Ni daring kwa ajili ya Future. Muwe mnasoma na historia acha Kupinga tu kisa mwenzetu huendi choo. Sisi tunaenda na tutamuheshimu JPM Kwa HILI mpka mwisho
 
Sawa hatujachukua hiyo $450m ya MCC je mashoga hawapo hapa nchini? Hiyo $300m si wataipata hapahapa kwenye migodi yetu ndani ya wiki tu.
Mashogo wapo je wapo kisheria na wanatambulika? Na wameruhusiwa doa ya jinsia moja hapa?
 
Back
Top Bottom