Watanzania tujiulize busara ya kugomea $450m ya MCC, kisha kukubali $300m toka kwa wezi.


Kwanza kunywa maji maana kwa sasa hata kujenga hoja inazidi kuwa shida. Tatizo ni moja, hoja mlikuwa mnajitutumua kuzijenga mwanzo, sasa hv nazo zimewashinda baada ya ukweli kuwa wazi hivyo mnahamia kwenye matusi. Kwa sasa acha nisimamie kwenye hoja maana ninazo nyingi tena za msingi. Zikiisha nitafikiria matusi.
 
Bado tunangoja wazalendo watoe ufafanuzi wa hayo malipo ya 50/50. Naona Kabudi haeleweki kabisa.
 
Kweli watz aliye tuloga ashakufa naye . Sasa Kwa akili ya mleta mada kwanini tusiseme tumeligwa . Watu hatuna uzalendo kabisa
 
Nasema chakwetu ni chakwetu Masada wa nini?hatutaki Masada wa kutukomoa sisi kama taifa tunahitaji kujitambua na kuachana na mawazo mgando ya misaada
 

Kwa mujibu wa sheria zetu za kodi TRA waliwapatia Acacia/Barrick Hati ya madai ya dola bilioni 190 sawa Na fedha za kitanzania Trilioni 425.
Sheria zetu za kodi zinaelekeza namna ya kumshughulikia mkwepa kodi. Ndio maghorofa ya Lugumi yako mnadani.
Tunachotakiwa kuhoji Na hatua gani zinachukuliwa kudai hela yetu Trilioni 425 ili kila mtz spate Noah yske
 
Faida katika majadiliano ya Barrick na serikali ulioiona ni hizo fedha pekee Usd 300mln pekee?
Kama ni hiyo peeke ulioiona utakua una ugonjwa wa ukoma grade one kwenye ubongo wako
 
Batanzanie baone haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…