Hasara ipi hio, leo hii mikutano imeanza kupewa vibali kufanyika hadharani hasara iko wapi hapa wakati afya ya kidemokrasia inarejeshwa ?Hakuna nafuu yeyote wanatuletea hasara tu.
Mnaangalia. Kwahiyo kwa akili yako watu wa pwani na zanzibar pekee ndio wenye hivo vigezo ushuzi vyako?Hatuangalii kabila, tunaangalia sifa za viongozi muhimu ambazo zinaleta amani na unafuu wa kidemokrasia.
1. Utu
2.kuweza kujichanganya na wananchi
3.ustaarabu
Hawa kwa kweli tumeshawajua. Never ever.Tusithubutu kuchagua sukuma gang
Hebu tuzungumzie tu hapo swala la Utu, Mama Samia ndie kiongozi wa juu alieenda kumjulia hali tundu Lissu baada ya shambulio la risasi kibao, ni suala la utu hilo.Mnaangalia. Kwahiyo kwa akili yako watu wa pwani na zanzibar pekee ndio wenye hivo vigezo ushuzi vyako?
Mikutano haina faida yayote kwa mwananchi wa kawaida.Hasara ipi hio, leo hii mikutano imeanza kupewa vibali kufanyika hadharani hasara iko wapi hapa wakati afya ya kidemokrasia inarejeshwa ?
Alafu kumbuka pia suala la amani na utu hawa wapo juu, Tundu Lissu alipigwa risasi kibao lakini kiongozi wa juu alieenda kumsabahi ni Mama Samia..utu! Utu! Utu!
Hawa wanaua, wanateka na kupiga watu risasiHawa kwa kweli tumeshawajua. Never ever.
Wewe utakuwa unazo sababu zako mwenyewe na siyo sababu za kulijenga taifa hili liwe imara na lenye maendeleo kwa wananchi wake.sio kwamba wakiingia kila kitu kinanyooka, la hasha!! Kuna Madudu huwa yanaendelea ila ukiweka mzani unaona wao wana nafuu hasa linapokuja suala la aman, demokrasia na maendeleo
Mwinyi mzee wa ruksa alitutoa kwenye ujamaa wa Nyerere watu wakaanza kumiliki hata Tv (wakati huo Zanzibar washazizoea), Pia ni Mwinyi ndie alie assist kuwe na mfumo wa vyama vingi kwa mara ya kwanza nchi hii, kiuchumi nako watu walizikimata pesa aisee.
Kikwete aliweka historia ya democracy tangu tupate uhuru ndio kipindi ambacho demokrasia ya uhuru wa maoni na ushindani wa vyama vya siasa ilikuwa kubwa...wote ni mashahidi hata kwenye suala la Katiba mpya Kikwete aliweza angalau kuruhusu kuwe na makongamano, kiuchumi vijana wengi walilamba ajira si ualimu si jeshini, pesa mtaani ilikuwepo.
Kaja Mama Samia nae tunaona nchi imerudi kwenye amani, tunaona jinsi mambo yanavyoanza kujirudi, Wapinzani wengi waliobambikiwa kesi wanaachiwa huru kwa spidi, mikutano ya hadhara pia iliyofungiwa kaanza kuifungulia, ni huyu huyu mama licha ya kuwa Ccm aliweza kuweka siasa pembeni na kuwa na utu wa kwenda kumjulia hali Tundu Lissu aliefanyiwa unyama wa kutisha mno, kiuchumi nako pesa imeanza kuzunguka mitaani, zile hofu za task force zimepungua.
Bisha kwa hoja nilete hoja.Wewe utakuwa unazo sababu zako mwenyewe na siyo sababu za kulijenga taifa hili liwe imara na lenye maendeleo kwa wananchi wake.
Kwa hiyo kaa nzao sababu zako hizo, siyo lazima ziwe za manufaa kwa nchi hii.
Mkuu, nikufahamishe.Bisha kwa hoja nilete hoja.
Kioindi cha mkapa ajira zilipungua
Kipindi cha kikwete ajira zilikuwa nyingi.
Kioindi cha magu zikaanza kuwa chache.
Kioindi hiki ajira zimeanza kuwa tele
Ni wapi palikuwa na maendeleo ??
Huelewi kitu gani.Ndio upite kushoto sasa kama huna cha kuchangia ni heri ukae kimya tu
Nishamalizana nawe.Kakojoe kalale kesho uamke kwenda shule, humu ndani hata watoto wa 2007 najua mpo wengi
Uko sahihi kabisasio kwamba wakiingia kila kitu kinanyooka, la hasha!! Kuna Madudu huwa yanaendelea ila ukiweka mzani unaona wao wana nafuu hasa linapokuja suala la aman, demokrasia na maendeleo
Mwinyi mzee wa ruksa alitutoa kwenye ujamaa wa Nyerere watu wakaanza kumiliki hata Tv (wakati huo Zanzibar washazizoea), Pia ni Mwinyi ndie alie assist kuwe na mfumo wa vyama vingi kwa mara ya kwanza nchi hii, kiuchumi nako watu walizikimata pesa aisee.
Kikwete aliweka historia ya democracy tangu tupate uhuru ndio kipindi ambacho demokrasia ya uhuru wa maoni na ushindani wa vyama vya siasa ilikuwa kubwa...wote ni mashahidi hata kwenye suala la Katiba mpya Kikwete aliweza angalau kuruhusu kuwe na makongamano, kiuchumi vijana wengi walilamba ajira si ualimu si jeshini, pesa mtaani ilikuwepo.
Kaja Mama Samia nae tunaona nchi imerudi kwenye amani, tunaona jinsi mambo yanavyoanza kujirudi, Wapinzani wengi waliobambikiwa kesi wanaachiwa huru kwa spidi, mikutano ya hadhara pia iliyofungiwa kaanza kuifungulia, ni huyu huyu mama licha ya kuwa Ccm aliweza kuweka siasa pembeni na kuwa na utu wa kwenda kumjulia hali Tundu Lissu aliefanyiwa unyama wa kutisha mno, kiuchumi nako pesa imeanza kuzunguka mitaani, zile hofu za task force zimepungua.
Wako vizuri aisee. Hawataki damu za watu ili watawaleHakuna nafuu yeyote wanatuletea hasara tu.
Atleast they can show the way. Ni umuhimu kutambua mchango japo huo mdogoMuhimu ni Katiba mpya badala ya kutegemea personalities za watu.
Upuuzisio kwamba wakiingia kila kitu kinanyooka, la hasha!! Kuna Madudu huwa yanaendelea ila ukiweka mzani unaona wao wana nafuu hasa linapokuja suala la aman, demokrasia na maendeleo
Mwinyi mzee wa ruksa alitutoa kwenye ujamaa wa Nyerere watu wakaanza kumiliki hata Tv (wakati huo Zanzibar washazizoea), Pia ni Mwinyi ndie alie assist kuwe na mfumo wa vyama vingi kwa mara ya kwanza nchi hii, kiuchumi nako watu walizikimata pesa aisee.
Kikwete aliweka historia ya democracy tangu tupate uhuru ndio kipindi ambacho demokrasia ya uhuru wa maoni na ushindani wa vyama vya siasa ilikuwa kubwa...wote ni mashahidi hata kwenye suala la Katiba mpya Kikwete aliweza angalau kuruhusu kuwe na makongamano, kiuchumi vijana wengi walilamba ajira si ualimu si jeshini, pesa mtaani ilikuwepo.
Kaja Mama Samia nae tunaona nchi imerudi kwenye amani, tunaona jinsi mambo yanavyoanza kujirudi, Wapinzani wengi waliobambikiwa kesi wanaachiwa huru kwa spidi, mikutano ya hadhara pia iliyofungiwa kaanza kuifungulia, ni huyu huyu mama licha ya kuwa Ccm aliweza kuweka siasa pembeni na kuwa na utu wa kwenda kumjulia hali Tundu Lissu aliefanyiwa unyama wa kutisha mno, kiuchumi nako pesa imeanza kuzunguka mitaani, zile hofu za task force zimepungua.
Hebu tuzungumzie tu hapo swala la Utu, Mama Samia ndie kiongozi wa juu alieenda kumjulia hali tundu Lissu baada ya shambulio la risasi kibao, ni suala la utu hilo.
Kama lengo ilikuwa kuisafisha serikali mbona wabunge na mawaziri wengine tuliambiwa walizuiwa hii si ndio ingekuwa Kiki hasa ya kuisafisha achilia mbali makundi ya watanzania wengi waliokusanyika kufanya maombi wakazuiwa?..Ssh alikuwa yuko Nairobi kwa ajili ya shughuli za kumuapisha Uhuru Kenyatta.
..asingekwenda kumuona Lissu zile tuhuma kwamba serikali imehusika zingeshika kasi zaidi.
..kwa hiyo Ssh alikwenda kumuona Lissu hospitali kwa nia ya kuisafisha serikali ya Ccm imbayo ilikuwa ikituhumiwa kuhusika.
..Ssh aliporudi hapa Tz, wakati wa kampeni, alisikika akimkebehi Lissu kuhusu shambulizi la risasi.