Napenda nitoe tahadhari kwa ccm, viongozi wa serikal na vyama vya siasa kuwa kwa sasa Hayati Dr John Pombe Magufuli hatunaye tena. Ametangulia mbele za haki. Sii jambo la busara kila kukicha kumtaja na kumshutumu marehem as if alikuwa akiendesha hili taifa peke yake.
Nataka niwakumbushe taifa hili lina watu ambao wanamshauri Rais na hao watu au hiyo team ina inatoka ktk National Securty Team kutoka ktk vyumba vya ndani vya wana usalama hawa hutoa report nankimshauri Rais na Rais kwa utashi wake huchaguwa mbivu na mbichi au hutoa maoni yake before action.
Hakuna jambo linafanyika au linakuwa impliment linalo husu mambo yakiusalama la hili taifa hawa jamaa wasiwepo. Ndio maana mwisho wa Yote Rais hashitakiwi jiulize why?
Jambo lakusimama kwenye mimbari na kwenye vyombo vya dunia nakumpaka tope Magufuli niswala lita ligawa hili taifa pamoja na chama na idara zake. Tuwe wakweli kila zama na kitabu chake Mwinyi alifanya makosa, Nyerere Mungu amrehem alifanya makosa, Jakaya alifanya makosa, Mkapa Mungu amrehem alifanya makosa. Iweje Magufuli ndio imekuwa story of town.
Mimi nitasema jambo moja na wenye akili mtanielewa. Magufuli alipo ingia kwenye serikali jambo zito sana sana alikutana nalo ilikuwa swala la kutoka siri za serikali hii kitu aliikomesha kwa mkono wa chuma na tuseme ukweli ilifika muda watu walishindwa kuijuwa kesho ndani ya ikulu jambo hili liliwaumiza watu wengi sana.
Kama mnajuwa au hamjuwi unaposema Magufuli alifanya hivi au vile kama kweli unamanisha basi chama cha ccm hakipaswi kuwepo kinapaswa kufutwa kama Nazi kule german Yes huwezi msema mtu aliekuwa ndani ya chama kama mwenyekiti na clips zore zipo mnamsifia leo mnasema alikuwa mbaya naomba niseme ukweli tutakuwa wanafiki na mnafiki dawa yake ni moja kumuweka pemebeni. Leo Mwenza wake alie rithi kiti aseme JPM alikuwa mbaya yani huyo hafai hata kwa kumuweka chumvi na hii sio kanuni yangu ni kanuni inaongoza usalam wa dunia.
Tunamsema sana huyu baba na familia yake inaumia sana maana tuseme ukweli hakuna waziri wala Rais amewahi kifikia viwango vya kazi ya huyu mwamba. Wazungu wenyewe pamoja na propaganda wanajuwa jamaa alikuwa chuma cha pua na alikiwa Rais mwenye akili sana na ipo siku watoto wa watoto wetu watamfukua nakumpima uwezo wake. Kwa kipindi cha miaka sita ametuacha kama taifa tuna duwaa, na kwasababu ya chuki zetu ndani ya mioyo leo tunamsema vibaya ili kuficha udhaifu wetu maana tunajuwa jamaa alikuwa mwamba na hata formla alitumia kuendesha taifa wote tupo puzzled.
Tunamfedhehesha kuhusu issue ya covid 19 while upo ukweli baraza ka usalama wa Taifa uliutowa juu ya lockdown na hathari za muda mrefu kwa uchumi wetu na ndipo ikakubalika tusifunge uchumi hali itakuwa mbaya kuliko ugonjwa wenyewe na ikakubalika iwe siri vifo ili watu wasiwe na hofu. Jambo leo dunia yote hakuna anaye toa data wala kusema issue ya covid ukiacha china. Hatukutoa vaccine yes ila nalo lilielezwa mlitakaje? Mbona walioenda kimya kimya walidondoka na hatunao?
Ktk hali kama hii kusimama na kumlaumu Magufuli ni dhambi haya nchi simmekabidhiwa sasa mbona hamfungi watu ndani na kutoa idadi wanakufa kila siku kwa Covid 19 Mbona hatusikii kelele za wanao piga chanjo zore ni historia tupo royal tour?
Mnajisikiaje mnapo kutana na mjane na watoto wake mnao wasema kila siku baba yao na masikini marehem hawezi kujitetea. Je mnafikiri ccm itakuwa madarakani 100 ijayo? Na kama haitokuwa what if mtoto wa magufuli au mjukuu wake atashika atam maana msijisahau mkadhani mtakuwa nyie tu hapo ikulu au mtakuwa nyinyi tu watoto wa marais upo wakati watu watakuwa huru kushika hiyo nafasi ombeni asiwe mtoto wa magufuli au mjukuu waka au kitukuu chake. U will pay the price hata kama mmelala.
Jifunzeni kwa wengine zama zina badilika na wananchi wana akili angalien Brazil Yule Rais mstaafu Lula Da Siliva walimfunga miaka kadhaa kwa ufisadi ndio wananchi wana mpenda, angalie hapo Zambia rais wa sasa Aikande kama sijakosea alifungwa kwa kosa la kutopaki pembeni wakati rais alie mpisha kiti akipita barabarani tena walimpa jinai leo ndio Rais wa Zambia. Twenda kule Philippines wamemchaguwa mtoto wa Alie kuwa dictator aliongoza taifa kwa mkono wa chuma kama Magufuli leo mtoto wamempenda... Sasa endeleeni tu kunanga Magufuli ambaye hayupo nasi ila kazi zake zipo na zitakuwepo mpaka miisho yote.
Magufuli hayupo nasi, Magufuli alipewa kitabuncha risi na kazi zakufanyia kazi akazifanya kwa mkono wa chuma hasa swala la madawa ya kulevya alifyeka wote ndani. Hili liliwauma sana tunajuwa, ujambazi ilikuwa mama mkanye mwanao alifyeka wote ndani mnajuwa hili nainawauma sana, wizi na ubadhirifu mali ya umma yani hiíiíiííiiií aliwaliza sana najuwa hamuwezi kumpenda.
Aliipa idara ya usalama nguvu kubwa sana mithili ya nyakati za mwalimu yani vigogo na matajiri walijamba cheche idara iliweza ku track mpaka sindano kwenye sehem hazifikiki shikamoo Baba Magufuli hili liliwatesa sana wanaume wa Tz... Yaniiii Hiiiiiiiii nawanajuwa yani aliwachezesha sana... Siwezi kusema sanaa ..
Aliwapenda wanyonge na aliwaota wanyonge na wanyonge walipata haki zao na pesa waliona acheni huyu baba alale hakuna mtu wa chini utamuuliza kuhusu Magufuli amseme vibaya ktk moja ya mahojiano na kijana mmoja pale kariakoo aliniambia anatamani kuwe na Magufuli day na walitamani siku awaite yani wangefunga uwanja wa Benjamini Mkapa. Acheni huyu Mzee apumzike.
Itaendelea
Nataka niwakumbushe taifa hili lina watu ambao wanamshauri Rais na hao watu au hiyo team ina inatoka ktk National Securty Team kutoka ktk vyumba vya ndani vya wana usalama hawa hutoa report nankimshauri Rais na Rais kwa utashi wake huchaguwa mbivu na mbichi au hutoa maoni yake before action.
Hakuna jambo linafanyika au linakuwa impliment linalo husu mambo yakiusalama la hili taifa hawa jamaa wasiwepo. Ndio maana mwisho wa Yote Rais hashitakiwi jiulize why?
Jambo lakusimama kwenye mimbari na kwenye vyombo vya dunia nakumpaka tope Magufuli niswala lita ligawa hili taifa pamoja na chama na idara zake. Tuwe wakweli kila zama na kitabu chake Mwinyi alifanya makosa, Nyerere Mungu amrehem alifanya makosa, Jakaya alifanya makosa, Mkapa Mungu amrehem alifanya makosa. Iweje Magufuli ndio imekuwa story of town.
Mimi nitasema jambo moja na wenye akili mtanielewa. Magufuli alipo ingia kwenye serikali jambo zito sana sana alikutana nalo ilikuwa swala la kutoka siri za serikali hii kitu aliikomesha kwa mkono wa chuma na tuseme ukweli ilifika muda watu walishindwa kuijuwa kesho ndani ya ikulu jambo hili liliwaumiza watu wengi sana.
Kama mnajuwa au hamjuwi unaposema Magufuli alifanya hivi au vile kama kweli unamanisha basi chama cha ccm hakipaswi kuwepo kinapaswa kufutwa kama Nazi kule german Yes huwezi msema mtu aliekuwa ndani ya chama kama mwenyekiti na clips zore zipo mnamsifia leo mnasema alikuwa mbaya naomba niseme ukweli tutakuwa wanafiki na mnafiki dawa yake ni moja kumuweka pemebeni. Leo Mwenza wake alie rithi kiti aseme JPM alikuwa mbaya yani huyo hafai hata kwa kumuweka chumvi na hii sio kanuni yangu ni kanuni inaongoza usalam wa dunia.
Tunamsema sana huyu baba na familia yake inaumia sana maana tuseme ukweli hakuna waziri wala Rais amewahi kifikia viwango vya kazi ya huyu mwamba. Wazungu wenyewe pamoja na propaganda wanajuwa jamaa alikuwa chuma cha pua na alikiwa Rais mwenye akili sana na ipo siku watoto wa watoto wetu watamfukua nakumpima uwezo wake. Kwa kipindi cha miaka sita ametuacha kama taifa tuna duwaa, na kwasababu ya chuki zetu ndani ya mioyo leo tunamsema vibaya ili kuficha udhaifu wetu maana tunajuwa jamaa alikuwa mwamba na hata formla alitumia kuendesha taifa wote tupo puzzled.
Tunamfedhehesha kuhusu issue ya covid 19 while upo ukweli baraza ka usalama wa Taifa uliutowa juu ya lockdown na hathari za muda mrefu kwa uchumi wetu na ndipo ikakubalika tusifunge uchumi hali itakuwa mbaya kuliko ugonjwa wenyewe na ikakubalika iwe siri vifo ili watu wasiwe na hofu. Jambo leo dunia yote hakuna anaye toa data wala kusema issue ya covid ukiacha china. Hatukutoa vaccine yes ila nalo lilielezwa mlitakaje? Mbona walioenda kimya kimya walidondoka na hatunao?
Ktk hali kama hii kusimama na kumlaumu Magufuli ni dhambi haya nchi simmekabidhiwa sasa mbona hamfungi watu ndani na kutoa idadi wanakufa kila siku kwa Covid 19 Mbona hatusikii kelele za wanao piga chanjo zore ni historia tupo royal tour?
Mnajisikiaje mnapo kutana na mjane na watoto wake mnao wasema kila siku baba yao na masikini marehem hawezi kujitetea. Je mnafikiri ccm itakuwa madarakani 100 ijayo? Na kama haitokuwa what if mtoto wa magufuli au mjukuu wake atashika atam maana msijisahau mkadhani mtakuwa nyie tu hapo ikulu au mtakuwa nyinyi tu watoto wa marais upo wakati watu watakuwa huru kushika hiyo nafasi ombeni asiwe mtoto wa magufuli au mjukuu waka au kitukuu chake. U will pay the price hata kama mmelala.
Jifunzeni kwa wengine zama zina badilika na wananchi wana akili angalien Brazil Yule Rais mstaafu Lula Da Siliva walimfunga miaka kadhaa kwa ufisadi ndio wananchi wana mpenda, angalie hapo Zambia rais wa sasa Aikande kama sijakosea alifungwa kwa kosa la kutopaki pembeni wakati rais alie mpisha kiti akipita barabarani tena walimpa jinai leo ndio Rais wa Zambia. Twenda kule Philippines wamemchaguwa mtoto wa Alie kuwa dictator aliongoza taifa kwa mkono wa chuma kama Magufuli leo mtoto wamempenda... Sasa endeleeni tu kunanga Magufuli ambaye hayupo nasi ila kazi zake zipo na zitakuwepo mpaka miisho yote.
Magufuli hayupo nasi, Magufuli alipewa kitabuncha risi na kazi zakufanyia kazi akazifanya kwa mkono wa chuma hasa swala la madawa ya kulevya alifyeka wote ndani. Hili liliwauma sana tunajuwa, ujambazi ilikuwa mama mkanye mwanao alifyeka wote ndani mnajuwa hili nainawauma sana, wizi na ubadhirifu mali ya umma yani hiíiíiííiiií aliwaliza sana najuwa hamuwezi kumpenda.
Aliipa idara ya usalama nguvu kubwa sana mithili ya nyakati za mwalimu yani vigogo na matajiri walijamba cheche idara iliweza ku track mpaka sindano kwenye sehem hazifikiki shikamoo Baba Magufuli hili liliwatesa sana wanaume wa Tz... Yaniiii Hiiiiiiiii nawanajuwa yani aliwachezesha sana... Siwezi kusema sanaa ..
Aliwapenda wanyonge na aliwaota wanyonge na wanyonge walipata haki zao na pesa waliona acheni huyu baba alale hakuna mtu wa chini utamuuliza kuhusu Magufuli amseme vibaya ktk moja ya mahojiano na kijana mmoja pale kariakoo aliniambia anatamani kuwe na Magufuli day na walitamani siku awaite yani wangefunga uwanja wa Benjamini Mkapa. Acheni huyu Mzee apumzike.
Itaendelea