Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ya vifurushi imekua juu sana hasa kwenye data ndio kabisaaa!Inasikitisha sana naweka bando la eflu tatu halafu YouTube na Insta naiogopa ili utoboe nalo hata siku 5 zamani mtu unajiachia popote.
Basi mie nikajua sie wa Zantel tu ndio imekuwa hivyo baada ya migration kwenda tigo.Inasikitisha sana naweka bando la eflu tatu halafu YouTube na Insta naiogopa ili utoboe nalo hata siku 5 zamani mtu unajiachia popote.
Serikali imeweka kodi kubwa ndio maana wenye mitandao wanatubana sisi na mapato lazima yapatikane kwani kuingia mtandaoni ni Alosto ya wengi zaidi ya teja kukosa madawa hivyo ni lazima watu wajiunge tu ,sasa hali mbaya mno mtu hata kuingia YouTube unawaza mara mbili vifurushi ghali na vinakimbia mno .Mimi nowadays najiunga GB 1 kwa elfu mbili. Sie wa Zantel /TIGO ndio sielewi hasa naona naona tu.
Bando ghali na ukijiunga tu linaenda kasi ajabu [emoji22]
Tatizo la watanzania vitu muhimu hatuvipi kipaumbele ila vitu ambavyo ni vya ovyo ndio tunavipa kipaumbele.
Starlink nayo inawekewa vikwazo kibao mpaka maji tuite mma.