Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

Dah! Mb 750 nimejiunga jana usiku sija download zaidi ya kuchungulia instar dk 5 tu tena kwa tahadhari zote ila asubuhi naambiwa nimetumia 75% ya kifurushi changu.
Airtel hao...mi nimeachana nao, Bora voda
 
Kwa masikitiko makubwa niende moja kwa moja.

Watanzania wengi hatuelewi na hatujapata bado ufafanuzi sababu zinazopelekea Vifurushi vya Internet kupanda mara kwa mara tena kwa ghafla miezi michache tokea Rais Samia achukie madaraka.

Alianza kuupiga mwingi hadi tukawa tunajifia mitandao kwa kuongoza kwa unafuu wa gharama za internet kipindi Gb1 unapata kwa Tsh1,000/= lakini ghalfa zikaanza kupanda kwa awamu hatimaye leo awamu ya tatu kupanda tokea awe madarakani(kama sikosei) nimekuta Tsh3,000/= mtu unapata Gb 1.5 na mitandao yote vifurushi viko bei ghali kuliko vilivyokuwa ghali awali.

Athari nilizoziona kutokana tokea hali hii ilivyoanza miezi iliyopita na kuongezeka sasa;

1. Kuongezeka wimbi la watu wanaotumia njia haramu za kupata bando za bure mfano Free VPN.

Huko Telegram nimechunguza nimekuta magroup maalumu kwa akji ya watu kupeana hayo maujanja ili kuendana na ukali wa hali hata mitaani na hapa Jf ukiwa na connection ya VpN ya free data watu kibao wanakufuata Pm na wengine wapo radhi kukuchangia chochote kitu hivyo inachangia mapato ya serikali kupotea kwa asilimia kubwa.

2. Kupungua Idadi ya views youtube kwa asilimia kubwa na watu kukosa mapato.Hata wasanii wamepigwa za uso miezi hii na haijawahi kutokea kuwa na idadi ndogo namna hiyo kwa fanbase yao

3. Kupunguza motisha ya watu kusaka maarifa mtandaoni. Mimi nilikuwa ninachanel zangu maalumu za kufuatilia makala maalumu na mada za kisanyansi, kihistoria nk huko YouTube lakini nina miezi YouTube naiogopa kwenye simu yangu na naipitia ili nibaki kuperuzi angalau JF.

4. Ongezeeni wana JF....

#UziTayari
Mama anaupiga mwingi
 
Hili jamaa ni lipumbavu jamani.... Khaaaaaaaaaaaaa
Anatoa majibu simple kabisa ,hapa akitoa tena majibu yake ya hovyo baada ya vifurushi kupanda mwezi wa sita mwaka huu
Screenshot_20220502-151855.jpg
 
Hawajachukua hatua yeyote mpaka sasa na haya yalikuwa majibu yao baada ya vifurushi kupanda mwaka huu kabla ya sasa .
20220502_151755.jpg
 
Hii walivyopandisha February
Screenshot_20220807_054728.jpg

Ikaja tena May na Jully
Screenshot_20220807_054630.jpg


Screenshot_20220807_055155.jpg
 
2) Japokua vifurushi vimepanda ndio ila ukilinganisha na nchi zingine bado ni miongoni kwa nchi ambazo vifurushi vyake viko chini sana ukilinganisha na nchi zingine
Vipi umelinganisha na mishahara ya TZ na hizo nchi nyegine?.
 
Vipi umelinganisha na mishahara ya TZ na hizo nchi nyegine?.

mshahara hautakiwi kutosha hakuna sehem wanalipwa mshahara unaotosha! si ulikua unaona sera za nyerere hazifai mkakubali capitalism sasa malalamiko ya nn?
 
Kwa masikitiko makubwa niende moja kwa moja.

Watanzania wengi hatuelewi na hatujapata bado ufafanuzi sababu zinazopelekea Vifurushi vya Internet kupanda mara kwa mara tena kwa ghafla miezi michache tokea Rais Samia achukie madaraka.

Alianza kuupiga mwingi hadi tukawa tunajifia mitandao kwa kuongoza kwa unafuu wa gharama za internet kipindi Gb1 unapata kwa Tsh1,000/= lakini ghalfa zikaanza kupanda kwa awamu hatimaye leo awamu ya tatu kupanda tokea awe madarakani(kama sikosei) nimekuta Tsh3,000/= mtu unapata Gb 1.5 na mitandao yote vifurushi viko bei ghali kuliko vilivyokuwa ghali awali.

Athari nilizoziona kutokana tokea hali hii ilivyoanza miezi iliyopita na kuongezeka sasa;

1. Kuongezeka wimbi la watu wanaotumia njia haramu za kupata bando za bure mfano Free VPN.

Huko Telegram nimechunguza nimekuta magroup maalumu kwa akji ya watu kupeana hayo maujanja ili kuendana na ukali wa hali hata mitaani na hapa Jf ukiwa na connection ya VpN ya free data watu kibao wanakufuata Pm na wengine wapo radhi kukuchangia chochote kitu hivyo inachangia mapato ya serikali kupotea kwa asilimia kubwa.

2. Kupungua Idadi ya views youtube kwa asilimia kubwa na watu kukosa mapato.Hata wasanii wamepigwa za uso miezi hii na haijawahi kutokea kuwa na idadi ndogo namna hiyo kwa fanbase yao

3. Kupunguza motisha ya watu kusaka maarifa mtandaoni. Mimi nilikuwa ninachanel zangu maalumu za kufuatilia makala maalumu na mada za kisanyansi, kihistoria nk huko YouTube lakini nina miezi YouTube naiogopa kwenye simu yangu na naipitia ili nibaki kuperuzi angalau JF.

4. Ongezeeni wana JF....

#UziTayari
Zantel zimepanda x 2
 
Back
Top Bottom