Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

Vpn bila bando? Si kila mtu angekua na vpn
Bila bando sio masihara ni uhakika mkuu ,kuna moja jina nimeisahau iliipigwa baada ya kusambaa kwa haraka ilikuwa mtu unapewa Mb inachohitajika mtu siku ya kwanza uwe na bando unawatch matangazo na adds na umtumia Mtu link unapata Gb1 kuna watu walifikisha mpaka Gb35 halafu spidi haikwami muda wote sasa niambie huyo mtu anunue bando kwa hali hii la kazi gani ?
 
1000tzs 1GB 7 days ni zilipendwa
Ilikuwa na dakika juu ,enzi zile zitakumbukwa daima mtu alikuwa haoni hasara kuchukua buku lake kuweka vocho coz linaenda kihalali sasa hivi lazima ajifikirie ukizingatia vilevile bidhaa nyingine hazishikiki.
 
Nina lines nyingi ila naelekea huko maana

Enzi za NIGHT PACK hadi tumesahau tunatamani warudishe ilikuwa kitonga unawasha unalala unakutana na mizigo asubuhi

Voda MBs zinaenda vizuri pole pole ila gharama
Tigo MBs zinaisha haraka mno hawafai
Airtel Sio kama zamani ni chwaaaap MBs zimeenda
Halotel Hawa ndiyo wapuuzi kabisa walipokuja walikuja na speed kali Kwa sasa utopolo mtupu na kulazimisha watu wajiunge na huduma zao kwa kublock lines zipokee simu na SMS bila kutoa .Lines zao za chuo uchafu hazina maana.
Mimi nikinunua bando voda unajiamini kabisa najua linaenda kihalali wengine haswa Airtel na Halotel siwaamini kabisa kitu kinaisha chap .

Halotel kuna siku bando liliisha katika mazingira tata Ikanibidi niende kwenye data usage nikacheki statistics nimetumia kiasi gani nikagundua kwenye GB 2 niameacha kama 180Mb wakati huo nimeshaletewa sms kuwa nimemaliza bando langu na huduma wameshakata.
 
Screenshot_20220802_064152.jpg
 
Dah! Mb 750 nimejiunga jana usiku sija download zaidi ya kuchungulia instar dk 5 tu tena kwa tahadhari zote ila asubuhi naambiwa nimetumia 75% ya kifurushi changu.
 
Dah! Mb 750 nimejiunga jana usiku sija download zaidi ya kuchungulia instar dk 5 tu tena kwa tahadhari zote ila asubuhi naambiwa nimetumia 75% ya kifurushi changu.
Inasikitisha sana mtandao gani unatumia ?mimi insta na YouTube nitaingia tu nitakapo pata connection ya VPN bando langu la wiki Mb800 naperuzi Jf ,gugo kusearch makala na tovuti za habari kama WION na Aljazeera hata vitabu nimestop kudownload kwa muda .
 
Inasikitisha sana mtandao gani
unatumia ?mimi insta na YouTube nitaingia tu nitakapo
pata connection ya VPN bando
langu la wiki Mb800 naperuzi Jf
,gugo kusearch makala na
tovuti za habari kama WION na
Aljazeera hata vitabu nimestop
kudownload kwa muda .
Natumia halotel, nimepunguza sana matumizi siku hizi ili kuendana na hali halisi ila kilichotokea sikuamini kabisa.
 
Yani nimetoka kujiunga halotel MB 750 kwa 1500, mwanzo ilikuwa 1GB wakapunguza ikawa
MB 900 na leo nakuta 750.
Me natumiaga kile cha 2000 nikiunga leo kesho siungi kesho kutwa naunga ni sawa na kutumia 30k kwa siku 30 ...jana nashangaa wamepunguza dk zile 80 kuwa 30 sijui ..na dk ndo huwa situmii sana nimejiunga mfululizo hadi sasa nina dk 1600 mitandao yote
 
Me natumiaga kile cha 2000 nikiunga leo kesho siungi kesho kutwa naunga ni sawa na kutumia 30k kwa siku 30 ...jana nashangaa wamepunguza dk zile 80 kuwa 30 sijui ..na dk ndo huwa situmii sana nimejiunga mfululizo hadi sasa nina dk 1600 mitandao yote
Halotel jau sana Gb 2 zao sawa na 1.5 Gb ya Voda na 1.8Gb ya tigo
 
Ni kwa halotel tu zamani ilikuwa mitandao karibia yote na nimesajili halotel kwa sababu ya Freebasic ikiondolewa navunja laini kabisa maana kwa uzoefu wangu halotel wanachukua bando haraka sana na ipo namba 2 kwa mtindo huo usukani ukishikiliwa na Airtel.
Mkuu nipe maujanja unafanyaje, na mimi natumia halotel kwenye mambo ya data.
 
Me natumiaga kile cha 2000
nikiunga leo kesho siungi kesho kutwa naunga ni sawa na kutumia
30k kwa siku 30 ...jana nashangaa
wamepunguza dk zile 80 kuwa 30 sijui ..na dk ndo huwa situmii sana
nimejiunga mfululizo hadi sasa
nina dk 1600 mitandao yote
Yani wamekata dk 50 nzima halafu kimya kimya, na bado hiyo 1Gb kuanza kuipunguza.
 
Kwa masikitiko makubwa niende moja kwa moja.

Watanzania wengi hatuelewi na hatujapata bado ufafanuzi sababu zinazopelekea Vifurushi vya Internet kupanda mara kwa mara tena kwa ghafla miezi michache tokea Rais Samia achukie madaraka.

Alianza kuupiga mwingi hadi tukawa tunajifia mitandao kwa kuongoza kwa unafuu wa gharama za internet kipindi Gb1 unapata kwa Tsh1,000/= lakini ghalfa zikaanza kupanda kwa awamu hatimaye leo awamu ya tatu kupanda tokea awe madarakani(kama sikosei) nimekuta Tsh3,000/= mtu unapata Gb 1.5 na mitandao yote vifurushi viko bei ghali kuliko vilivyokuwa ghali awali.

Athari nilizoziona kutokana tokea hali hii ilivyoanza miezi iliyopita na kuongezeka sasa;

1. Kuongezeka wimbi la watu wanaotumia njia haramu za kupata bando za bure mfano Free VPN.

Huko Telegram nimechunguza nimekuta magroup maalumu kwa akji ya watu kupeana hayo maujanja ili kuendana na ukali wa hali hata mitaani na hapa Jf ukiwa na connection ya VpN ya free data watu kibao wanakufuata Pm na wengine wapo radhi kukuchangia chochote kitu hivyo inachangia mapato ya serikali kupotea kwa asilimia kubwa.

2. Kupungua Idadi ya views youtube kwa asilimia kubwa na watu kukosa mapato.Hata wasanii wamepigwa za uso miezi hii na haijawahi kutokea kuwa na idadi ndogo namna hiyo kwa fanbase yao

3. Kupunguza motisha ya watu kusaka maarifa mtandaoni. Mimi nilikuwa ninachanel zangu maalumu za kufuatilia makala maalumu na mada za kisanyansi, kihistoria nk huko YouTube lakini nina miezi YouTube naiogopa kwenye simu yangu na naipitia ili nibaki kuperuzi angalau JF.

4. Ongezeeni wana JF....

#UziTayari
wa tz hatuna wakukutetea watu wanapunguza vifurushi mda wa naotaka na hakuna anae wauliza tunaishi kulalamika mwisho tunazoea, sijui kuonewa huku mpaka lini
 
Kwa masikitiko makubwa niende moja kwa moja.

Watanzania wengi hatuelewi na hatujapata bado ufafanuzi sababu zinazopelekea Vifurushi vya Internet kupanda mara kwa mara tena kwa ghafla miezi michache tokea Rais Samia achukie madaraka.

Alianza kuupiga mwingi hadi tukawa tunajifia mitandao kwa kuongoza kwa unafuu wa gharama za internet kipindi Gb1 unapata kwa Tsh1,000/= lakini ghalfa zikaanza kupanda kwa awamu hatimaye leo awamu ya tatu kupanda tokea awe madarakani(kama sikosei) nimekuta Tsh3,000/= mtu unapata Gb 1.5 na mitandao yote vifurushi viko bei ghali kuliko vilivyokuwa ghali awali.

Athari nilizoziona kutokana tokea hali hii ilivyoanza miezi iliyopita na kuongezeka sasa;

1. Kuongezeka wimbi la watu wanaotumia njia haramu za kupata bando za bure mfano Free VPN.

Huko Telegram nimechunguza nimekuta magroup maalumu kwa akji ya watu kupeana hayo maujanja ili kuendana na ukali wa hali hata mitaani na hapa Jf ukiwa na connection ya VpN ya free data watu kibao wanakufuata Pm na wengine wapo radhi kukuchangia chochote kitu hivyo inachangia mapato ya serikali kupotea kwa asilimia kubwa.

2. Kupungua Idadi ya views youtube kwa asilimia kubwa na watu kukosa mapato.Hata wasanii wamepigwa za uso miezi hii na haijawahi kutokea kuwa na idadi ndogo namna hiyo kwa fanbase yao

3. Kupunguza motisha ya watu kusaka maarifa mtandaoni. Mimi nilikuwa ninachanel zangu maalumu za kufuatilia makala maalumu na mada za kisanyansi, kihistoria nk huko YouTube lakini nina miezi YouTube naiogopa kwenye simu yangu na naipitia ili nibaki kuperuzi angalau JF.

4. Ongezeeni wana JF....

#UziTayari

1) hakuna vpn inaotoa free internet
2) Japokua vifurushi vimepanda ndio ila ukilinganisha na nchi zingine bado ni miongoni kwa nchi ambazo vifurushi vyake viko chini sana ukilinganisha na nchi zingine

3) Sijui kama ulikua unategemea vifurushi bei ziwe zile zile miaka yote ama ulikua unategemea ziendelee kupungua?
hali ya maisha imebadilika na pia ulitakiwa uwe unajua kwamba vitu sku zote vinapanda bei havipungui bei, as long ni biashara tunabadilisha pesa na huduma kwahio na wao wanaangalia upande wao,

4) Siasa za ujamaa zishapitwa miaka mingi, we are in capitalism (SURVIVAL FOR THE FITTEST). endapo utaona vitu vinapanda bei ujue tu ndo maaana halisi ya capitalism

5) Ya mwisho na ya muhimu sana, huduma ya internet ni biashara, elimu, burudani na mambo mengine mengi, huduma hii inaweza kukupunguzia makali ya maisha kama utaamua kuitumia vizuri! na pia gone are the days za kutumbishwa na uchumi wa nchi moja, hakikisha unafanya investment sehem nyingi duniani mfano masoko ya mitaji (STOCK MARKET) hata apa tanzania kuna DAR ES SALAAM stock exchange, my point ni kwamba endapo uchumi wa tanzania uko vibaya basi inakua haina makali sna kwako
 
1) hakuna vpn inaotoa free internet
2) Japokua vifurushi vimepanda ndio ila ukilinganisha na nchi zingine bado ni miongoni kwa nchi ambazo vifurushi vyake viko chini sana ukilinganisha na nchi zingine

3) Sijui kama ulikua unategemea vifurushi bei ziwe zile zile miaka yote ama ulikua unategemea ziendelee kupungua?
hali ya maisha imebadilika na pia ulitakiwa uwe unajua kwamba vitu sku zote vinapanda bei havipungui bei, as long ni biashara tunabadilisha pesa na huduma kwahio na wao wanaangalia upande wao,

4) Siasa za ujamaa zishapitwa miaka mingi, we are in capitalism (SURVIVAL FOR THE FITTEST). endapo utaona vitu vinapanda bei ujue tu ndo maaana halisi ya capitalism
1.Vpn zipo watu wametumia sana tena humu Jf kulikuwa na jukwaa wajuba walijichimbia kupeana dili hizo mpaka watu wakawa wanatoa sadaka kwa wanajitolea kutoa madini cheki ushahidi hapo chini
IMG_20220802_141607.jpg


Cheki wajuba walivyokuwa wanaserereka kama wametia bando la mwezi halafu unajiamini kusema hamna Vpn unawajua MaPirate wewe ?
Screenshot_20220330-185727.jpg


Screenshot_20220802_141003.jpg
 
Back
Top Bottom