Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

Mkuu nipe maujanja unafanyaje, na mimi natumia halotel kwenye mambo ya data.
Sasa hivi zinapatikana laini chache na tunapigwa kimya kimya mimi sina ujuzi wowote wa hayo maujanja natumia zangu kihalali na hapa nilipo natafuta connection ya kunipush.

Kuna huyu boya na wenzako ndio waliwachoma watu wa Free data Vpn mpka nyingi zikasambaratishwa..
Screenshot_20220331-151344.jpg
 
1) hakuna vpn inaotoa free internet
2) Japokua vifurushi vimepanda ndio ila ukilinganisha na nchi zingine bado ni miongoni kwa nchi ambazo vifurushi vyake viko chini sana ukilinganisha na nchi zingine

3) Sijui kama ulikua unategemea vifurushi bei ziwe zile zile miaka yote ama ulikua unategemea ziendelee kupungua?
hali ya maisha imebadilika na pia ulitakiwa uwe unajua kwamba vitu sku zote vinapanda bei havipungui bei, as long ni biashara tunabadilisha pesa na huduma kwahio na wao wanaangalia upande wao,

4) Siasa za ujamaa zishapitwa miaka mingi, we are in capitalism (SURVIVAL FOR THE FITTEST). endapo utaona vitu vinapanda bei ujue tu ndo maaana halisi ya capitalism

5) Ya mwisho na ya muhimu sana, huduma ya internet ni biashara, elimu, burudani na mambo mengine mengi, huduma hii inaweza kukupunguzia makali ya maisha kama utaamua kuitumia vizuri! na pia gone are the days za kutumbishwa na uchumi wa nchi moja, hakikisha unafanya investment sehem nyingi duniani mfano masoko ya mitaji (STOCK MARKET) hata apa tanzania kuna DAR ES SALAAM stock exchange, my point ni kwamba endapo uchumi wa tanzania uko vibaya basi inakua haina makali sna kwako
3.Kupanda kwa bidhaa hilo halikwepeki ila kwa swala la vifurushi mwaka huu imevunja rekodi haijavuka miezi mitatu toka gharama zipande mara ya mwisho na kabla yake zilipanda tena mwaka huu na kutimiza idadi mara tatu mpaka sasa kwa hesabu ndogo . Swala la kupanda halikwepeki ila tunazingatia zinapandaje na kwa kiwango na muda gani ?
 
Changamoto sana ila ndio time ya survival for fittest.


kiswahili ni Afrika Mashariki, Kiswahili ni Tanzania, Kiswahili ni Amani na Upendo.
Hivi hii lugha ni kwel ina benefits au ni kupigana kamba tuu.. kama ingekua na benefits kihivyo bas elim ya sekondar na chuo kikuu ingekua kwa lugha hyo. Mikataba ya kaz pia.. tusidanganyane bana nyie walimu wa kiswahil
 
3.Kupanda kwa bidhaa hilo halikwepeki ila kwa swala la vifurushi mwaka huu imevunja rekodi haijavuka miezi mitatu toka gharama zipande mara ya mwisho na kabla yake zilipanda tena mwaka huu na kutimiza idadi mara tatu mpaka sasa kwa hesabu ndogo . Swala la kupanda halikwepeki ila tunazingatia zinapandaje na kwa kiwango na muda gani ?

sasa wewe huezi kusema kupanda kwa kiwango gan kwa sababu mwisho wa sku gharama za uendeshaji wa biashara wanazijua makampuni, huezi waambia pandishen asilimia 1 tu, unajuaje kama hio asilimia 1 kwao bado ni hasara?
- at the end of the day kupanda hakuna kikomo, mradi balance sheet zmebalance ofisini, analipa wafanya kazi na amerudisha ela yake ndo wakaona hio ndo bei nzuri

- lakini pia upandaji unaweza kua na mkono wa serikali nyuma yake, kwa lolote lile linaloendelea lazima ujifunze diversifaction haswa uchumi tafauti tafauti
 
1.Vpn zipo watu wametumia sana tena humu Jf kulikuwa na jukwaa wajuba walijichimbia kupeana dili hizo mpaka watu wakawa wanatoa sadaka kwa wanajitolea kutoa madini cheki ushahidi hapo chiniView attachment 2311923

Cheki wajuba walivyokuwa wanaserereka kama wametia bando la mwezi halafu unajiamini kusema hamna Vpn unawajua MaPirate wewe ?View attachment 2311924

View attachment 2311927

- hakuna vpn ya free internet amini nachokwambia, VPN kazi yake ni kuficha utambulizi wako mtandaoni, VPN maana yake virtual private network maaana yake unatengenezewa pings private kwenye connection yako, mfano ukiandika facebook.com, hii request inabadilishwa inakua address ya vpn, mfano akam vpn yako inaitwa jamii forum, then ukiandika facebook.com, hio request inakua forged inakua jamiiforum.com?returnpacket=facebook.com


  • kwahio voda yeye ataona tu request inasema jamiiforum.com! jamiiforum atachukua hio request ataprocess kwenye computer zake atarudisha tena mfano jamiiforum.com?returnpacket=flani liked your picture!
  • ukiangalia kwa kutumia mitandao ya simu utaona tu client anaongea na jamii forum one to one kumbe kuna exchange kubwa ya data!

- Connection ya internet ni ngumu sana na complex lazima uwe na hardware za kufanya connection mfano minara, satelite hizo vpn wanaokwambia wana free internet hakuna kitu kama icho na haiwezi kutokea hakuna connection ya vpn na free internet but privacy tu! na hata ukiwa na vpn u will still be charged kwenye bundle lako kawaida
 
- hakuna vpn ya free internet amini nachokwambia, VPN kazi yake ni kuficha utambulizi wako mtandaoni, VPN maana yake virtual private network maaana yake unatengenezewa pings private kwenye connection yako, mfano ukiandika facebook.com, hii request inabadilishwa inakua address ya vpn, mfano akam vpn yako inaitwa jamii forum, then ukiandika facebook.com, hio request inakua forged inakua jamiiforum.com?returnpacket=facebook.com


  • kwahio voda yeye ataona tu request inasema jamiiforum.com! jamiiforum atachukua hio request ataprocess kwenye computer zake atarudisha tena mfano jamiiforum.com?returnpacket=flani liked your picture!
  • ukiangalia kwa kutumia mitandao ya simu utaona tu client anaongea na jamii forum one to one kumbe kuna exchange kubwa ya data!

- Connection ya internet ni ngumu sana na complex lazima uwe na hardware za kufanya connection mfano minara, satelite hizo vpn wanaokwambia wana free internet hakuna kitu kama icho na haiwezi kutokea hakuna connection ya vpn na free internet but privacy tu! na hata ukiwa na vpn u will still be charged kwenye bundle lako kawaida
Lakini bado mserereko unapatikana mfano bando la jero Mb250 kwa kuwatch matangazo na kutuma link unapata hata GB7 hakikwami mahali popote na hazina kikomo ..
 
Yani wamekata dk 50 nzima halafu kimya kimya, na bado hiyo 1Gb kuanza kuipunguza.
Line yangu ya voda nilianza itumia 2007 haijawahi badilika chchte mpaka Sasa means Lila niliempa namba mwaka wowote kwanzia 2007 bado akipiga no zile zile atanipata tofauti na watu wengne ila mwaka 2020 niliacha hio line rasmi imebaki na itumia wasap tu vocha haiwekwi mwaka wa pili Sasa .nikaamia rasmi halotel...na wenyewe karibia watanipoteza imagine kwa mwezi Wana 30k yangu bado watu wengne afu wanaleta tamaa
 
Lakini bado mserereko unapatikana mfano bando la jero Mb250 kwa kuwatch matangazo na kutuma link unapata hata GB7 hakikwami mahali popote na hazina kikomo ..

vpn haihusiani na bundle kijana nn huelewi apo


sjui kama unaona bundle apo
 
- hakuna vpn ya free internet amini nachokwambia, VPN kazi yake ni kuficha utambulizi wako mtandaoni, VPN maana yake virtual private network maaana yake unatengenezewa pings private kwenye connection yako, mfano ukiandika facebook.com, hii request inabadilishwa inakua address ya vpn, mfano akam vpn yako inaitwa jamii forum, then ukiandika facebook.com, hio request inakua forged inakua jamiiforum.com?returnpacket=facebook.com


  • kwahio voda yeye ataona tu request inasema jamiiforum.com! jamiiforum atachukua hio request ataprocess kwenye computer zake atarudisha tena mfano jamiiforum.com?returnpacket=flani liked your picture!
  • ukiangalia kwa kutumia mitandao ya simu utaona tu client anaongea na jamii forum one to one kumbe kuna exchange kubwa ya data!

- Connection ya internet ni ngumu sana na complex lazima uwe na hardware za kufanya connection mfano minara, satelite hizo vpn wanaokwambia wana free internet hakuna kitu kama icho na haiwezi kutokea hakuna connection ya vpn na free internet but privacy tu! na hata ukiwa na vpn u will still be charged kwenye bundle lako kawaida
Endelea kubisha
 
🤣 🤣 🤣 basi katumie hio vpn yenye free internet binti
View attachment 2311991

vpn na internet wap wap nyie mabinti?
Umepewa na ushahidi bado hutaki watu wametumia sana hizo nawajua sijawahi tumia sababu sijawahi kosa hela ya bando na nilikuwa sitaki jifunza kutumia hata mpaka badae zikajulikana na kuanza fungiwa
 
We ni mpumbavu sana...umepewa na ushahdi bado hutaki watu wametumia sana hizo nawajua sijawah tumia sababu sijawahi kosa hela ya bando na nilikuwa sitaki jifunza kutumia hata mpaka badae zikajulikana na kuanza fungiwa
"Tatizo binadamu wa siku hizi wabishi mno" by Smart911
 
We ni mpumbavu sana...umepewa na ushahdi bado hutaki watu wametumia sana hizo nawajua sijawah tumia sababu sijawahi kosa hela ya bando na nilikuwa sitaki jifunza kutumia hata mpaka badae zikajulikana na kuanza fungiwa

kumbe hujatumia nmekupa na formular kabisa vpn yangu ilivokua inafanya kazi, una lingine?
 
Nina lines nyingi ila naelekea huko maana

Enzi za NIGHT PACK hadi tumesahau tunatamani warudishe ilikuwa kitonga unawasha unalala unakutana na mizigo asubuhi

Voda MBs zinaenda vizuri pole pole ila gharama
Tigo MBs zinaisha haraka mno hawafai
Airtel Sio kama zamani ni chwaaaap MBs zimeenda
Halotel Hawa ndiyo wapuuzi kabisa walipokuja walikuja na speed kali Kwa sasa utopolo mtupu na kulazimisha watu wajiunge na huduma zao kwa kublock lines zipokee simu na SMS bila kutoa .Lines zao za chuo uchafu hazina maana.
Kuanzia mwezi wa 9 vifurushi vitakuwa bomba sana kwa upande wa TTCL.
Ni suala la muda tu.
 
Nape, Mwigulu, Makamba.
nitakuwa wa mwisho kupanda boti yao
 
Nakumbuka kwenye bajeti walisema wamepunguza kwa asilimia 43 sasa cha ajabu eti ndio bei zinapanda tena.

Labda haya makampuni yameambiwa yaje yaichangie ccm fedha kwa ajili ya mkutano wao mkuu baadaye mwaka huu na chaguzi zijazo kwa sababu sasa hii maana yake ni nini? Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom