Kuna nguvu huwa zinatawala maisha yetu na ukibugi step kidogo tu umekwisha...binadamu tumenyimwa kitu kimoja kikubwa sana OUR NEXT MOMENT kama angejua yajayo nina hakika angeshafanya kituMuungwana ugonjwa hauombwi ni kweli kabisa lakini una weza ukajitakia kuwa nao kama unavyo agiza msosi ulio chagua kwenye menu ila kumhurumia binadamu mwenzio ndio kilimwengu bwana mdogo alitumia wakati wake vibaya hilo halina uficho yaliyo baki ni kumtakia heri tu.
duh, hii umeitoa kwenye movie gani?Life is a lot like toilet paper. You're either on a roll.. Or you're taking shit from some asshole.
Enzi zake alikua ni pombe na madem na maneno ya kejeri,so wat u xpect? Sijui hata kama aliwahi kutoa msaada wowote kwa watoto yatima ,alikua na tabia mbaya hii nayo inachangia kukosa msaada,mungu ni mwingi wa rehema amponye na ajifunzeMuungwana ugonjwa hauombwi ni kweli kabisa lakini una weza ukajitakia kuwa nao kama unavyo agiza msosi ulio chagua kwenye menu ila kumhurumia binadamu mwenzio ndio kilimwengu bwana mdogo alitumia wakati wake vibaya hilo halina uficho yaliyo baki ni kumtakia heri tu.
Watanzania tunakuwaje lakini?
Leo hii Mr Nice ni mgonjwa sisikii watanzania hasa vyombo vya habari pamoja na wasanii wakimfatilia kumjulia hali hata kujua anaendeleaje au hata yamkini kujua mahitaji ya ugonjwa wake angalau kusaidia kimnya.
Wanasubilia yakitokea ya kutokea utasikia redio station zote wanapiga nyimbo zake huku wakimwaga sifa kedekede kwake na maneno tuliyazoea ati pengo lake halitozibikaa Mara ohoo alikuwa mtu wa watu nk.
Magazeti nayo page zote za mbele zitapambwa na habari zake. Nasema kama mmekaa kimnya kipindi hiki mkae kimnya milele nisisikie. Mtauliza Mimi ni nani hill haliwahusu. Ila sio vema kuendelea na huu unafiki kwa mtualiyetoa vibao mmurua kama kuku kapanda baiskel bata kavaaa laizoni.
Nasema nanyi pia mliomtumia kipindi cha campaign 2005 Leo hii mmetupa hamna habari naye kabisaa. Wengine ni wasanii mko kimnya nasikia na nimeota wengine mmepewa mlungura wa million 50 hata kutoa kidogo kwa mwenzenu mko kimnyaa kabisaa.
Nimeona picha yake akiwa hospital hali yake si nzuri kwa maadili siwezi weka hapa ila anahitaji maombi yetu na kujitoa kwetu kusaidia sio yatokee ya kutoakea ndio tuanze unafiki Mara Ohoo alikuwa rafiki yangu pengo lake halitozibika, halitozibika bibi yako?
Shenzy
Doing wonderful fine God is greatHii leo kapost kwenye page yake ya facebook yuko kwao RomboView attachment 327356View attachment 327357
ule umoja wa wasanii uliosema kuwa wameandaa sherehe ya kumuaga Kikwete kwa pesa zao inaonyesha wana fungu la maana,
kwanini wasimege pesa kidogo wamlipie mwenzao matibabu??
Ndio hivyo kwa bahati mbaya sana majuto huja baadae.Kuna nguvu huwa zinatawala maisha yetu na ukibugi step kidogo tu umekwisha...binadamu tumenyimwa kitu kimoja kikubwa sana OUR NEXT MOMENT kama angejua yajayo nina hakika angeshafanya kitu
Wabongo mna mambo. Pamoja na kwamba inasikitisha imenibidi nicheke.Kila kitu hakimtoshi tena, mpaka miwani imekuwa oversize.
Amina, ila si ndio kejeli hizo zili mfanya akachezea sana vichapo.Enzi zake alikua ni pombe na madem na maneno ya kejeri,so wat u xpect? Sijui hata kama aliwahi kutoa msaada wowote kwa watoto yatima ,alikua na tabia mbaya hii nayo inachangia kukosa msaada,mungu ni mwingi wa rehema amponye na ajifunze
ni kweli tupu.hakuna ajuaye kesho yake imebeba nini. la maana ni kutiana nguvu na kshauriana kutokukata tamaa . maadamu yu hai bado ana nafasi nzuri ya kuanza maisha upya kwani ana kipaji na uzoefu wa maisha. tumwombee mungu amtie nguvu na amwonyeshe njia.Piga hoti umuombe Mungu wako haya sio ya kucheka wala kuyajadili humu
Afadhari aisee,Mungu ni Mwema.Ameshatoka anadai alikula chakula chenye sumu