Watanzania tumjulie hali Mr Nice

Kuna nguvu huwa zinatawala maisha yetu na ukibugi step kidogo tu umekwisha...binadamu tumenyimwa kitu kimoja kikubwa sana OUR NEXT MOMENT kama angejua yajayo nina hakika angeshafanya kitu
 
Mungu na amjalie uzima ili arudi kwenye game pindi akipona, lakini pia hilo linatakiwa kuwa somo kwake kwamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki mwema
 
Enzi zake alikua ni pombe na madem na maneno ya kejeri,so wat u xpect? Sijui hata kama aliwahi kutoa msaada wowote kwa watoto yatima ,alikua na tabia mbaya hii nayo inachangia kukosa msaada,mungu ni mwingi wa rehema amponye na ajifunze
 

Wacha kulalama; take the initiative; anzisha utaratibu jinsi ya kumsaidia watu watakuunga mkono; kama anaumwa na kakaa kimya au anafanya siri wadau watajuaje?! Mbona mwili wa yule kijana aliyefariki India ulirudihwa na kuzikwa baada ya Baba yake kufunguka! Majuzi Ray C kafunguka kwenye runinga; leo hii keshapata usaidizi!? Jaribu kuwa sehemu ya ufumbuzi wa tatizo; usiwe tatizo au sehemu ya tatizo!
 
ule umoja wa wasanii uliosema kuwa wameandaa sherehe ya kumuaga Kikwete kwa pesa zao inaonyesha wana fungu la maana,
kwanini wasimege pesa kidogo wamlipie mwenzao matibabu??


Bongo kuna wasanii au magumashi? Mtu anakopi beats za watu (bongo fleva) anajiita msanii wakati ni pirate tu.
 
Ale vizuri, afanye mazoezi, apumzishe mwili wake. Akizingatia haya ataishi kwa.........
By the way anayo nafasi, kujiamini.
 
Wasanii wa bongo wamejaa unafiki na ubinafsi siku wakisikia amekufa watajazana na makamera utadhani wako location, maisha yao wengi ni ya kuigiza tu
 
[emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Kuna nguvu huwa zinatawala maisha yetu na ukibugi step kidogo tu umekwisha...binadamu tumenyimwa kitu kimoja kikubwa sana OUR NEXT MOMENT kama angejua yajayo nina hakika angeshafanya kitu
Ndio hivyo kwa bahati mbaya sana majuto huja baadae.
 
Enzi zake alikua ni pombe na madem na maneno ya kejeri,so wat u xpect? Sijui hata kama aliwahi kutoa msaada wowote kwa watoto yatima ,alikua na tabia mbaya hii nayo inachangia kukosa msaada,mungu ni mwingi wa rehema amponye na ajifunze
Amina, ila si ndio kejeli hizo zili mfanya akachezea sana vichapo.
 
Piga hoti umuombe Mungu wako haya sio ya kucheka wala kuyajadili humu
 
Piga hoti umuombe Mungu wako haya sio ya kucheka wala kuyajadili humu
ni kweli tupu.hakuna ajuaye kesho yake imebeba nini. la maana ni kutiana nguvu na kshauriana kutokukata tamaa . maadamu yu hai bado ana nafasi nzuri ya kuanza maisha upya kwani ana kipaji na uzoefu wa maisha. tumwombee mungu amtie nguvu na amwonyeshe njia.
 
" kikulaachooo kumbe ki nguoni mwako X2
Rafiki yaako kumbe adui yako eeh x2
Tuna kula nae, tuna kunywa nae kumbe mwenzangu Ana ona gereee o o o o...
Wanang'ata na kupuliza fuuu Kama panya buku wee..(hapa anaweka mdomo wake upande)"
Kila mpanda ngazi, hushuka.
Mali bila daftari, hupotea bila habari.
Mwenyezi Mungu ukinijaalia Mali, nijaalie pia akili ya kukumbuka kuweka akiba maana walimwengu Ni watu wabaya Sana, hawachelewi kukunanga ufuliapo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…