Pre GE2025 Watanzania Tumlinde na Kumtetea Kwa Nguvu zetu zote Rais Samia Zidi ya Waroho Wa Madaraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukimlinda wewe peke Yako unatosha lakini watanzania tunaojitambua na wapenda maendeleo hatushawishiki kumlinda au kumtetea Kwa sababu nyingi ikiwemo kuwepo Kwa utekaji wa watu na kuuwawa hovyo kama alivyouawa mzee kibao
Mheshimiwa Rais amelaani sana tukio la kuuwawa kwa mzee All na ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike na kupewa ripoti kamili.Rais wetu ni mtu wa haki nl, mwenye moyo wa huruma,upendo , unyenyekevu mkubwa sana na mwenye hofu ya Mungu
 
Naona Nchimbi anamzidi kete mama kuelekea 2025 CCM fanyeni kitu.
 
Kauli ya Dr nchimbi about vijana iliwahusu Sana mtu kama wewe

Unaongea kwenye mfumo wa huruma

Changamoto zipo eeh zinatatuliwaje?

Hayo ndio watu wanataka vijana mseme
Kwani wewe huoni namna zinavyotatuliwa?
 
Mheshimiwa Rais amelaani sana tukio la kuuwawa kwa mzee All na ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike na kupewa ripoti kamili.Rais wetu ni mtu wa haki nl, mwenye moyo wa huruma,upendo , unyenyekevu mkubwa sana na mwenye hofu ya Mungu

I think watu wahawana problem na Rais

Watu Wana problem na watendaji wa chini because wao ndio wanafanya haya mambo

Niliwahi kukwambia kuwa Tanzania ilitulia kabisa ila kuna mtu mmoja akaamua kuanzisha mambo ya kuweka ndani viongozi wa upinzani na alikuwa anajua kabisa nini kutafuata

Na ndio Leo tumefika hapa sasa

Watu wanatekwa watu wanauliwa, chuki Kwa police imekuwa kubwa kabisa
 
CCM ni wahusika wakuu wa huu utekaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…