Pre GE2025 Watanzania Tumlinde na Kumtetea Kwa Nguvu zetu zote Rais Samia Zidi ya Waroho Wa Madaraka

Pre GE2025 Watanzania Tumlinde na Kumtetea Kwa Nguvu zetu zote Rais Samia Zidi ya Waroho Wa Madaraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Sikatai na wala sipingi moja kwa moja kuwa changamoto hazipo hapa Nchini. Lakini ni ukweli ulio wa wazi kuwa sote tunaona na kushuhudia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Samia Suluhu Hasssan anavyo pambana usiku na mchana kutatua na kumaliza kero mbalimbali.

Tunaona na kujionea dhamira yake njema katika kutukwamua na kutuinua kiuchumi.

Kupitia Rais wetu Mpendwa Samia Tunaona nuru katika nchi yetu,tunaona kesho yetu iliyo njema kuliko leo,tunaona Tumaini mbele yetu,tunaona mwanga katikati yetu,tunaona madaraja katikati ya changamoto ya kimaisha.Tunaona namna Rais wetu anavyotuwezesha katika kutimiza ndoto zetu.

Tunaona namna anavyotufariji na kututia moyo na matumaini wakati wote.tunaona namna alivyo bega kwa bega na sisi na kwa kila hatua.

Tunaona namna anavyoumizwa na matatizo yetu ,tunaona namna anavyofanya kila kitu kwa ajili yetu sote watanzania.

Anafanya hayo yote kwa ajili yetu watanzania,kwa ajili ya kututua mizigo,kwa ajili ya kutufuta machozi.anajitajidi kwa kadri ya uwezo wake Mama yetu kumfikia kila mmoja wetu kwa namna yake.

Embu fikiria ndugu zangu Taifa kama Marekani lililopata uhuru wake takribani karne mbili zilizopita yaani mwaka 1776 ,lakini leo ukikaa na kusikiliza sera ,ajenda na hata hoja za midahalo ya Mama Kamala Harris pamoja na Donald Trump unaweza kufikiria labda Taifa hilo lilipata uhuru wake pale nchi ya Sudani kusini ilipokuwa inajitenga kutoka Sudani ya kaskazini ya Omar Bashir wakati huo.

Unaweza kufikiria labda Marekani inayozungumziwa na akina Harris na Trump siyo ile iliyoongozwa na George Washington au Franklin Roosevelt au John F Kennedy au Harry Truman au Reonald Regan au Bill Clinton au Barack Obama .kwa sababu utaona Harris na Trump bado wanazungumzia habari za kutengeneza ajira kwa vijana kwa wingi,kuimarisha uchumi ,kupunguza kodi ,kupunguza gharama za matibabu na mengine mengi .

Sasa kama Marekani iliyopata uhuru wake zaidi ya miaka mia mbili na point iliyopita yaani miaka 248 iliyopita ,vipi kwa Tanzania ambayo imepata uhuru mwaka 1961 ikiwa haina wasomi,haina viwanda,haina barabara za lami,haina vyuo wala shule za kutosha ,haina umeme kwa mikoa mingi kama siyo yote,haina mifumo ya aina yoyote ile ya kueleweka ya taasisi mbalimbali? Vipi Tanzania hii iliyokuwa imejaa mamilioni ya watu wasio juwa kusoma na kuandika mwaka 61 ikose changamoto leo ndugu zangu?

Embu tumuungeni mkono Mama yetu Mpendwa kwa juhudi hizi kubwa anazofanya kuliinua Taifa letu kiuchumi. Tutampata wapi Mama Samia mwingine ndugu zanguni? Moyo wangu unaumia sana napoona kuna watu wanamshambulia hovyo bila sababu wala hoja za msingi.

Naumia sana moyoni mwangu hasa kwa kuona namna Mama huyu alivyojitolea kuwatumikia watanzania halafu anajitokeza mwingine anaanza kumtolea lugha za matusi na kejeli..

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tunataka pesa mtaani,urais ni wake sisi tunataka vibe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Sikatai na wala sipingi moja kwa moja kuwa changamoto hazipo hapa Nchini. Lakini ni ukweli ulio wa wazi kuwa sote tunaona na kushuhudia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Samia Suluhu Hasssan anavyo pambana usiku na mchana kutatua na kumaliza kero mbalimbali.

Tunaona na kujionea dhamira yake njema katika kutukwamua na kutuinua kiuchumi.

Kupitia Rais wetu Mpendwa Samia Tunaona nuru katika nchi yetu,tunaona kesho yetu iliyo njema kuliko leo,tunaona Tumaini mbele yetu,tunaona mwanga katikati yetu,tunaona madaraja katikati ya changamoto ya kimaisha.Tunaona namna Rais wetu anavyotuwezesha katika kutimiza ndoto zetu.

Tunaona namna anavyotufariji na kututia moyo na matumaini wakati wote.tunaona namna alivyo bega kwa bega na sisi na kwa kila hatua.

Tunaona namna anavyoumizwa na matatizo yetu ,tunaona namna anavyofanya kila kitu kwa ajili yetu sote watanzania.

Anafanya hayo yote kwa ajili yetu watanzania,kwa ajili ya kututua mizigo,kwa ajili ya kutufuta machozi.anajitajidi kwa kadri ya uwezo wake Mama yetu kumfikia kila mmoja wetu kwa namna yake.

Embu fikiria ndugu zangu Taifa kama Marekani lililopata uhuru wake takribani karne mbili zilizopita yaani mwaka 1776 ,lakini leo ukikaa na kusikiliza sera ,ajenda na hata hoja za midahalo ya Mama Kamala Harris pamoja na Donald Trump unaweza kufikiria labda Taifa hilo lilipata uhuru wake pale nchi ya Sudani kusini ilipokuwa inajitenga kutoka Sudani ya kaskazini ya Omar Bashir wakati huo.

Unaweza kufikiria labda Marekani inayozungumziwa na akina Harris na Trump siyo ile iliyoongozwa na George Washington au Franklin Roosevelt au John F Kennedy au Harry Truman au Reonald Regan au Bill Clinton au Barack Obama .kwa sababu utaona Harris na Trump bado wanazungumzia habari za kutengeneza ajira kwa vijana kwa wingi,kuimarisha uchumi ,kupunguza kodi ,kupunguza gharama za matibabu na mengine mengi .

Sasa kama Marekani iliyopata uhuru wake zaidi ya miaka mia mbili na point iliyopita yaani miaka 248 iliyopita ,vipi kwa Tanzania ambayo imepata uhuru mwaka 1961 ikiwa haina wasomi,haina viwanda,haina barabara za lami,haina vyuo wala shule za kutosha ,haina umeme kwa mikoa mingi kama siyo yote,haina mifumo ya aina yoyote ile ya kueleweka ya taasisi mbalimbali? Vipi Tanzania hii iliyokuwa imejaa mamilioni ya watu wasio juwa kusoma na kuandika mwaka 61 ikose changamoto leo ndugu zangu?

Embu tumuungeni mkono Mama yetu Mpendwa kwa juhudi hizi kubwa anazofanya kuliinua Taifa letu kiuchumi. Tutampata wapi Mama Samia mwingine ndugu zanguni? Moyo wangu unaumia sana napoona kuna watu wanamshambulia hovyo bila sababu wala hoja za msingi.

Naumia sana moyoni mwangu hasa kwa kuona namna Mama huyu alivyojitolea kuwatumikia watanzania halafu anajitokeza mwingine anaanza kumtolea lugha za matusi na kejeli..

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huu ni ujinga wa kiwango Cha SGR.

Utendaji wake ndio umbebe, ushawishi aendelee kupigiwa kura na kama atajitokeza mtu mwingine mwenye uwezo zaidi yake kwa nini Huyo mwingine asipewe nafasi?

Maswali machache kwako

Watu wengi wametekwa wengine wanepotea kabisa na wengine wameuwawa. Hatujaona uwajibikaji wa unaentete. Hakuna waliokamatwa, Wala wale waliotuhumiwa hatujaona hatua zikichukuliwa, unataka wamtete?

Pili Kuna wamasai wamefukuzwa maeneo yao ya asilina kupelekwa kusikojulikana na wenyewe unataka wamtetee?

Kuna mali za Tanganyika zimetolewa kwa wageni pamoja na watanganyika kupiga kelele. "Kiziwi hakusikia" unataka wamtete kiziwi?

Hali mbaya ya maisha hakuna ajira, hakuna fedha mtaani hakuna Dollar etc hivyo hali ya maisha umekuwa ngumu, unataka watanganyika wamtete?

Kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake.

Hulka ya mtu akitaka kugombea mnasema ni mroho wa madaraka ni ya ajabu sana. Wache I wanazotaka kugombea wagombee, wapiga kura wataamua yupi anafaa.
 
Huu ni ujinga wa kiwango Cha SGR.

Utendaji wake ndio umbebe, ushawishi aendelee kupigiwa kura na kama atajitokeza mtu mwingine mwenye uwezo zaidi yake kwa nini Huyo mwingine asipewe nafasi?

Maswali machache kwako

Watu wengi wametekwa wengine wanepotea kabisa na wengine wameuwawa. Hatujaona uwajibikaji wa unaentete. Hakuna waliokamatwa, Wala wale waliotuhumiwa hatujaona hatua zikichukuliwa, unataka wamtete?

Pili Kuna wamasai wamefukuzwa maeneo yao ya asilina kupelekwa kusikojulikana na wenyewe unataka wamtetee?

Kuna mali za Tanganyika zimetolewa kwa wageni pamoja na watanganyika kupiga kelele. "Kiziwi hakusikia" unataka wamtete kiziwi?

Hali mbaya ya maisha hakuna ajira, hakuna fedha mtaani hakuna Dollar etc hivyo hali ya maisha umekuwa ngumu, unataka watanganyika wamtete?

Kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake.

Hulka ya mtu akitaka kugombea mnasema ni mroho wa madaraka ni ya ajabu sana. Wache I wanazotaka kugombea wagombee, wapiga kura wataamua yupi anafaa.
Mimi sio mnafiki,we need a president sio habari za kusema Mama,Daktari,mpendwa,Kizmkazi,hell nooooooooooo
 
Mheshimiwa Rais amelaani sana tukio la kuuwawa kwa mzee All na ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike na kupewa ripoti kamili.Rais wetu ni mtu wa haki nl, mwenye moyo wa huruma,upendo , unyenyekevu mkubwa sana na mwenye hofu ya Mungu
Hata shetani Maghu "alilaani" Sana tukio la kutaka kumuua Lisu, lakini wapi hakuna kilichofsnyika, mpaka linakufa.
Watu wanatekwa na kuuliwa na ccm,
 
Acha kujidhihilisha
Wewe ndio unajidhalilisha kwa kupigania maslahi ya mtu badala hata ya kutetea sera na kubainisha uzuri wa hizo sera kwa Tanzania ya leo na kesho na vizazi vijavyo.
Wewe ni mama amekufikisha ,ooh anatosha . Lakini huelezi anatosha kwa lipi ?
Nchi hii haina mipango ya muda mrefu.
Nchi haina sera za makazi zinazotekelezwa . Haina sera ya kulinda uhai kwa kutoa huduma ya afya. Kwa nini tunatozwa kila kona halafu hakuna hata vipimo bure. Yaani kupimwa tu hospitalini ni gharama kubwa kuliko matibabu . Nani ananufaika na huo unyonyaji? Kazi ya Rais na watawala kwa sasa ni kujifaharisha tu na kutukuzwa lakini hawajali kabisa maisha ya watu.

Watu wanachinjana na kutokana yeye amekaa kimya mpaka Karibu wa Chama ndio anahutubia Taifa angalau kwa hekima kubwa.
Raisi wako anakaa kimya anataka watu waandamane wauawe halafu ndio aunde tume baada ya maelfu ya watu kufa Huyo kweli ni mama au mazeri ?
Anatoa maelekezo kuwa mifumo isomane kwenye mapato ya nchi halafu miaka miwili sasa wetu wanampuuza kwa sababu wanajua atamaliza muda wake na watu wataendelea na kupiga kama kawaida .

Hivi Rais unashindwaje kuwasimamia watu uliowateua wakafanya kama inavyoelekeza.
Anajua kabisa kuwa wizi wa fedha za umma unatokana na kila taasisi kuwa na mfumo wake wa kukusanya fedha . Matokeo yake kinachoruka hazina ni kidogo . Anatoa maelekezo muhimu sana ya kudhibiti wizi wa mali na fedha za umma halafu watu wanampuuza wanaendelea na upigaji halafu unasema mama anatosha .!!!😡😡😡
 
Ndugu zangu Watanzania,

Sikatai na wala sipingi moja kwa moja kuwa changamoto hazipo hapa Nchini. Lakini ni ukweli ulio wa wazi kuwa sote tunaona na kushuhudia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Samia Suluhu Hasssan anavyo pambana usiku na mchana kutatua na kumaliza kero mbalimbali.

Tunaona na kujionea dhamira yake njema katika kutukwamua na kutuinua kiuchumi.

Kupitia Rais wetu Mpendwa Samia Tunaona nuru katika nchi yetu,tunaona kesho yetu iliyo njema kuliko leo,tunaona Tumaini mbele yetu,tunaona mwanga katikati yetu,tunaona madaraja katikati ya changamoto ya kimaisha.Tunaona namna Rais wetu anavyotuwezesha katika kutimiza ndoto zetu.

Tunaona namna anavyotufariji na kututia moyo na matumaini wakati wote.tunaona namna alivyo bega kwa bega na sisi na kwa kila hatua.

Tunaona namna anavyoumizwa na matatizo yetu ,tunaona namna anavyofanya kila kitu kwa ajili yetu sote watanzania.

Anafanya hayo yote kwa ajili yetu watanzania,kwa ajili ya kututua mizigo,kwa ajili ya kutufuta machozi.anajitajidi kwa kadri ya uwezo wake Mama yetu kumfikia kila mmoja wetu kwa namna yake.

Embu fikiria ndugu zangu Taifa kama Marekani lililopata uhuru wake takribani karne mbili zilizopita yaani mwaka 1776 ,lakini leo ukikaa na kusikiliza sera ,ajenda na hata hoja za midahalo ya Mama Kamala Harris pamoja na Donald Trump unaweza kufikiria labda Taifa hilo lilipata uhuru wake pale nchi ya Sudani kusini ilipokuwa inajitenga kutoka Sudani ya kaskazini ya Omar Bashir wakati huo.

Unaweza kufikiria labda Marekani inayozungumziwa na akina Harris na Trump siyo ile iliyoongozwa na George Washington au Franklin Roosevelt au John F Kennedy au Harry Truman au Reonald Regan au Bill Clinton au Barack Obama .kwa sababu utaona Harris na Trump bado wanazungumzia habari za kutengeneza ajira kwa vijana kwa wingi,kuimarisha uchumi ,kupunguza kodi ,kupunguza gharama za matibabu na mengine mengi .

Sasa kama Marekani iliyopata uhuru wake zaidi ya miaka mia mbili na point iliyopita yaani miaka 248 iliyopita ,vipi kwa Tanzania ambayo imepata uhuru mwaka 1961 ikiwa haina wasomi,haina viwanda,haina barabara za lami,haina vyuo wala shule za kutosha ,haina umeme kwa mikoa mingi kama siyo yote,haina mifumo ya aina yoyote ile ya kueleweka ya taasisi mbalimbali? Vipi Tanzania hii iliyokuwa imejaa mamilioni ya watu wasio juwa kusoma na kuandika mwaka 61 ikose changamoto leo ndugu zangu?

Embu tumuungeni mkono Mama yetu Mpendwa kwa juhudi hizi kubwa anazofanya kuliinua Taifa letu kiuchumi. Tutampata wapi Mama Samia mwingine ndugu zanguni? Moyo wangu unaumia sana napoona kuna watu wanamshambulia hovyo bila sababu wala hoja za msingi.

Naumia sana moyoni mwangu hasa kwa kuona namna Mama huyu alivyojitolea kuwatumikia watanzania halafu anajitokeza mwingine anaanza kumtolea lugha za matusi na kejeli..

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mtanzania mwenye akili timamu hawezi kulinda matapeli na mafisadi. Kwakuwa wewe ni jinga na zombie unaweza. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Back
Top Bottom