Watanzania tumuombee Dkt. Tulia Ackson ashinde Urais wa IPU

Dr Tulia yupo juu ya vigezo .kwa kuwa kama ni suala la uwezo wa kiuongozi,Elimu,uzoefu, maarifa na uwezo wa kujenga hoja anavyo vyote. Dr Tulia amekamilika kila idara.ndio maana anakubalika na kuungwa mkono kutoka jumuiya zote na kanda zote.
Uwezo Hana ila elimu anayo ya makaratasi tu. Zamani kulikuwa na fursa kibao za kusoma tena Bure hata kama ni kilaza unalazimishwa tu usome. Mfano ni tulia kichwani Hana kitu kabisa ila ni PhD. Angalia Jana hata kingereza chake ni kibovu sana
 
Uwezo Hana ila elimu anayo ya makaratasi tu. Zamani kulikuwa na fursa kibao za kusoma tena Bure hata kama ni kilaza unalazimishwa tu usome. Mfano ni tulia kichwani Hana kitu kabisa ila ni PhD. Angalia Jana hata kingereza chake ni kibovu sana
Hivi unafikiri kuna mbumbumbu wa aina yako anaweza kupata fursa ya kusomea na kufundisha sheria chuo kikuu cha Dar es salaam? Unafirikiri Kama wewe ni mweupe unaweza kufaulu shule kuu ya sheria pale mlimani? Dr Tulia ni akili kubwa na mwenye uwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo,ndio maana unaona jana namna alivyo wakosha wajumbe wote wa IPU wakati akitoa hotuba yake ya kiwango cha kimataifa yenye ubora ulioweka historia.
 
🚮🚮🚮🚮 uzalendo upi wa kudalalia rasilimali za Taifa letu
 
Huyu chawa sijawahi kuusoma uzi wake nikaumaliza, nikiuona uzi wake najua ni usenge mtupu... Mtoto wa kiume unajipendekeza kisengesenge
 
Mungu mkubwa sana na tunaendelea kumshukuru sana kwa upendo wake kwa mh Dr Tulia Acksoni mwansasu. Kwa hakika ni kwa neema ya Mwenyezi Mungu mpaka kufika hapo alipofika leo Dr Tulia.sifa na Utukufu Tunamrudishia Mwenyezi Mungu.
Kashinda kwa zaidi ya asilimia 57 huyu Mwanamama ana kitu atafika mbali
 
Roho mbaya tu zinawasumbua hasa baada ya matarajio yao kwenda mrama.walitegemea Dr Tulia ashindwe lakini kwa bahati mbaya imekuwa tofauti,kwani Dr Tulia amefanikiwa kuteka mioyo ya mamia ya wajumbe wa IPU na kupata uungwaji mkono wa kishindo.
Hata wewe una roho mbaya kwasababu hata wewe kuna watu huwa hupendi washinde!
 
Uwezo Hana ila elimu anayo ya makaratasi tu. Zamani kulikuwa na fursa kibao za kusoma tena Bure hata kama ni kilaza unalazimishwa tu usome. Mfano ni tulia kichwani Hana kitu kabisa ila ni PhD. Angalia Jana hata kingereza chake ni kibovu sana
Ukichaa huu,Hajawahi kutokea kilaza akiyesoma Law UD kamtafute pengine sio hilo chimbo.
 
Ukichaa huu,Hajawahi kutokea kilaza akiyesoma Law UD kamtafute pengine sio hilo chimbo.
Achana na huyo mshamba .yeye anafikiria unaweza ukasoma sheria udsm na kumaliza salama bila kuliwa kichwa kama ni kichwa cha panzi .
 
UMUOMBEE ILI IWEJE? ILI USAIDIKE KIVIPI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…