dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Chadema kina mbowe ndio wanamsemaHabari jf ,Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki ? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu ,kila siku kumsema mtu ambae hayupo .
Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu .
Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani ,tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo .
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app