dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Chadema kina mbowe ndio wanamsemaHabari jf ,Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki ? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu ,kila siku kumsema mtu ambae hayupo .
Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu .
Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani ,tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo .
Ni wajinga tu, na tumeuchoka huo ujinga wao.Habari jf ,Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki ? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu ,kila siku kumsema mtu ambae hayupo .
Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu .
Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani ,tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo .
Chawaa nakukubali Sana uko vzr kwenye hoja za kiuchumi Sana[emoji23]Ni wajinga na wehu wenye mtindio wa ubongo achana nao. Muda ukifika majibu yatakuja kujulikana. Usidhani wale aliowafia mkononi wanafurahia, hii kitu iko pazuri sana tena sana. Kumbuka waliomuu Sankara walishtakiwa na kufungwa. Kesi ya Tanzania ni rahisi sana. Maana kila aliyeshiriki keshajitambulisha waziwazi bila kificho. Kukosa hekima kwa wahusika au nadhani ni laana imewaumbua sana.
Alitesa watu miaka 5 lazima anyooshwe huko huko Kwa miaka sawa na aliyowafanyia wenzie.Habari jf ,Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki ? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu ,kila siku kumsema mtu ambae hayupo .
Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu .
Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani ,tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo .
Ukiona Hali hii inaendelea Hangaya karuhusuWewe hofu au shida yako ni nini "maliyemu" akisimangwa?Huwezi jua.Labda wakimsimanga wanapata afua ya maisha na kuongeza siku za kuishi.Kwani marehemu amelalamika?Kwa nini umsemee?
Mengine tunamsingizia.Mtu wa pwani yule.Watu wa pwani huwa hawasumbuliwi na maneno.Shida ipo bara.Akisemwa mtu anaanza kulia au kupigana.Ukiona Hali hii inaendelea Hangaya karuhusu
Una ushahidi ?Alitesa watu miaka 5 lazima anyooshwe huko huko Kwa miaka sawa na aliyowafanyia wenzie.
Uko sahihi mkuuNaunga mkono hoja tena ni vile tuu wengi hawajui! Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Tumefika hapa kwa sababu ya marehemuHakika nchi yetu imegubikwa na ujinga na upuuzi mwingi sana na kinachouma zaidi wananchi tupo kama mazombi, tunapelekwa tu.
Embu angalia nchi haina umeme, maji shida, hali ya maisha ni ngumu kwenye maofisi ya serikali ukiritimba umejaa alafu kuna wapumbavu wananyanyua midomo yao na kumkashifu marehemu....!!
Nchi ina wapuuzi wengi sana hii, Mungu pekee ndio wakutusaidia!!
Ungeanza kuandamana 2019Maandamano ni haki yetu, Bora tuandamane kuuondoa huu uongozi uliopo
Ni kumtukana mtu, kumdhalilisha au kumuondolea utu wake ni jambo baya na halikubaliki! But kama watu hawafanyi hayo bali wanatoa ya moyoni, ni vyema acha waongee!! Maana humu kuna threads nying za kusifu, kupongeza na mpaka kuitwa shujaa!! Basi hata wale wenye mrengo tofaut ni vzr mkawapa nafas zao kama wanaosifu!!Habari JF,
Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu, kila siku kumsema mtu ambae hayupo.
Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu.
Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani, tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo.
Haina maana kumsema mtu vibaya kiàsi hikiNi kumtukana mtu, kumdhalilisha au kumuondolea utu wake ni jambo baya na halikubaliki! But kama watu hawafanyi hayo bali wanatoa ya moyoni, ni vyema acha waongee!! Maana humu kuna threads nying za kusifu, kupongeza na mpaka kuitwa shujaa!! Basi hata wale wenye mrengo tofaut ni vzr mkawapa nafas zao kama wanaosifu!!
Wwnye neema ndio wamejaa huko kwa mtandao na machadema kila saaa kumsifia mama baada ya kulamba asaliHabari JF,
Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu, kila siku kumsema mtu ambae hayupo.
Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu.
Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani, tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo.
Mjinga mwingine ni ww kaungane na makamba na napeKila siku mnaanzisha mada ya huyu Jiwe wenyewe mkielezwa mnakuwa wakali kama mbogo, unampa utukufu mtu asiye staili ndiyo maana mnateseka.
Kweli hali ni ngumu lakini haiondoi kusema huyu bwana alikuwa muovu kwa kiwango kikubwa sana.
HahahahahaaaUngeanza kuandamana 2019
Kila siku mnaanzisha mada ya huyu Jiwe wenyewe mkielezwa mnakuwa wakali kama mbogo, unampa utukufu mtu asiye staili ndiyo maana mnateseka.
Kweli hali ni ngumu lakini haiondoi kusema huyu bwana alikuwa muovu kwa kiwango kikubwa sana.
Ndiyo maana nikasema hamjui kitu, kaaeni kimya nyie Sukuma Gang.Tuhuma bila ushahidi ni uzushi
legacy ya marehemu haitetewi na mtu bali hujutetea yenyewe, mtu yeyote anayetetea megacy ya marehemu ni mpumbavu na hawezi kuungwa mkono na mtu yeyote mwenye akili timamu isipokuwa wapumbavu wenzake.Habari JF,
Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu, kila siku kumsema mtu ambae hayupo.
Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu.
Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani, tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo.