Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Sema kama unajua pimbi wewe
Hahaha😀😀,kuna msemo unaosema "kama unamuona anaanza kutoa matusi ujue kuwa hawezi kupambana kwa hoja"...

Jibu swala nililo kuuliza halafu nitakwambia kwanini kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" katika uekezaji hapa Tanzania😉
 
Hahaha😀😀,kuna msemo unaosema "kama unamuona anaanza kutoa matusi ujue kuwa hawezi kupambana kwa hoja"...

Jibu swala nililo kuuliza halafu nitakwambia kwanini kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" katika uekezaji hapa Tanzania😉
Dogo kama unataka kuoata elimu tulia ujifunze. Hata hilo neno FDI nimekufundisha mimi. Hapa kuna watu wanaujuzi wao. Acha kujiaibisha. Unaaibisha nchi yetu.
 
Kaka Quinine sisi hatuimbi Viwanda, bali tunajenga viwanda, lengo letu na Kenya ni tofauti sana, Sisi mbiu yetu kuwa vyerahani vinne ni viwanda tofauti na wenzetu wanaowaza big factory

Kupata uwekezaji mkubwa kama huo ni lazima Lobbying ya nguvu ifanyike, na hao Big company kama Peugeot, Iveco, Ashok Leyland nk kuwapata mabosi wake ni level ya Marais, sio Mwijege akanegotiate na Iveco, JK alijishusha kwa Dangote na matokeo tukayaona,
Kama raisi hataki kutoka nje kuongea na hao Big companies unategemea Big project kutoka wapi?
kweli mkuu lazima jitihadi za dhati zifanyie ....maana hapa ni lazima uwe na exposure ya kutosha
 
Dogo kama unataka kuoata elimu tulia ujifunze. Hata hilo neno FDI nimekufundisha mimi. Hapa kuna watu wanaujuzi wao. Acha kujiaibisha. Unaaibisha nchi yetu.
hahahaha kaka mkuu,jibu swali langu,mimi najua "FDI" kuliko wewe na ndio maana nimekuwekea maswali,kukujaribu lakini unashindwa kujibu...?

Nijibu,kama umeshindwa nambie,umeshindwa halafu unipe mji...,si unajua mambo ya kitendawili😀😀
 
hahahaha kaka mkuu,jibu swali langu,mimi najua "FDI" kuliko wewe na ndio maana nimekuwekea maswali,kukujaribu lakini unashindwa kujibu...?

Nijibu,kama umeshindwa nambie,umeshindwa halafu unipe mji...,si unajua mambo ya kitendawili😀😀
Hujui. Acha ujinga.
 
Hahaha😀😀,kuna msemo unaosema "kama unamuona anaanza kutoa matusi ujue kuwa hawezi kupambana kwa hoja"...

Jibu swala nililo kuuliza halafu nitakwambia kwanini kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" katika uekezaji hapa Tanzania😉
siwezi kujibu mtu fala kama wewe. Kamwambie Lissu atakujibu. Pimbi wewe
 
sawa mkuu kuna msemo mwingine unasema "asiejua maana usimwambie maana"...acha nikae na ujinga wangu😉
Mpelekee jibu mama yako au baba yako pimbi wewe. Kaa na ujinga wako. You are just another asso.
 
siwezi kujibu mtu fala kama wewe. Kamwambie Lissu atakujibu. Pimbi wewe
Hahaha siasa tena Mkuu,mimi nilifikiria tunazungumzia "FDI"....mimi najitambua sio mtumwa wa siasa,hata huyo Lissu simjui,Magufuli ndio kabisa namsikia tu..

Siasa zangu ni kutafuta mlo kuweka mezani nile na familia yangu,....!!!

Majibu yako inaonyesha wewe ni mtu a aina gani,...!!umeshindwa hoja umekuja na matusi,sasa unakuja na siasa,kumbe kweli wanaosema IQ za watanzania ni ndogo..
 
Mpelekee jibu mama yako au baba yako pimbi wewe. Kaa na ujinga wako. You are just another asso.
hahahahaha mbavu zangu😀😀😀,jibu niliyokuuliza kwanza!! matusi baadae
 
Mpelekee jibu mama yako au baba yako pimbi wewe. Kaa na ujinga wako. You are just another asso.
Limetokea wimbi la vijana wa namna yake. Hawajui chochote wanapiga kelele tu.
 
hahahahaha mbavu zangu😀😀😀,jibu niliyokuuliza kwanza!! matusi baadae
Oya usione kuwa tumekustahi ukajiona mwelevu. Hebu ondoa upumbavu wako hapa. Mbona unakuwa hujiheshimu. Kama unatafuta sifa tafuta kwenye mtaa wako. Ficha upumbavu wako. Tumekustahi hutaki kustahilika sasa hebu endelea sasa tukuingize kwenye king. Ondoa upumbavu wako tumekuelekeza FDI ni nini? Tumekuelekeza baadhi ya viwanda vilivyojengwa awamu ya tano. Tumekupatia report ya UN. Sasa unachotaka nini wewe mpumbavu!!? Usitake kutafuta sifa kwa watu wastaarabu. Nenda kwenye jukwaa la mahusiano ukapige porojo.
 
Uteuzi wa mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu, wakurugezi na mabalozi kila kukicha ndio kipaumbele chetu.
 
Uteuzi wa mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu, wakurugezi na mabalozi kila kukicha ndio kipaumbele chetu.
Kwikwikwikwikwikwikwi.
upload_2018-4-8_19-44-1.png
 
Oya usione kuwa tumekustahi ukajiona mwelevu. Hebu ondoa upumbavu wako hapa. Mbona unakuwa hujiheshimu. Kama unatafuta sifa tafuta kwenye mtaa wako. Ficha upumbavu wako. Tumekustahi hutaki kustahilika sasa hebu endelea sasa tukuingize kwenye king. Ondoa upumbavu wako tumekuelekeza FDI ni nini? Tumekuelekeza baadhi ya viwanda vilivyojengwa awamu ya tano. Tumekupatia report ya UN. Sasa unachotaka nini wewe mpumbavu!!? Usitake kutafuta sifa kwa watu wastaarabu. Nenda kwenye jukwaa la mahusiano ukapige porojo.
Viwanda gani??kama unazunguzia Dangote,hicho kiwanda hakina sifa za "FDI",kiwanda cha saruji cha kichina ni "Proposal".,Bakharesa hayumo katika sifa za "FDI"

nimekuuliza nini maana ya FDI nini hasara na faida zake,umeshindwa kuja na jibu,badala yake umekuja na matusi na siasa,nimekwambia mimi sio mtumwa wa saisa,siasa yangu ni kutafuta pesa!!

Sasa unakuja na vitisho,hivyo vitisho mimi ndio havinitishi kabisa,tusubiriane 26/4..,kama umekuja hapa kwasababu ya propaganda za serikali,hizo propaganda hazinisadii chochote..

Toa mfano wa wa viwanda vya "FDI" vilivyopo Tanzania,alionzisha uzi ameweka mifano ya kampuni tano ambazo zinafanya au zitafanya kazi Kenya,wewe umekuja na mfano wa Dangote na Bakharesa😱
 
hahahahaha mbavu zangu😀😀😀,jibu niliyokuuliza kwanza!! matusi baadae
Watu kamanyie ndotunatafuta kupoteza. Ngoja tujetukuonyeshe wewe pimbi. Endelea ku support ujinga wa Mange. Humu ulipokuja nisehemu mbaya. Bora ungebaki IG
 
Sisi tunataka kuua upinzani kwanza na kufungua viwanda vya cherehani hayo mengine baadaye sana
Kuna thread moja naiona ina mabishano ya kipuuzi sana, Thread ya Nairobi v Dar, watanzania tunajifananisha na Kenya.

Hovyo kabisa akili zetu sisi.
 
Back
Top Bottom