Watanzania tunajua taifa letu halina mpasuko wa kisiasa, hakuna haja CCM kukaa meza moja na wapinzani wasio na uzalendo

Watanzania tunajua taifa letu halina mpasuko wa kisiasa, hakuna haja CCM kukaa meza moja na wapinzani wasio na uzalendo

Hizo changamoto ndio mpasuko wenyewe na unahitaji kuuponya kabla haujakua! Unasahau kuwa usipoziba ufa utaujenga ukuta?
Hii ccm mpya imeharibu kabisa misingi iliyoianzisha na ukiichunguza Sana utagundua kuwa lengo lake siyo kuujenga umoja na mshikamano aliouasisi Baba wa taifa Bali ukanda na ukabila aliouasisi mwendake!
Kila kabila na Kila Kanda inajipigania kisiasa na kiuchumi badala ya kupigania taifa!
Hata kama kuna changamoto ndio kukaa meza moja na Zitto au Mbowe?
 
Kwako hiyo ndio hoja,sio kama hivyo, msingefika kwenye kutumia nyundo kwenye hoja.
Sasa hapo ndio unajikita kwenye mada au?
Huyo bwege anastahili, mpuuzi sana mpumbavu huyo.
 
Hata kama kuna changamoto ndio kukaa meza moja na Zitto au Mbowe?
Kwako hao ni kina nani? Ni viongozi wa vyama vya siasa Kama alivyo SSH na Wana wafuasi Kama walivyo wanaccm na wafuasi wao ni watanzania na taifa lao ni Tanzania! Wana haki sawa ya kuishi na kufanya siasa Kama ilivyo ccm. Na Wana haki ya kushauri namna Bora ya kuongoza taifa Kama walivyo ccm.
Nikukumbushe kuwa katiba ya jmt inawatambua Kwa kuwa nchi hii ni ya vyama vingi na ccm haina hati miliki ya kuiongoza nchi hii!
Inaonekanq unabishana bila kujua unabishania Nini! Acha dharau na rejea vyama pinzani vinavyoongoza nchi nyingine zinazoizunguka Tanzania huenda ukaacha siasa zako za kijima!
 
Wembe ni uleule, Ccm ipo kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo wananchi.

Habari kuwa kuna wanasiasa walibaguliwa na kutengwa wakati wa utawala wa JPM ni kuleta porojo ambazo hazina mashiko.

Ni mtanzania gani anataka umoja na wanasiasa ambao hawalitaki mema taifa lao kwa kila namna . Wapo tayari kuomba taifa lisipate msaada au litengwe bila sababu kisa tu maslahi yao yapatikane.

Taifa letu lipo madhubuti, kila mtanzania anajua Ccm ipo imara,japokuwa kuna changamoto. Habari za kutaka kukaa meza moja na Act wazalendo au Chademe ni kupoteza muda na rasilimali za watanzania.

ccm ilishakufa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wembe ni uleule, Ccm ipo kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo wananchi.

Habari kuwa kuna wanasiasa walibaguliwa na kutengwa wakati wa utawala wa JPM ni kuleta porojo ambazo hazina mashiko.

Ni mtanzania gani anataka umoja na wanasiasa ambao hawalitaki mema taifa lao kwa kila namna . Wapo tayari kuomba taifa lisipate msaada au litengwe bila sababu kisa tu maslahi yao yapatikane.

Taifa letu lipo madhubuti, kila mtanzania anajua Ccm ipo imara,japokuwa kuna changamoto. Habari za kutaka kukaa meza moja na Act wazalendo au Chademe ni kupoteza muda na rasilimali za watanzania.
Ccm ilishakufa kimebaki kikundi cha watu wachache wanalinda maslai yao binafasi kwa kutumia dola nakuhurumia mleta post wenzio wanaishi maisha ya kifahar ww unaleta mapambio
 
Tanzania kuna mpasuko mkubwa sana, angalia kuongezeka pengo kati masikini na tajiri ie masikini wanaongezeka na matajiri wanaoingia kutokana na biashara kufirisika, kuongezeka matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi kuanzia vyombo vya usalama mpaka raia, ukandamizaji wa uhuru na haki za kujieleza ie uwepo wa sheria kandamizi mfano sheria ya takwimu
 
Acha mkwara mbuzi, Ccm inawafanyia makubwa watanzania.
Makubwa yepi? Leo mafuta ya kula Lita 20 inauzwa 90,000/-
Petrol mafuta ni Bei kuliko nchi jirani ambazo hazina bahari.
Umeme unakatika kila uchao.
Olympic mmepeleka wachezaji watatu wametutia aibu.
Bado madarasa mengi mjini na vijijini hayana madawati.
Hayo makubwa mnayowafanyia Watanzania ni yepi?
Hadi leo treni ya sgr haijawahi hata kutembea mita tatu. It is a typical white elephant
 
Makubwa yepi? Leo mafuta ya kula Lita 20 inauzwa 90,000/-
Petrol mafuta ni Bei kuliko nchi jirani ambazo hazina bahari.
Umeme unakatika kila uchao.
Olympic mmepeleka wachezaji watatu wametutia aibu.
Bado madarasa mengi mjini na vijijini hayana madawati.
Hayo makubwa mnayowafanyia Watanzania ni yepi?
Hadi leo treni ya sgr haijawahi hata kutembea mita tatu. It is a typical white elephant
Malalamiko yako hayana tofauti na mtoto anayemlalamikia baba yake kunywa uji usio na sukari wakati watoto Wenzake jirani wanalala njaa.

Compare and contrast
 
Malalamiko yako hayana tofauti na mtoto anayemlalamikia baba yake kunywa uji usio na sukari wakati watoto Wenzake jirani wanalala njaa.

Compare and contrast
Kenya inatuacha kila uchao, Kenya ni nchi ndigo, lakini uchumi wake ni mara mbili ya huu wa kwetu.
Rwanda ni Kama wilaya ya Kahama kwa ukubwa wa eneo, kiuchumi wako vizuri sana, kijeshi, kielimu, kimiundombinu, na kimikakati.
Huwezi ukilinganisha na serikali ya CCM ambayo haijui hata inakopeleka nchi
 
Kenya inatuacha kila uchao, Kenya ni nchi ndigo, lakini uchumi wake ni mara mbili ya huu wa kwetu.
Rwanda ni Kama wilaya ya Kahama kwa ukubwa wa eneo, kiuchumi wako vizuri sana, kijeshi, kielimu, kimiundombinu, na kimikakati.
Huwezi ukilinganisha na serikali ya CCM ambayo haijui hata inakopeleka nchi
Tatizo unakaririshwa. Rwanda nayo ni nchi ya kuisemea? Unaongelea Kenya ya mwaka 1985? Leo hii Tz inailisha Kenya alafu wewe unakariri. Acha kukariri uchumi wa makataratas.
 
Back
Top Bottom