Watanzania tunakosa imani na CHADEMA

Watanzania tunakosa imani na CHADEMA

Nenda ACT kama huna imani na Chadema. By the way Chama sio mama useme ni yeye tu. Halafu tangu lini CCM

.. ndani ya CHADEMA mwenyekiti wa milele ‘Freeman Mbowe’ amepandikiza woga kiasi kwamba chama hakina Haki, Usawa wala Demokrasia ya kweli.
Viongozi wengi wa juu wa CHADEMA wanatulalamikia ukiukwaji wa Haki ndani ya CDM na kusema kwamba wengi wanaumia lkn ni waoga kumkosoa Mbowe.
We shida yako nini? Mnavyo vyama vyenu CUF, ACT na CCM waambieni basi waje wafwate demokrasia...

Kama mnapenda demokrasia mwachieni Hangaya awaongoze swala huko misikitini basi.
 
Pesa ni zetu wewe zinakuuma Nini?? Diwani Mutta wa CCM
CHADEMA mnatulizimisha Katiba Mpya kwa nguvu?

- Hii nchi sio ‘Group La WhatsApp’ kama “Ukoo Saccos” yenu.

- Hii nchi haiendeshwi kwa fikra za mtu mmoja kama Mfalme Mbowe anavyoendesha CDM.

- Hii nchi ni yetu sote; hatutaki Katiba Mpya hadi 2025 ipite, Njooni basi mtuue.😁
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
umeandika kwa hiyo umepata nini? Onyesha na Nyumba ya Baba yako aliyoishi akiwa na Miaka 30

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA wakiitwa Ikulu mbio kuwahi Chai ☕️

wakiitwa kwenye Kikosi Kazi cha Rai Samia wanagoma kisa zittok ni mmoja wa Kikosi Kazi hicho.

Hakuna maridhiano yoyote wanayotafuta CHADEMA isipokuwa ulaji, Mfalme na Genge lake wamepigika sana.

- Zindukeni
 
Weka na mali za CCM bila kugusa Mali za TANU
Sasa unawezaje kutofautisha TANU na CCM. Yaani ni sawa na kusema tuongelee kuzaliwa kwako wewe mpaka hapo ulipo bila kuwataja wazazi wako.
 
CHADEMA mnatulizimisha Katiba Mpya kwa nguvu?

- Hii nchi sio ‘Group La WhatsApp’ kama “Ukoo Saccos” yenu.

- Hii nchi haiendeshwi kwa fikra za mtu mmoja kama Mfalme Mbowe anavyoendesha CDM.

- Hii nchi ni yetu sote; hatutaki Katiba Mpya hadi 2025 ipite, Njooni basi mtuue.😁
Hamtaki wewe na nani? Yakikukuta ya Carol Ndosi akili zitakurudia kama yeye muda huu....
 
CHADEMA mnatulizimisha Katiba Mpya kwa nguvu?

- Hii nchi sio ‘Group La WhatsApp’ kama “Ukoo Saccos” yenu.

- Hii nchi haiendeshwi kwa fikra za mtu mmoja kama Mfalme Mbowe anavyoendesha CDM.

- Hii nchi ni yetu sote; hatutaki Katiba Mpya hadi 2025 ipite, Njooni basi mtuue.😁
Mbowe ana akili kuliko Wabunge wote wa CCM. Level ya Mbowe ni Samia na sio Mtu mwingine yoyote yule.
 
Hakuna Katiba Mpya wala mchakato wa Katiba Mpya utakaoanza nchi hii hadi UCHAGUZI MKUU wa 2025 upite.

Mhe. Rais Samia alishaeleza vema sana, pia Ilani ya ccm 2020-2025 haikutoa ahadi ya Katiba Mpya.
Ukweli Mchungu, hakuna Katiba Mpya 2022-2025.
 
CHANGIA CHADEMA
MPESA KWENDA CRDB
1. BONYEZA *150*00#
2. TUMA PESA
3. KWENDA BENKI
4. CHAGUA CRDB
5. BONYEZA 1, WEKA NAMBA YA AKAUNTI
6. INGIZA NAMBA YA MALIPO 0111080100600
7. INGIZA NAMBA YA SIRI

NB.
JINA LA AKAUNTI- CHADEMA M4C
AKAUNTI NAMBA 0111080100600

Hizi pesa zinaenda wapi????
inaitwa saccos
 
Mfalme wenu Mbowe alishaambiwa acheni matusi tunaonekana wote wavuta. Bangi
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Ipo siku watajitwalia viwanja vikubwa vya michezo na maeneo mengi ya wazi nchini Tanzania. Bila shaka tutwashangaa wasipokuwa na ofisi na vyanzo imara vya mapato...
 
Ipo siku watajitwalia viwanja vikubwa vya michezo na maeneo mengi ya wazi nchini Tanzania. Bila shaka tutwashangaa wasipokuwa na ofisi na vyanzo imara vya mapato...
Vyanzo vipi tena vya mapato wakati michango kila siku tunachanga.
 
Hi minyumbu ya Mbowe Alisha ijulia. Anatafuna KODI ZA WALALAHOI, JOIN THE CHAIN, MICHANGO YA WAHISANI ipo inacheka cheka Kama mazwazwa.
Hahahaha

Hatuwezi kuwa Viongozi wa kusema kila jambo tuliloongea na viongozi wenzetu, halafu kuhusu imani yetu kwa Rais Samia , tuna imani naye kwa sababu alishatuonesha kwenye hotuba zake, tuwe na Imani, Amani na Utulivu kwa huyu Mama" - @jjmnyika
 
CCM mnatumia pesa za walipa kodi kwenye shughuli zenu za chama labda wajinga ndio wasiojua maana hata Kinana alisema serikali haiambii CCM bali CCM ndio inaambia serikali.

Mbona husemi viwanja vya Sheikh Amri Abeid,Kirumba ,Kambarage na vinginevyo vingi vilijengwa kwa kodi ya wananchi ila CCM imejimilikisha na mapato wanachukua wao?
 
Hakuna Katiba Mpya wala mchakato wa Katiba Mpya utakaoanza nchi hii hadi UCHAGUZI MKUU wa 2025 upite.

Mhe. Rais Samia alishaeleza vema sana, pia Ilani ya ccm 2020-2025 haikutoa ahadi ya Katiba Mpya.
Ukweli Mchungu, hakuna Katiba Mpya 2022-2025.
Halafu eti ACT ndo inajilinganisha na CHADEMA hahahaha!

Sio mbaya kwa sasa mnakula tende na Pilau ya bure kwenu ni kitu kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom