mbazitz
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 731
- 1,013
Tuoneshe picha ya nyumba ya wazazi wako waliokusomesha....Wanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
View attachment 2237164