Watanzania tunakosa imani na CHADEMA

Watanzania tunakosa imani na CHADEMA

Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
View attachment 2237164
Tuoneshe picha ya nyumba ya wazazi wako waliokusomesha....
 

Attachments

  • 3CE7CFB6-C04F-4CE8-A35D-4EB720A68424.jpeg
    3CE7CFB6-C04F-4CE8-A35D-4EB720A68424.jpeg
    28.2 KB · Views: 4
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
View attachment 2237164
1653484952675.png
 

Attachments

  • 2878995_images_9.jpeg
    2878995_images_9.jpeg
    35 KB · Views: 3
Back
Top Bottom