Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Mkuu Hakimu Mfawidhi , hili la gesi wewe ndio umelijua leo?.
Hali hiyo ilikuwa zamani, lakini sasa tuna sheria mpya ya madini na extractive industry yoyote, kila kinachopatikana, asilimia 16% ni mali ya Watanzania. Yaani serikali yetu ina own 16% ya migodi yote, hivyo japo ni kweli kila kinachovunwa ni mali ya mmiliki, hivyo Watanzania ni wamiliki wa hiyo 16% ya free carried shares kwenue rasilimali zote za extractive industry.
P
Kwamba angalau kidogo sio?
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Hata gas ingekuwa yako hakuna cha maana ungepata,mfano ni madini tuambie serikali inafaidika na nini kikubwa kuwasogelea wawekezaji?
 
Ngozi nyeusi kwakweli... ni vituko sana duniani...Yani tupo kama takataka tu. Mtu mweusi hawezi mkomboa mweusi mwenzie zaidi ya kuhakikisha vizazi na vizazi vinakaa kwenye umasikini kikubwa yeye na familia yake wamekimbiza mabillioni nje. Kama kweli Mungu yupo kuna watu watapata tabu sana.
Mungu ndio kafanyaje? Gas atafiti mzungu,teknolojia yeye, wataalamu yeye,soko analijua yeye wewe umekalisha battacks zako eti unasubilia 50/50 ,,mjinga ndio atakupa..

By the way madini yoyote hata leo wakisema tunaweka vikwazo hatununui si mtaishia kuchezea BAO tuu maana hakuna cha kufanyia..

So tukipata kodi,ajira na utaalamu inatosha Sana.
 
Contract ni ya muda gani kwa hao wawekezaji kurudisha gharama na kupata faida? hisa za serikali ni asilimia ngapi? ndo maana magu hakuwa na mzuka nako hadi kuangukia kwenye bwawa la stiglaz.......
Hisa za nini kwenye gas?
 
You have a point! Mfano mzuri ni ulioutoa wa viwanda vya sukari! Mwekezaji lazima arudishe investment ya hela aliyoifanya. How do you monitor how much cash one has invested? Kwangu huwa naiona ni ngumu! Suppose akikwambia bei ya juu na hali hes invested a bit low?
SOLUTION : Ni kama alivyosema Nyeree kuwa subiri hata miaka 1000 tutakapo kuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe. WE can then ascertain and control production costs
Upumbavu,eti subiria kwani teknolojia inakusubiria wewe? Mahitaji yanakusubiria wewe? Ni wewe pekee ndio una hayo madini au gas Duniani?

Usubirie Ili uvumbue nini? Kwani kila nchi ina madini? Na ambako hakuna maisha hayaendi?
 
Ngozi nyeusi kwakweli... ni vituko sana duniani...Yani tupo kama takataka tu. Mtu mweusi hawezi mkomboa mweusi mwenzie zaidi ya kuhakikisha vizazi na vizazi vinakaa kwenye umasikini kikubwa yeye na familia yake wamekimbiza mabillioni nje. Kama kweli Mungu yupo kuna watu watapata tabu sana.
Mambo ya kikwete na madam mwenye macho Kama kinyonga
 
Kwani hata bandari inayo taka kujengwa bagamoyo kwani itakuwa ya kwetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
itakua ya mchina , na mkataba ni miaka mia , hivi ndivyo tulivyorogwa na mabeberu, bado kuuza mlima Kilimanjaro tu na serengeti maana huko hoteli zao washajenga na wana hati miliyi ya miaka zaidi ya 200
 
Wameghakamia utafiti,uchimbaji na uchakataji wa hyo gesi yan wabongo tunataka gesi iwe mali yetu kwa zaidi ya 30% kwa kutochangia chochote turidhike tu na hyo 16%
Pamoja na makelele meeengi na mikwara ya kina mwendazake kwenye makinikia tumeishia kupata kiinimacho cha 16% 😄😄..
 
Kwani JPM alivyosema kwenye gesi hatuna chetu hukumuelewa? Unazani kwanini aliamua kuingia kwenye umeme wa Hydro? RIP Jembe
Hiyo Jembe hakuwepo miaka hiyo? Hakuwa anagonga meza? 😄😄..

Kwa taarifa yako India wanazalisha zaidi ya mgwt 5,000 za umeme wa jua kwa pesa isiyozidi til.4 wakati wewe na tuumeme twako tena twa maji utazalisha mg 2000 tuu kwa til.7..

Huu kama sio WEhu wa huyo Jembe wako ni nini? Stupid wajinga nyie
 
Biashara ya natural resources ina stages zake ‘exploration’ ni first stage hayo ni makubaliano pekee ambapo makampuni yana bid kutafuta mafuta/Gas. It is very risky and expensive especially when it’s in deep sea kunakupata na kukosa.

Sasa wakipata wanakuwa na exclusive rights za ku gain economic benefit based on potential amount of reserves.

Ndio maana Dr Muhongo alipoletwa kitu cha kwanza alichofanya ni kupeleka hati ya dharura ya sheria ya mikataba ya Production Sharing Agreement (PSA) on what amount of benefit they are entitled to based on reserve after they recoup their investment.

Mpaka hapo unakuwa ushatoa exclusive rights za nani mwenye haki ya kutoa hayo mafuta uki kiuka kuna compensation kwa sababu watu washachukua risk na walitegemea kuvuna; hapa ndipo serikali ya JK ilipoishia

Baada ya hapo unahitaji investment za kutoa hizo resources zilipokuwa na inahitajika hela ya kujenga rigs, refinery/LNG plant, pipes and so forth; now this provides a chance to discuss on share of benefit based on return of investment and sunk costs; haya makubaliano kama nchi atuja afiki bado na ndio mjadala unaofuata.

This stage complicated tofauti na simple arguments za local contents na upuuzi mwingine watu kama kina Zitto wanavyo ongelea. The finance are very very very complicated ukikosea utajuta ndio maana wao hawana haraka kwa sababu wanajua wana rights za kuchimba so they need a good deal in the long run.

Kutoa pressure kwa upande kwao ni swala la kuwapa hela watu kama hakina Zitto kukosoa hatua za serikali
With simple economic loss nchi one haraka ya kuingia hiyo mikataba kichwa kichwa.

JK ahusiki na hii hatua ila anaweza shawishika na upuuzi wa mtu kama Zitto na habari zake za local context. Na yeye JK kutumia hizo info kumpa pressure mama kutokana na hoja za kipuuzi and nonsense from twitter.
Kuelimisha wale wajinga waliojaa mihemko na propaganda za Jiwe kichwani ni sawa na kujaza maji kwenye net mkuu..

Haya majinga ni kuyaacha afu yaone matokeo,ndio yamelishwa upumbavu Sana na yule jizi mkuu Jiwe.
 
Ok, hao wageni walitupa nini hadi tukawapa hiyo gesi wachimbe? Bila shaka kuna makubaliano na sisi tumefaidika.
Napendekeza zile account za uswiss zichunguzwe. Huko Ndio wanakozichimbia.
 
Ok, nimeelewa maana ya hiyo exclusive right na sioni kwa nini kuna haja ya kui mention kwani hiyo ni inherent right from the beginning.

Hiyo second stage of negotiation inafanyika baada ya madini/mafuta kupatikana? Nafikiri hapo ndio tatizo. Kwa nini visiongelewe vyote from the beginning?
That’s impossible kwa sababu mwekezaji hajui kama atakuta reserve ya kutosha anaweza fanya exploration akakuta kiwango chenyewe gharama za kutoa mafuta ni kubwa kuliko hela inayopatika.

Let’s say for example gharama ya Kujenga infrastructure ya kutoa mafuta ni $30 billion, commercial reserve estimate ya mafuta/gas iliyopo ni $10 billion; sasa si ni bora kuyaacha huko huko yalipo kuliko kujiongezea hasara.

So ni lazima wajue kiwango cha reserve, amount of investment needed in upstream and mid stream; halafu baada ya hapo ndio waingie kwenye mkataba wa pili.

Zile sheria za dharura zililenga kuweka majedwali ya kiwango wanachoweza vuna in percentage of reserve amount baada ya kurudisha hela zao, na azikuwa popular kwao.

Tatizo wataalamu wakitaka kuwasaidia kama hakina Prof Muhongo mnaanza kupotoshana na kuwatukana inabidi waache.

Ni sawa na Dr Gwajima akiamua kuibadilisha afya iwe na huduma bora ashindwi, kufanya ivyo atapigwa vita na wazembe huko kwenye vituo vya afya, huku hana support ya jamii wala serikali. Sasa si bora ale neema za kuwa waziri tu kuliko kununua ugomvi ambao hana backup.
 
That’s impossible kwa sababu mwekezaji hajui kama atakuta reserve ya kutosha anaweza fanya exploration akakuta kiwango chenyewe gharama za kutoa mafuta ni kubwa kuliko hela inayopatika.

Let’s say for example gharama ya Kujenga infrastructure ya kutoa mafuta ni $30 billion, commercial reserve estimate ya mafuta/gas iliyopo ni $10 billion; sasa si ni bora kuyaacha huko huko yalipo kuliko kujiongezea hasara.

So ni lazima wajue kiwango cha reserve, amount of investment needed in upstream and mid stream; halafu baada ya hapo ndio waingie kwenye mkataba wa pili.

Zile sheria za dharura zililenga kuweka majedwali ya kiwango wanachoweza vuna in percentage of reserve amount baada ya kurudisha hela zao, na azikuwa popular kwao.

Tatizo wataalamu wakitaka kuwasaidia kama hakina Prof Muhongo mnaanza kupotoshana na kuwatukana inabidi waache.

Ni sawa na Dr Gwajima akiamua kuibadilisha afya iwe na huduma bora ashindwi, kufanya ivyo atapigwa vita na wazembe huko kwenye vituo vya afya, huku hana support ya jamii wala serikali. Sasa si bora ale neema za kuwa waziri tu kuliko kununua ugomvi ambao hana backup.
Impossible kwa vipi? Ni suala la kuweka "IF you get oil...", the rest inabakia jinsi inavyotakiwa kuwa kwenye mkataba wa pili. Kwani huwezi kutengeneza mkataba wenye options kuwa kitu kimoja kikitimilika, then mkataba unafuata option hiyo? Huoni kuwa tunakuwa kwenye disadvantage position unapo negotiate na mgundua mafuta baada ya yeye kuyagundua na technically ni yake yote kwani hakuna mkataba ?
 
Una mali sawa lkn huna pesa ya kuutumia hyo mali ipasavyo au gesi nayo tuwape wachimbaji wadogowadogo wachimbe
Kwa hiyo kwa maoni yako, kwa viule machinga wetu hawawezi kuichimba hiyo gesi, basi ni bora wachukue wenye uwezo wa kuichimba hata kama manufaa ya uchimbaji huo hayatupi manufaa ya kutosha!

Hizi ndio akili tulizobaki nazo huko serikalini?
 
Wapi nimesema wanachukua kila kitu wanachokikuta huko chini? Hata hivyo wachangiaji wengi wameeleza tena wengine wameeleza kiundani zaidi kuhusu hizo biashara katika maeneo mbalimbali huko duniani.
Mimi sijaona maelezo hayo kwenye mada hii, hebu nipe mfano uliouona wewe kwenye jukwaa hili.
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Kwa kuujua ukweli huu ndio maana Hayati Jiwe aliwahi kusema,"...Kwenye gesi, huko tumepigwa..."!
 
Huu ndio ukweli mchungu watanzania wanapaswa kuufahamu,bahati mbaya wengi hawaujui na wanashabkia kwelikweli,
Hili hayati Magufuli aliliona ndio maana akataka iwekwe mipango thabiti kuhakikisha gesi hii inanufaisha taifa kwa kiasi flani

Na kuchagua umeme wa maji alikuwa anakwepa dhahama hii
Hakuna dhahma yeyote. Kama unataka gesi iwe yako by 100% ulipaswa uwekeze mwenyewe kwa fedha zako kwenye Exploration na R & D.

Ile kujuwa tu kuwa kwenye shores za Indian ocean kuna gesi tulikuwa hatujui. Amekuja mzungu amewekeza kwa mkataba na TPDC akaikuta gesi na akatupa hisa bado tunalalamika.!!
 
Back
Top Bottom