Watanzania tunapitia kipindi kigumu kiuchumi kuwahi kutokea

Watanzania tunapitia kipindi kigumu kiuchumi kuwahi kutokea

Binafsi kwa upande wangu na wanaonizinguka wote hali mbaya zaidi kiuchumi! Hakuna biashara yani full mdororo ila ndiyo kwanza naona EWURA wanapandisha bei za mafuta na mitungi ya Gas nayo inapenda bei huku hali za kibiashara zikiendelea kudorola kabisa kabisa.

Unaweza sema Hayati aliharibu uchumi lakini si kama sasa aisee! Hayati alitumianisha kuwa wavumilivu cos alikuwa na miradi mikubwa ambayo ingekuja kusaidia hapo mbele tuishi maisha mazuri, kabla hajatufikisha huko alikokuona Mungu akamuita sasa katuachia Samia lakini Samia amekuja kwa kukamua zaidi watu wa chini!

Katika uhalisia walikuwa wanajua bei ya mafuta katika soko la Dunia itapanda, lakini ajabu na wao ndiyo wakaongeza tozo! Sasa kila mwezi mafuta yatakuwa yanapanda tu, mbali na ilo akaona aweke na makato katika miamala yetu yani ile VAT akaona haitoshi na tozo ni lazima kama kodi tu lakini hana habari.

Sijui kama tunakokwenda ni kuzuri kwakweli.
Acha kulalamikia kitu kisicho na uhalisia,umeandika mengi lakini ni Nonesense [emoji57]
 
Kama unaona wanaolalamika kuhusu hizi tozo wanaigiza basi chukua Mali zako zote uuze kitakachopatikana ipe serikali ili ijulikane wewe ndo mzalendo Mana unachokitete ni ujinga na utoto.
Sijasema kuwa KIWANGO CHA TOZO kiko sahihi....

Ndio maana mh.Rais Msikivu amekisikia kilio chetu kwa kuunda kamati....majibu yakipatikana tutakuwa na nafasi nzuri kudadavua.....

Ila.....

Serikali Ni lazima ibuni vyanzo vya mapato....

Ingekuwa ni hiyari...hakuna mtumishi wa UMMA angekubali kukatwa.....

#KaziIendelee
#SiempreSSH
 
Sasa hiyo miradi imekwisha?!!

Nani wa kuimaliza baada ya kuanzishwa?!!

Mh.Rais SSH amekataza TASK FORCES za kukusanya Kodi kwa NGUVU...je leo zile BUREAU DE CHANGES zilizokuwa zimefungwa hazijaanza KUFUNGULIWA?!!

Mh.Rais amewafutia TOZO ya 6% wanufaika wa mikopo kutoka HESLB....je hii si nafuu kwao ?!!!
Wanufaika wa mikopo ni sehemu ndogo sana ya watanzania. Sasa Samia kaondoa hiyo TOZO ya 6% halafu kapandisha makato apo ndo kafanya nini sasa.?
 
Ulikuwa huna muajiriwa hata mmoja kwa miaka 6....ndani ya siku 100 una waajiriwa 8000....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
So nafasi za ajira za walimu zaidi ya 35000 je? Au ndo mpaka ajisikie wakati vijana wako mitaani hawana ajira? Mm nakwambia ukweli, nenda mtaa wowote sasaiv conduct survey ya jinsi gani raisi anakubalika, alaf nijibu
 
Tanzania hata akija Mungu kuwa rais wetu watu watalalamika na kusema bora hata yule rais aliepita kuliko huyu Mungu wa sasa.
 
Hamna shukurani ndivyo wabongo mlivyo,Magu amekaa madarakani hakuwahi kupandisha madaraja wala ajira mpya,Leo hii mnakuwa madomo Kaya kumsema mama ambae hata miezi sita haikufika kapandisha madaraja, ameajiri walimu,watumishi wa Afya na Askari polisi waliokaa miaka sita bila vyeo Leo hii wamefufurika vyuoni kupata vyeo.
na bado wengine wanasubiria wapo kwenye list ya wafuatao, tunaona mabadiliko ya mishahara,wewe bado unaongelea habari ya tozo,nenda kasome wewe sio kumwambia Mh Rais ambae amezungukwa na wabobezi wa uchumi ambao ndio washauri wake,wewe Nani kumwambia Rais arudi chuoni?
Hajaajiri ndugu, ametupoza!! Uhitaji 40,000 ualimu tu alaf katoa kibalicha 7k-8k ili iweje? Kwahiyo sehemu zenye uhitaji na walimu hawakupelekwa wasubirimpaka lini au wao hawana umuhimu? Unataka tushukuru kwa lipi tozo za miamala, bei ya mafuta kuongezeka na hela kuzidi kuwa ngumu kitaa?
 
Sijasema kuwa KIWANGO CHA TOZO kiko sahihi....

Ndio maana mh.Rais Msikivu amekisikia kilio chetu kwa kuunda kamati....majibu yakipatikana tutakuwa na nafasi nzuri kudadavua.....

Ila.....

Serikali Ni lazima ibuni vyanzo vya mapato....

Ingekuwa ni hiyari...hakuna mtumishi wa UMMA angekubali kukatwa.....

#KaziIendelee
#SiempreSSH
Ndo ibuni vyanzo vya kodi na mapato! Ila tozo ni kukosa ubunifu na kuaminisha watz kuwa raisi haelewi na hawezi kazi! Alowaajiri wote wizara ya fedha na wizara nyengine pia wameshindwa kufikiri mpaka wakatafuta njia nyepesi ya kuibia na kunyonya kipato kidogo cha mtanzania mnyonge!!!🤮🤮🤮🤮

Imagine kitu linasimama na majivuno;
ETI MIMI NI DR. WA UCHUMI!! sasa ulishindwa vipi kutafakari vyanzo vya mapato!!
 
Sijasema kuwa KIWANGO CHA TOZO kiko sahihi....

Ndio maana mh.Rais Msikivu amekisikia kilio chetu kwa kuunda kamati....majibu yakipatikana tutakuwa na nafasi nzuri kudadavua.....

Ila.....

Serikali Ni lazima ibuni vyanzo vya mapato....

Ingekuwa ni hiyari...hakuna mtumishi wa UMMA angekubali kukatwa.....

#KaziIendelee
#SiempreSSH
Kodi si lazima? Wachukue ilala Tozo kwanini iwe lazima? Sa si bora watuambie yote ni kodi tuelewe kama ni lazima?
 
Awamu ya 5 haikutoa ajira kwa miaka 6....wewe ulikuwa usingizini kutoziona hizi ajira 8000 za TAMISEMI na WIZARA YA AFYA?!!!

#KaziIendelee
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Jiwe nae aliajiri Walimu kama mara mbili hivi. 2017 aliajiri walimu wa sayansi na 2019 kipindi cha uchaguzi aliajiri walimu 8000.
 
So nafasi za ajira za walimu zaidi ya 35000 je? Au ndo mpaka ajisikie wakati vijana wako mitaani hawana ajira? Mm nakwambia ukweli, nenda mtaa wowote sasaiv conduct survey ya jinsi gani raisi anakubalika, alaf nijibu
Mkuu usemalo ni kweli....ajira ni tatizo....ila mh.Rais ameanza kuajiri 8000 tena kufidia nafasi za wastaafu na waliofariki dunia....mwakani kabla ya bajeti ataajiri tena....
Ni zoezi endelevu.....

Tumpe muda mama....
Hili la tozo ataliangalia kwa macho 3......

#KaziIendelee
#SiempreSSH
 
Hamna shukurani ndivyo wabongo mlivyo,Magu amekaa madarakani hakuwahi kupandisha madaraja wala ajira mpya,Leo hii mnakuwa madomo Kaya kumsema mama ambae hata miezi sita haikufika kapandisha madaraja, ameajiri walimu,watumishi wa Afya na Askari polisi waliokaa miaka sita bila vyeo Leo hii wamefufurika vyuoni kupata vyeo.
na bado wengine wanasubiria wapo kwenye list ya wafuatao, tunaona mabadiliko ya mishahara,wewe bado unaongelea habari ya tozo,nenda kasome wewe sio kumwambia Mh Rais ambae amezungukwa na wabobezi wa uchumi ambao ndio washauri wake,wewe Nani kumwambia Rais arudi chuoni?
😍
 
Kujenga upya mfumo wa uchumi aliouacha Mwendazake inaweza chukua hata muongo au miongo.........

Ilichukua awamu tatu (miongo mitatu) kuusimamisha uchumi uliobomolewa na Siasa na Sera za kijamaa pamoja na Vita ya Kagera.

Ukweli mama Samia ana wakati mgumu, kuliko JPM alivyochukua nchi. Ni kama Rais Mwinyi alivyochukua nchi. Nchi ikiongozwa na watu wenye mentality ya ujamaa/ socialism inakuwa haifanyi vizuri kiuchumi, kidemokrasia na kidoplomasia, bali inafanya vizuri kwenye propaganda za kuwa-win maskini,wasio na elimu nk
 
Kujenga upya mfumo wa uchumi aliouacha Mwendazake inaweza chukua hata muongo au miongo.........

Ilichukua awamu tatu (miongo mitatu) kuusimamisha uchumi uliobomolewa na Siasa na Sera za kijamaa pamoja na Vita ya Kagera.

Ukweli mama Samia ana wakati mgumu, kuliko JPM alivyochukua nchi. Ni kama Rais Mwinyi alivyochukua nchi. Nchi ikiongozwa na watu wenye mentality ya ujamaa/ socialism inakuwa haifanyi vizuri kiuchumi, kidemokrasia na kidoplomasia, bali inafanya vizuri kwenye propaganda za kuwa-win maskini,wasio na elimu nk
Magu mpaka anafariki ameacha makusanyo TRA hapo Trilion 1.6 wakati alikuta billion 800, Magu hakupandasha bei za bidhaa kama maguta zaidi alirahisisha upatiakanaji mafuta kwa kusini baada ya kusafirisha kwa gari toka Dar mpaka Mtwara ila Meli ilikuwa inaenda kushushia kulekule, JPM hakutuachia matozo ya uzalendo haya! Kila mtu abebe msalaba wake kama JPM alibebeshwa msalaba wake na huyu Jumong abebeshwe msalaba wake pia.
 
Magu mpaka anafariki ameacha makusanyo TRA hapo Trilion 1.6 wakati alikuta billion 800, Magu hakupandasha bei za bidhaa kama maguta zaidi alirahisisha upatiakanaji mafuta kwa kusini baada ya kusafirisha kwa gari toka Dar mpaka Mtwara ila Meli ilikuwa inaenda kushushia kulekule, JPM hakutuachia matozo ya uzalendo haya! Kila mtu abebe msalaba wake kama JPM alibebeshwa msalaba wake na huyu Jumong abebeshwe msalaba wake pia.
Braza.. trillion 1.6 kwa takwimu za Mwendazake? Zimeenda wapi kwa siku 120+?

Kumbuka wengi tulidhulumiwa...

Bei ya sasa ya mafuta ndio iliyokuwepo kipindi kile Cha marehemu kabla ya janga la korona ( wimbi la kwanza Covid-1) baadae yakashuka mpaka kufikia Tsh. 1600 kipindi Cha covid-19.
 
Mkuu usemalo ni kweli....ajira ni tatizo....ila mh.Rais ameanza kuajiri 8000 tena kufidia nafasi za wastaafu na waliofariki dunia....mwakani kabla ya bajeti ataajiri tena....
Ni zoezi endelevu.....

Tumpe muda mama....
Hili la tozo ataliangalia kwa macho 3......

#KaziIendelee
#SiempreSSH
Suala la tozo dizaini kama mnamkwepesha mithiri kama hakuwa anajua chochotr vile!! Sasa nakuletea kifungu cha katiba hapa kinachosema issue yoyote inayohusu masuala ya kodi hakitawasilishwa Bungeni bila kupata idhini ya Mh Rais! Kwa maana wazo linakuwa kwa Rais ila kwa niaba ya Rais ndiyo linawasilishwa Bungeni na Waziri husika.

Kwaiyo issue ya Tozo anaijua kinagaubaga sio yakusingizia.
Screenshot_20210719-135750_Adobe%20Acrobat.jpg
 
Suala la tozo dizaini kama mnamkwepesha mithiri kama hakuwa anajua chochotr vile!! Sasa nakuletea kifungu cha katiba hapa kinachosema issue yoyote inayohusu masuala ya kodi hakitawasilishwa Bungeni bila kupata idhini ya Mh Rais! Kwa maana wazo linakuwa kwa Rais ila kwa niaba ya Rais ndiyo linawasilishwa Bungeni na Waziri husika.

Kwaiyo issue ya Tozo anaijua kinagaubaga sio yakusingizia. View attachment 1878904
Sikusema mh.Rais HAIJUI HIYO TOZO....

Anaijua....

Kilichowakera wananchi ni kiwango kikubwa....na ndio maana mh.Rais ameyapokea malalamiko na ameagiza KAMATI iangalie viwango na ije na mapendekezo.....

Hoja ni kiwango cha TOZO....hoja si kutokuwepo kwa hiyo TOZO....

#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom