Watanzania tunapitia kipindi kigumu kiuchumi kuwahi kutokea

Watanzania tunapitia kipindi kigumu kiuchumi kuwahi kutokea

Kaeni pamoja hapo Lumumba mjadiliane mtuletee majibu, mleta uzi ni mboga mboga mwenzako.
Sasa hiyo miradi imekwisha?!!

Nani wa kuimaliza baada ya kuanzishwa?

Mh.Rais SSH amekataza TASK FORCES za kukusanya Kodi kwa NGUVU...je leo zile BUREAU DE CHANGES zilizokuwa zimefungwa hazijaanza KUFUNGULIWA?!!

Mh.Rais amewafutia TOZO ya 6% wanufaika wa mikopo kutoka HESLB....je hii si nafuu kwao ?!!!
 
Back
Top Bottom