Sasa hiyo miradi imekwisha?!!
Nani wa kuimaliza baada ya kuanzishwa?
Mh.Rais SSH amekataza TASK FORCES za kukusanya Kodi kwa NGUVU...je leo zile BUREAU DE CHANGES zilizokuwa zimefungwa hazijaanza KUFUNGULIWA?!!
Mh.Rais amewafutia TOZO ya 6% wanufaika wa mikopo kutoka HESLB....je hii si nafuu kwao ?!!!