Watanzania tunapitia kipindi kigumu kiuchumi kuwahi kutokea

Kaeni pamoja hapo Lumumba mjadiliane mtuletee majibu, mleta uzi ni mboga mboga mwenzako.
 
Hiyo hela angeipeleka kijijini ingechimba visima vingapi vya maji na kuokoa maelefu ya wamama wabaobakwa wakihangaika kutafuta maji machafu ya kwenye kidimbwi/huyu mama hatari
Hivi kulikua na ulazima wa kumnunulia babu benzi la milioni 450 kama besiday prezent?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…