Pre GE2025 Watanzania tunataka kura zetu zihesabiwe wazi wazi

Pre GE2025 Watanzania tunataka kura zetu zihesabiwe wazi wazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

fundimchundo

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2010
Posts
739
Reaction score
1,032
Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.

Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.

Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
 
Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
Sasa mmebuni mbinu ya kuiondoa CCM madaraka!🤣
 
Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
Ccm hawana huo utayari wala uthubutu kufanya hivyo ni kupotea kwenye ramani
 
Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Sisiemu wanaogopa kura kuwa wazi, huru na haki kuliko kitu chochote.

Ccm na kura FEKI ni kama wavaa vijora na ngoma
 
Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Kabisa
 
Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
Kweli aisee
 
Ccm wapo tayari kuwauwa hata watanzania wt lkn c sanduku lao la kuraa ety watu wapigee kura za waziii ...😀
CCM wanapenda kusifiwa sana.
Tukipaza Sauti zetu, watasikia.
Na hawawezi kupinga Hoja ya Kura zetu kuheshimika
 
Ccm hawana huo utayari wala uthubutu kufanya hivyo ni kupotea kwenye ramani
Uko sahihi Vessel.
Ndiyo sababu ni muhimu sana kuoaza sauti, ndani na nje ya mipaka yetu kwamba TUNATAKA KURA ZETU ZIHESHIMIKE.
Ili Kura zetu ZIHESHIMIKE, tunataka zihesabiwe kwa Haki na kwa Uwazi.
Kwa Sheria hizi hizi na Kanuni za Uchaguzi hizi hizi.
 
Na ataongeza watanzania wana njaa.
Tutamwambia pamoja na kuwa na NJAA, tunataka hao WALIOVIMBIWA kwa Kura za WIZI wajue kwamba Kodi zetu ndizo zinawalisha.
Tunataka Kura zetu ZIHESHIMIKE.
Tunataka Kura zetu zihesabiwe kwa UWAZI.
 
Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.

Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.

Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
Samia hawezi kukubali ombi hili
 
Tukipaza Sauti, watasikia.
Shinikizo likiongezeka, tena bila kudai mabadiliko ya Sheria na Kanuni, CCM wataleta Hoja gani kupinga?
Huwa wanakuja na kauli za uchawa zisizo na mashiko, kama hii hapa...
👇
 
Back
Top Bottom