kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Kura za Samia,nyie angaikeni na ubunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia hawezi kukubali ombi hili
Mbona kura kwenye vituo huwa zina hesabika kwa uwazi tatizo ni kukosa mawakala, CCM wakizidiwa wakati wa uchaguzi huenda maporini lejea taarifa ya mkuu wa wilaya aliye tumbuliwaNjia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
Kazi ya mawakala wa vyama nini? Huwaamini mawakala wako au?Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
Sheria na Kanuni zinataka Kura zijumlishwe kwenye Vituo vya Kupigia Kura, mbele ya Mawakala wa kugombea.Samia hawezi kukubali ombi hili
Wassira tumueleze kwamba Watanzania walikimbia Nchi kwa sababu ya Kura zao kutohesabiwa kwa uwazi.Huwa wanakuja na kauli za uchawa zisizo na mashiko, kama hii hapa...
👇
Pre GE2025 - Mzee Wasira: Wananchi wana njaa, hawawezi kula Katiba
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa waliokimbilia uhamishoni, msamaha kwa waliokuwa gerezani, pamoja na kuruhusu maandamano na mikutano...www.jamiiforums.com
Kura zikihesabiwa mbele ya macho ya waliopiga Kura kwenye kila Kituo, uharamia wa kwenda porini hautakuwepo.Mbona kura kwenye vituo huwa zina hesabika kwa uwazi tatizo ni kukosa mawakala, CCM wakizidiwa wakati wa uchaguzi huenda maporini lejea taarifa ya mkuu wa wilaya aliye tumbuliwa
Kunapokuwa na mawakala mbona Kura huhesabiwa kwa uwazi lakini hawaruhusiwi kutangaza matokeo, kwa maana eti wasimamizi wana akili za kusimamia upigaji kura na kuzihesabuKura zikihesabiwa mbele ya macho ya waliopiga Kura kwenye kila Kituo, uharamia wa kwenda porini hautakuwepo.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI
Mawakala ni wa Wagombea.Kazi ya mawakala wa vyama nini? Huwaamini mawakala wako au?
Tunahitaji kuheshimiwa na Wawakilishi wetu.Samia hakubali hata kwa mikwaju.
Yani mnataka kumuumbua na kura za familia yake tu atakazopata.
Wapiga Kura hatuna Mawakala.Kunapokuwa na mawakala mbona Kura huhesabiwa kwa uwazi lakini hawaruhusiwi kutangaza matokeo, kwa maana eti wasimamizi wana akili za kusimamia upigaji kura na kuzihesabu
lakini za kutangaza matokeo zina hama, yaani zina hamia kwa mgurugenzi wa halmashauri
Hata mkilinda kura anayetangaza matokeo ni mkurugenzi wa halmashauri
Full Blood Picture, tupaze sauti ili Wassira na wenzake wote waone umuhimu wa kutuheshimu sisi Wapiga Kura.WEwe fundi mchundo, wasira akikusikia matusi yake si ya mchezo mchezo
Wazo zuri hao wasimamizi hawana mamlaka ya kutangaza matokeo kwasababu eti wana akili za kusimamia upigaji kura na kuzihesabu lakini za kutangaza matokeo huwa hawanaWapiga Kura hatuna Mawakala.
Tunataka Kura zihesabiwe kwa uwazi ili Wagombea wa Vyama Vyote, pamoja na Mawakala wao watuheshimu sisi Wapiga Kura.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Hiyo nk kweli, hawa wanatufanya kama hatujitambui. Sasa ni wakati wa kupaza sauti kwa ajili sisi wenyewe wananchi. Ukiona mzee mzima anapiga kelele na kutoa matusi ujue hali si nzuri.Full Blood Picture, tupaze sauti ili Wassira na wenzake wote waone umuhimu wa kutuheshimu sisi Wapiga Kura.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU